Rais Samia Suluhu Hivi ndivyo anavyotekeleza Kauli Mbiu ya Uhuru, Haki, Demokrasia na Maendeleo ya watu.

Rais Samia Suluhu Hivi ndivyo anavyotekeleza Kauli Mbiu ya Uhuru, Haki, Demokrasia na Maendeleo ya watu.

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Asalaam Aleykum Wasomaji wa JFs.

Kwanza nitoe pongezi za awali kwa Mh Samia Suluhu kwa namna alivyoanza kuongoza nchi yetu ambayo kwa namna moja ama nyingine ilikuwa unapoteza mwelekeo chini ya mtangulizi wake hayati Baba Dr John Josefu Magufuli.

Nasema pongezi za awali kwa kuwa ameonesha hatua za mwanzo za kuleta mabadiliko ktk utendaji kazi, kwa kuwa ni mapema sana kujihakikishia kile anachofanya sasa kama kitaendelea kwa misingi hii hii.

Tukirudi nyuma kidogo wakati wa kampeni za uchaguzi nyote ni mashahidi kuwa Mh Tundu Lissu aliendesha kampeni zake mwaka jana 2020 huku akiwa hana chombo chochote cha habari cha nchi hii hasa mashrika makubwa na ya serikali kutangaza habari zake. Hata hivyo mikutano yake ilizizima kwa wingi wa watanzania walionogewa na kauli mbiu ya Uhuru, haki, demokrasia na maendeleo ya watu. Mada hii ilipendeza sana. Aliifafanua kwa umahiri na umakini mkubwa hata mwananchi wa kawaida wa hali ya chini kabisa akaielewa. Hali ile iliwashangaza wengi hata wapinzani wake wa kisiasa.

Baada ya kuchukua Kiti cha Urais Mh Samia Suluhu Hasani tar 19 Machi 2021 kwa mujibu wa katiba ya nchi alifanya Hotuba ya kwanza bungeni Tar 22 april 2021. Moja ya mambo aliyosistiza ni pamoja na kudumisha uhuru, haki na kuleta maendeleo kwa watu.

Matukio yaliyodhihirisha dhamira yake yalitokea kama ifuatavyo.

1. Siku ya kupokea ripoti ya CAG alisema na kuwaasa TRA kuhakikisha wanakusanya kodi ya haki na kuacha kubambikia makodi ya uongo na kweli. Hapa wahanga ikiwa ni wafanya biashara waliikuwa hawaungi mkono sera za hayati.

2. Siku hiyo hiyo Ripoti ya CAG Mh Samia Suluhu aliagiza DPP na Mahakama kuhakikisha watu wenye kesi zisizo na kichwa wala miguu zenye dosari za kubambikiza ziachwe mara moja au zifanyiwe mchakato na kuisha haraka.

3. Wakti akiwa Bungeni aliagiza wabunge waachane na vihoja na viroja vya kupayuka payuka na kudemka na badala yake wafanye kazi kuisimamia serikali ili kuwaletea maendeleo watu.

4. Samia amesikika akikiri kuwa mifukoni mwa wananchi hakuna pesa na dhamira yake ni kuhakikisha anakuza njia za uchumi.
5. Mh Samia Suluhu amesikika jana ktk kikao chake na wazee wa Dar es salaam kuwa atahakikisha nchi inakuwa ya kidemikrasia na kwamba mtu akipata haki basi haki yake aipate na si vinginevyo( kupora na kuiba kura byebye)

6. Lakini si hivyo tu kauli na matendo yake yanaashiria nia njema aliyonayo kurekebisha makosa yaliyofanywa na mtangulizi wake.

7. Leo tumepokea taarida ya kufurahisha kwamba BASATA wamesimamisha utekelezaji wa kanuni za kibabe na kikabaila zilizokuwa zinadidimiza uhuru wa maoni kwa njia ya muziki na tungo mbali mbali kwa wasanii. haya si mambo ya kuacha yapite bila kuyapongeza.

8. Kubwa zaidi Ktk kulinda haki ya kuishi na afya kwa watanzania, jambo amabalo mtangulizi wake alipinga na kwa nguvu zote, leo Mh Rais ameonekana na viongozi mbali mbali wa kitaifa wakiwa na Full Face mask kujikinga na Covid 19.

Hii inanipa fikra kuwa kumbe Mh Rais alivutiwa na Sera za TL wakati wa kampeni sasa amepata fursa ya kutuongoza na anaitekeleza kwa 100%.

wale mliotoa mapovu na kutukana kwamba Chadema sisi ndio tunaoeneza uvumi wa Covid-19 mpaka mishipa ya shingo ikawatoka mnasemaje leo mnapoona Safu nzima ya Ikulu na Waziri Mkuu wako ktk mwonekano huu??

