Hujui ulisemalo! Wewe sio judge Wala DPP ambao ndio wanaotakiwa kisheria kutoa maamuzi baada ya kusikiliza pande zote zinazotuhumiana!Mbowe sio malaika ni Gaidi lililo jificha kwenye kichaka cha siasa.
Serikali haiwezi kuyumbishwa na Gaidi, Jeshi la Polisi na vyombo vyote vya ulinzi vipo imara.
Mbowe hawezi kuwa Juu ya sheria za Tanzania.
Mbowe ni Raia kama walivyo raia wengine wahalifu waliopo mahabusu.
Kama Mbowe ataachiwa kwa shinikinikizo lolote lile basi ni bora wahalifu wote waliopo jela nao waachiwe huru jambo ambalo halitowezekana
Usijipe mamlaka usiyokuwa nayo kwani yatakupa stress zisizo na maana! Tafuta pesa ujitunze, ya Mbowe yatakupa mshituko wa moyo kwani mwezi wa tisa atakuwa mtaani!