Rais Samia Suluhu kuzungumza na Wazee wa Dar es Salaam Ijumaa Mei 7, 2021

Rais Samia Suluhu kuzungumza na Wazee wa Dar es Salaam Ijumaa Mei 7, 2021

Bavicha wamecover nafasi ya mataga!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Safi sana ccm mbele kwa mbele
Mataga wamepoteana, hivi kwa sasa wanasimamia nini au msimamo wao ni upi? Kuna wale wa Jiwe na kuna wa Samia na kuna wale wa Sukuma gang
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Swali Je hawa wazee wa Dar es salaam ni kina nani?

Miaka yote huwa hatujajuzwa hawa wazee hupatikana vipi? maana huku kwetu mtaani sisi tunajuana - walau kwenye kila kata watoke wazee walau 3 watuwakilishe basi - Lets say kama Dar ina kata 50 basi watu 150 waende huko kuongea na Mkuu wa nchi, lakini inakuwa si hivyo - hawa wazee hutokea wapi?
 
Sisi wazee wa katavi tutashusha mvua na radi kesho yote
 
Back
Top Bottom