Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri wa Mali asili na Utalii, Bodi ya Utalii na Mabalozi wetu pokeeni ujumbe toka tour guide Saimon Sirikwa

Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri wa Mali asili na Utalii, Bodi ya Utalii na Mabalozi wetu pokeeni ujumbe toka tour guide Saimon Sirikwa

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Kutoka kwenye clip fupi ya mtanzania mwenzetu Bwana Saimon Sirikwa anayefanya kazi kwenye sector ya utalii nimejifunza mambo machache ambayo nadhani tunayapuuzia au hatutaoni japo ni muhimu

Kwanza, serikali haijawatumia kabisa hili kundi la hawa watu wanaokutana na watalii moja kwa moja na kuongea nao. Hawa watu ni muhimu kuliko tunavyodhani

Pili, hakuna elimu au maelekezo maalumu waliyonayo au wanayopatiwa na serikali yatakayowasaidia kutoa huduma yenye vigezo vinavyotakiwa kwa wageni wanaokutana nao. Wanajiongeza wenyewe kwa njaa zao tuu

Tatu, hakuna mifumo ya kufuatilia na kuhakikisha kwamba hili kundi linafanya kile kinachotakiwa, kilicho sahihi au wanatoa huduma inavyotakiwa wanapokuwa na watalii. Yaani hawa wanaweza hata kutumika vibaya na watu wenye nia mbaya

Nne, hakuna mfumo wa kupata feedback toka kwa hili kundi, feedback zitakazosaidia kuongeza thamani kwenye sekta ya utalii. Tukumbuke Feedback kutoka field ni muhimu kuliko zile tunazopokea tukiwa kwenye AC maofisini

Tano, hili kundi ni kubwa na linafanya kazi kubwa pia tena sana lakini halipewi Ile nafasi wala thamani kwenye Ile chain nzima ya utalii. Tunaweza kuwatumia hawa watu ku add value kwenye utalii wetu kirahisi sana kuliko tunavyowachukulia.

Mnaweza kumsikiliza bwana Saimon zaidi hapa kupata mengine ya muhimu


Login • Instagram

Ni muhimu sasa wakatazamwa na kupewa seminars, miongozo na hata motisha. Tunatumia makundi mbalimbali kukuza sekta ya utalii lakini hili kundi likipewa elimu rasmi, mbinu na motisha kunaweza kuwa na faida kubwa pia kwa nchi yetu

Nawatakia mapumziko mema ya MeiMosi
 
Kutoka kwenye clip fupi ya mtanzania mwenzetu Bwana Saimon Sirikwa anayefanya kazi kwenye sector ya utalii nimejifunza mambo machache ambayo nadhani tunayapuuzia au hatutaoni japo ni muhimu....

Jamaa mwenyewe kasema clearly, u guide hauitaji hata degree au Elimu yeyote, hapo unaweza elewa ma guides hawawezi kuwa na Elimu nzuri ya ku conserve mazingira, wanatakiwa wapambane na kazi yao waachane na kazi za Kitaalama maana wana limitations kwenye uelewa wao.

Namba kubwa ya hawa ma guide, are form four drop out, kazi wanafanya nzuri sana, ila sasa wasikifiri kwamba wanajua mpaka kuingilia taaluma za watu.

Je wanajua elimu za watu wanaosimamia na kutunga sera za uifadhi? Wanatakiwa wasome hizo cv ili wajua kwa hakika mipaka yao ni kazi zao walizonazo pamoja na kuvaa mawani za jua wakati wa ukungu na baridi.

Kuna utaalam wa conservation wa mazingira, na unaenda kwenye level za elimu za PhD kwa hiyo asiingilie hilo eneo maana serengeti ikiharibika ki mazingira, hata kutangaza nchi kwake hakuna maana,

Kwa kifupi: Hiyo video ni very much one sided,

Sielewi rais anawezaje kuwa guide namba moja, na u guide hauitaji elimu na rais ni Dr.

Haka kajamaa na mawani yake ni ka mtu ka hovyo kabisa, afadhali akajasuka dreads.

1. Entry fee analipa mmiliki wa kampuni au mwenye gari.

Comment:
- Kwa mizania ya bei anayochajiwa mgeni kwa siku, Tip, na mshahara anaopata, na bei ya entry fee, Hakuna mashiko yeyote ya Malalamiko.

2. Argument ya kupark nje ya njia ndo ya hovyo kabisa kwa guide kuisema, ukisikia upumbavu ndo huu.

Comment :
Porini kuna trails za kutosha, za kupita, na kuna eneo la wanyama, sasa, kama Mnyama yupo mbali, watu wengi hutamani kumsogelea na kupaki eneo lisilo sahihi.

Pakitolewa uataratibu wa kuweka hii mipaka, kutakuwa na usumbufu mkubwa sana kwa wanyama na kutokana na volume ya magari, competion kwa magari kila mtu asogee kwenye mnyama, hii itakuwa shida kubwa sana.

Ukitaka, take risk, vua viatu pita pembeni fuata mnyama, ukishikwa, then lipa fine, this ia so very fair, na fine ya laki 3 mpaka 1m, ni fair, mgeni akitaka sogelea mnyama, unamwambia ni uharibifu wa mazingira na kuna fine, wageni wanajua thaman ya mazingira.

Tena mkiachwa mpite na mpark hovyo ndo wageni watawadharau zaidi.

Tatizo la ma guide wengi, elimu hawana, na kweli hawaitaji elimu kwa nature ya kazi, and so common sense pia hawan.

3. Kubadili status ya utambuzi wao serikalini,
 
Hata mie nna mume
Kwani wewe unawaza ngono tuu😆😆😆😆
Yupo jamaa huku kitaa, kwa sasa ameoa mke mpya, Wanawake waliokwisha mkimbia ni wanne, Jamaa akioa tu, inasemekana anakuwa busy na mbususu kupitiliza mpaka kusababisha wakeze kuchoshwa na kuomba talaka, mwanamama aliyeweza kuvumilia sana alikaa miezi 6 tu. Cha ajabu huwa anaoa wale mashangingi yaliyokubuhu, lakini tatizo lake huigandia mbususu usiku kucha hakuna kupumua dadeki! 😂😂😂
 
Yupo jamaa huku kitaa, kwa sasa ameoa mke mpya, Wanawake waliokwisha mkimbia ni wanne, Jamaa akioa tu, inasemekana anakuwa busy na mbususu kupitiliza mpaka kusababisha wakeze kuchoshwa na kuomba talaka, mwanamama aliyeweza kuvumilia sana alikaa miezi 6 tu. Cha ajabu huwa anaoa wale mashangingi yaliyokubuhu, lakini tatizo lake huigandia mbususu usiku kucha hakuna kupumua dadeki! 😂😂😂

Kiboko😆
 
Back
Top Bottom