Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Sasa kuswali na misikiti inaingiaje hapa? au mna agenda ya siri nyie wagalatia ndio maana mnapingana na mtoa hoja?Kwani nchii ni Assad peke yake ndie anafaa,acha kupiga debe ,mwache assad aendelee kuswali na aisaidie misikiti.