Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Saa ngapi itakuwaLeo Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan atazungumza na Wazee wa Dar es salaam..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa ngapi itakuwaLeo Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan atazungumza na Wazee wa Dar es salaam..
Ni kweli. Kama mishahara imeshindikana basi walao hao wazee wachache waliobaki na wanapokea pension kupitia hazina awaongezee kiwango maana ni aibu kuwa pamoja na kujitolea kizalendo wanachopewa sasa hivi ni pension kichekeshoMama waongezee wazee Penseni na Bima ya Afya ya ukweli.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Saa ngapi itakuwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan atazungumza na wazee wa mkoa wa Dar es salaam katika UKUMBI wa mlimani city kuanzia saa 8:00 mchana anatarajia kukutana na wazee wawakilishi zaidi ya 900.
Matarajio makubwa kwa wazee hao kuwa Rais anakwenda kuangalia namna Bora ya kutatua Changamoto mbalimbali za wazee nchini ikiwemo maswala ya Matibabu bure kwa wazee, kuboresha nyumba za kuelekea wazee pamoja na maswala ya mafao ya uzeeni.
Pia kuliombea taifa amani na utulivu wakati wote.
View attachment 1776089
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Mei 7, 2021 anatarajia kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika mkutano utakaofanyika ukumbi wa Mlimani City na kuhusisha wazee takriban 900.
Hayo yameelezwa leo Alhamisi Mei 6, 2021 na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge aliyebainisha kuwa kulikuwa na utaratibu maalum wa kuwapata wazee hao na kwamba wengine wanapaswa kufuatilia mkutano huo kupitia vyombo mbalimbali vya habari.
"Tunaomba sana waliopata mwaliko wahudhurie mkutano huu, Tunatarajia ikifika saa nane kamili wazee wote watakuwa wameshafika. Na utaratibu wa jinsi ya kufika utatolewa kwani kutakuwa na magari yameandaliwa.”
"Tunamshukuru Rais kwa kuchagua Mkoa huu kwa sababu angeenda Mkoa wowote lakini amechagua Dar es Salaam. Ninaamini kuongea na wazee hao atakuwa ameongea na wazee wa Tanzania nzima," amesema.
Eti ni wale wanaoelewa mazindiko ya danganyika pamoja na mwenge wa uhuruMsaada:
Hawa wazee wana msaada gani kwa Taifa?
Wathenge mna tabu,Sasa nini kimekufurahisha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aisee..
Mzee Msoga style
Saa ngapi
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Mei 7, 2021 anatarajia kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika mkutano utakaofanyika ukumbi wa Mlimani City na kuhusisha wazee takriban 900.
Hayo yameelezwa leo Alhamisi Mei 6, 2021 na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge aliyebainisha kuwa kulikuwa na utaratibu maalum wa kuwapata wazee hao na kwamba wengine wanapaswa kufuatilia mkutano huo kupitia vyombo mbalimbali vya habari.
"Tunaomba sana waliopata mwaliko wahudhurie mkutano huu, Tunatarajia ikifika saa nane kamili wazee wote watakuwa wameshafika. Na utaratibu wa jinsi ya kufika utatolewa kwani kutakuwa na magari yameandaliwa.”
"Tunamshukuru Rais kwa kuchagua Mkoa huu kwa sababu angeenda Mkoa wowote lakini amechagua Dar es Salaam. Ninaamini kuongea na wazee hao atakuwa ameongea na wazee wa Tanzania nzima," amesema.
Yule ndo alikua kituko sasa ndio maana nyie Walambaji mnaonekana vitukoMagufuli Tangu afariki ni chini ya Miezi miwili, ila nchi imeshakuwa kituko
Kituko kimeshafukiwa pale chatoMagufuli Tangu afariki ni chini ya Miezi miwili, ila nchi imeshakuwa kituko
Wazee wale waliokuwa na heshima zao wote wameshafariki waliobaki kidogo corona ikamalizia hawa waliobaki wahuni wajana ila leo wamezeeka tu lakini sio original. wazee original wameisha.Baada ya kuongea nao mheshimiwa rais atawaandalia futari wazee wa dar es salaam.
Kisha watapatiwa usafiri wa kurudi makwao
Wazee wa dares salaam Wana hesvima Yao,hata nyerere.mwinyu,mkapa wote walikua wanatambua.
Wewe unaehoji kwa Nini wasiongee na wazee wa chato, sijui,dodoma au Tanga kawaulize mkapa na jk ni kwa Nini wazee wa DSM tu.
Kwani nawe ni miongoni mwa wazee wadar.Tumefuka ukumbini toka saa saba na nusu mpaka muda huu hakuna lolote linaendelea.
Mpaka muda huu mama hajafika ukumbini na hakuna taarifa yoyote ile. Mwisho wa siku tumeanza kuongelea Dabi ya kesho tu. Wahusika kama mpo humu nawaambie hamtutendei haki kabisa
Umekaa Kona ipi mzee mwenzangu?Tumefuka ukumbini toka saa saba na nusu mpaka muda huu hakuna lolote linaendelea.
Mpaka muda huu mama hajafika ukumbini na hakuna taarifa yoyote ile. Mwisho wa siku tumeanza kuongelea Dabi ya kesho tu. Wahusika kama mpo humu nawaambie hamtutendei haki kabisa
Kamfuate umbusu kuwa nchi imekuwa kitukoMagufuli Tangu afariki ni chini ya Miezi miwili, ila nchi imeshakuwa kituko
ndo wanaanzaTupeni Update Wazee wa DIZZIM.