Rais Samia Suluhu kuzungumza na Wazee wa Dar es Salaam Ijumaa Mei 7, 2021

dabi kwani inasemaje kuhusu kesho ?
 
Kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake

Halafu mnasema Afrika inaliwa na nchi za mabeberu.
Kwa laana hizi ndio maana vita za ndani na chuki hazikomi Afrika mana kiukweli Beberu mbaya kabisa ni mwafrika mwenyewe anayewaza muda wote kuhujumu nchi yake ili tu afanye ufuska, na ulevi, ushirikina na kungangania uongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…