Rais Samia Suluhu tumia madaraka yako mwachie huru Mbowe

Hujui ulisemalo! Wewe sio judge Wala DPP ambao ndio wanaotakiwa kisheria kutoa maamuzi baada ya kusikiliza pande zote zinazotuhumiana!
Usijipe mamlaka usiyokuwa nayo kwani yatakupa stress zisizo na maana! Tafuta pesa ujitunze, ya Mbowe yatakupa mshituko wa moyo kwani mwezi wa tisa atakuwa mtaani!
 
Soma vizuri. Kwa kutumia ofisi zilizopo kikatiba. Utaelewa namaanisha nini kama una akili za kujifunza.
 
Sijui wapi nimesema hivyo mimi siyo CCM, usiandike kabla ya kuelewa kitu.
 
PHD yako ni ya vitu gani mkuu PhD?
Kwani hujawahi kusikia uwepo wa wafungwa wa kisiasa?

'Maza Mizinguo pamoja na kutokuwa na PhD kama yako, anaelewa vizuri sana kwamba kesi inayomkabili Mbowe haina mashiko.
 
Kibatala akale wapi?
 
Mfa maji haishi kutapatapa.
aache kesi ya msingi ingurume kama kweli yeye sio Gaidi, kwa nn anataka kesi ifutwe hata kabla ngoma haijachezwa?! anafahamu uovu wake wote utawekwa hadharani ni wananchi wataijua tabia yake ovu dhidi ya nchi hii.
Unataka afutiwe kesi ili wananchi na dunia isifahamu uovu wake utakao anikwa mahakamani?!
 
Inawezek
Huwezi kuachia huru mtu ambaye haja hukumiwa kisheria. Tatizo ni waache kuweka kesi za kijinga kijinga za siasa
Inawezekana kabisa kwa kufutiwa mashitaka na ofisi ya DPP ambaye ni mteule wa Rais.
 
Kwa hiyo unataka aingilie uhuru wa mahakama ?
Shauri ni batili tangu mwanzo, hata tusio wanasheria tunajua mwanzo na hatima ya dhuluma na uonevu huu. Tunaishi kinafiki H.E Samia Mara kadhaa kasihi polisi na ofisi DPP, kuondoa mashauri yenye utata. Kumkomoa Mbowe kwa faida ya Nani? Chuki inayojengwa kuziba watu kudai Haki zao za kidemocrasia , binadamu atatafuta mbinu mbadala.RIP Jemedari Hamza.
 
Kati ya kitu ambacho hua nawashangaa waTanzani katika kushabikia upinzani ni kudhani viongozi wa UPINZANI ni Malaika wasio na dhambi

Mnapotoka pakubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…