Rais Mstaaf JK aliwahi kusema .....Zakuambiwa....Changanya na zako. Kweli Mama anachanganya

IMG-20210508-WA0046.jpg


IMG-20210508-WA0044.jpg
 
Tutaelewana tu sasa hivi bado watu wana hasira na Jiwe.
 
Vipi hili la leo la Simba vs Yanga unasemaje?

..Yanga ni klabu ya serikali / chama dola / mfumo kwa hiyo ni sahihi mechi kuahirishwa kupisha shughuli za serikali na chama tawala.
 
Anapenda sana kuuza sura kwenye TV. Kila siku anaongea tu hayo mafile anasoma saa ngp? Reference zake zote mitandao ya kijamii!! Jk Mungu anakuona walahi.
 
Anapenda sana kuuza sura kwenye TV. Kila siku anaongea tu hayo mafile anasoma saa ngp? Reference zake zote mitandao ya kijamii!! Jk Mungu anakuona walahi.
Kwani Mama anakosa gani? Jpm alisema anatamani malaika waje kuzima mitandao kwani alikuwa hafatilii?
 
Asalaam Aleykum Wasomaji wa JFs.

Kwanza nitoe pongezi za awali kwa Mh Samia Suluhu kwa namna alivyoanza kuongoza nchi yetu ambayo kwa namna moja ama nyingine ilikuwa unapoteza mwelekeo chini ya mtangulizi wake hayati Baba Dr John Josefu Magufuli.

Nasema pongezi za awali kwa kuwa ameonesha hatua za mwanzo za kuleta mabadiliko ktk utendaji kazi, kwa kuwa ni mapema sana kujihakikishia kile anachofanya sasa kama kitaendelea kwa misingi hii hii.

Tukirudi nyuma kidogo wakati wa kampeni za uchaguzi nyote ni mashahidi kuwa Mh Tundu Lissu aliendesha kampeni zake mwaka jana 2020 huku akiwa hana chombo chochote cha habari cha nchi hii hasa mashrika makubwa na ya serikali kutangaza habari zake. Hata hivyo mikutano yake ilizizima kwa wingi wa watanzania walionogewa na kauli mbiu ya Uhuru, haki, demokrasia na maendeleo ya watu. Mada hii ilipendeza sana. Aliifafanua kwa umahiri na umakini mkubwa hata mwananchi wa kawaida wa hali ya chini kabisa akaielewa. Hali ile iliwashangaza wengi hata wapinzani wake wa kisiasa.

Baada ya kuchukua Kiti cha Urais Mh Samia Suluhu Hasani tar 19 Machi 2021 kwa mujibu wa katiba ya nchi alifanya Hotuba ya kwanza bungeni Tar 22 april 2021. Moja ya mambo aliyosistiza ni pamoja na kudumisha uhuru, haki na kuleta maendeleo kwa watu.

Matukio yaliyodhihirisha dhamira yake yalitokea kama ifuatavyo.

1. Siku ya kupokea ripoti ya CAG alisema na kuwaasa TRA kuhakikisha wanakusanya kodi ya haki na kuacha kubambikia makodi ya uongo na kweli. Hapa wahanga ikiwa ni wafanya biashara waliikuwa hawaungi mkono sera za hayati.

2. Siku hiyo hiyo Ripoti ya CAG Mh Samia Suluhu aliagiza DPP na Mahakama kuhakikisha watu wenye kesi zisizo na kichwa wala miguu zenye dosari za kubambikiza ziachwe mara moja au zifanyiwe mchakato na kuisha haraka.

3. Wakti akiwa Bungeni aliagiza wabunge waachane na vihoja na viroja vya kupayuka payuka na kudemka na badala yake wafanye kazi kuisimamia serikali ili kuwaletea maendeleo watu.

4. Samia amesikika akikiri kuwa mifukoni mwa wananchi hakuna pesa na dhamira yake ni kuhakikisha anakuza njia za uchumi.
5. Mh Samia Suluhu amesikika jana ktk kikao chake na wazee wa Dar es salaam kuwa atahakikisha nchi inakuwa ya kidemikrasia na kwamba mtu akipata haki basi haki yake aipate na si vinginevyo( kupora na kuiba kura byebye)

6. Lakini si hivyo tu kauli na matendo yake yanaashiria nia njema aliyonayo kurekebisha makosa yaliyofanywa na mtangulizi wake.

7. Leo tumepokea taarida ya kufurahisha kwamba BASATA wamesimamisha utekelezaji wa kanuni za kibabe na kikabaila zilizokuwa zinadidimiza uhuru wa maoni kwa njia ya muziki na tungo mbali mbali kwa wasanii. haya si mambo ya kuacha yapite bila kuyapongeza.

8. Kubwa zaidi Ktk kulinda haki ya kuishi na afya kwa watanzania, jambo amabalo mtangulizi wake alipinga na kwa nguvu zote, leo Mh Rais ameonekana na viongozi mbali mbali wa kitaifa wakiwa na Full Face mask kujikinga na Covid 19.

Hii inanipa fikra kuwa kumbe Mh Rais alivutiwa na Sera za TL wakati wa kampeni sasa amepata fursa ya kutuongoza na anaitekeleza kwa 100%.

wale mliotoa mapovu na kutukana kwamba Chadema sisi ndio tunaoeneza uvumi wa Covid-19 mpaka mishipa ya shingo ikawatoka mnasemaje leo mnapoona Safu nzima ya Ikulu na Waziri Mkuu wako ktk mwonekano huu??

Rais Mstaaf JK aliwahi kusema .....Zakuambiwa....Changanya na zako. Kweli Mama anachanganya

View attachment 1777708

View attachment 1777710
KWA uliyoyaandika mkuu ,mpaka mda huu naunga mkono KWA asilimia 100% ila pia Bado Jambo moja akijibu baadhi ya hoja za wazee kuhusu kila mzee kupata chochote,amekili utekelezaji wake kua ni mgum na na kubali,
Pili akagusia kwamba ndo maana wafanyakazi hawajapanda mishahara hasa akigusia miradi mikubwa na uchumi kushuka KWA corona mpaka 4.6 au point 7 na mwaka huu utapanda fika 5% na ushee lakini akasisitiza kwamba that's TUMEFUNGA MIKANDA!!
SWALI LANGU
Tangu 2015 ni watu wapi wamefunga mikanda ili tuelewe?
Madactari
Walim
Police au vyombo vya ulinzi vyote
Watendaji wakijiji na kata,au watumishi wote walio ngazi za chini
WABUNGE, MAKATIBU WAKUU,MAWAZIRI, MWAKUU WA MKOA WILAYA AU
IKULU NA WASAIDIZI WA IKULU,.
watanzania sio wajinga
 
hakuna mwenye hasira haya mmoja. Tuna furaha tupu
Hakuna tofauti yeyote yenye kuonesha mnafuraha maana wakati Jiwe yupo ilikuwa kila siku lazima mumtaje na sasa kafa bado mnamtaja, ni wazi bado anawasumbua ndio bado mnaendelea kumtajataja.
 
KWA uliyoyaandika mkuu ,mpaka mda huu naunga mkono KWA asilimia 100% ila pia Bado Jambo moja akijibu baadhi ya hoja za wazee kuhusu kila mzee kupata chochote,amekili utekelezaji wake kua ni mgum na na kubali,
Pili akagusia kwamba ndo maana wafanyakazi hawajapanda mishahara hasa akigusia miradi mikubwa na uchumi kushuka KWA corona mpaka 4.6 au point 7 na mwaka huu utapanda fika 5% na ushee lakini akasisitiza kwamba that's TUMEFUNGA MIKANDA!!
SWALI LANGU
Tangu 2015 ni watu wapi wamefunga mikanda ili tuelewe?
Madactari
Walim
Police au vyombo vya ulinzi vyote
Watendaji wakijiji na kata,au watumishi wote walio ngazi za chini
WABUNGE, MAKATIBU WAKUU,MAWAZIRI, MWAKUU WA MKOA WILAYA AU
IKULU NA WASAIDIZI WA IKULU,.
watanzania sio wajinga
kiukweki kwenye ile hotuba kidogo atoboe siri kuwa Magu akiharibu uchumi na kusingizia corona. wakati sio kweli. watu wazima tulimwelewa
 
Wabunge wagawiwe kwa makumdi kutokana na uwezo wao wa kuchangia bungeni kama vile uchumi na fedha, elimu na sayansi, afya na ustawi wa jamii, ardhi na umwagiliaji, sheria na katiba n.k. Ili watumie muda mwingi kuhamasisha maendeleo majimboni mwao. Kwa maana hiyo wabunge watahudhuria kama 1/8 tu ya vikao ukilinganisha na style inayotumika saaa. Na kwa maana hiyo Serikali itaokoa fedha nyingi ambazo ilikuwa inawalipa wabunge kama ni posho la mahudhurio!
 
Wabunge wagawiwe kwa makumdi kutokana na uwezo wao wa kuchangia bungeni kama vile uchumi na fedha, elimu na sayansi, afya na ustawi wa jamii, ardhi na umwagiliaji, sheria na katiba n.k. Ili watumie muda mwingi kuhamasisha maendeleo majimboni mwao. Kwa maana hiyo wabunge watahudhuria kama 1/8 tu ya vikao ukilinganisha na style inayotumika saaa. Na kwa maana hiyo Serikali itaokoa fedha nyingi ambazo ilikuwa inawalipa wabunge kama ni posho la mahudhurio!
hahhaa
 
Back
Top Bottom