Ignorant! hayaja kukuta ww..Bugsy wewe wacha hayo mambwembwe na mabombastic ya economic theories, ukiamua kufanya jambo utayajua hayo.
Ikiwa akina mama ntilie na wajasiriamali wadogo wanafundishwa abc za biashara, mwenye degree atashindwaje kujiongeza?
Ukianza kujiwekea vikwazo kabla ya kuanza lazima utashindwa.
Pathetic ni wewe ambaye umefunga mikono unasubiria tu.
Hana jipya mkuuNgoja aendelee kwanza kuzikusanya zile za akina Kakoko. Labda atawakumbuka! Ingawa sidhani kama atamfikia JK hata kwa 30% tu.
mitano Tena unaliwa nyumaMitano tena
Ignorant! hayaja kukuta ww..
Be specificDon’t argue with .... who? Otherwise people might not notice the difference!!!!!
Biashara sio hobby au professional kusema utafanya na kusurvive kirahisi.....Watanzania inabidi tusisubiri ajira za serikali. Tufungue miradi zaidi mpaka leo hii kuna upungufu wa ngano, sukari, mafuta lakini unataka upate ualimu ambao pesa yenyewe ni ndogo badala ya kuwekeza.
yataisha ASAP Mama Samia yuko Vizuri"SIKIA SAUTII YA WANYONGE':
Tangu awamu ya mheshimiwa hayati Magufuli ilipoanza,mfumo wa ajira ulipinduliwa.
Tulikuwa tunategemea kila mwaka ajira zipo hasa kwa idara ya afya,walimu, na kilimo na mifugo.
Tangu mwaka 2015,tupo mtaani tunahangaika,Tena sisi wanufaika wa HESLB tunazalishiwa deni kila mwaka
(Retention fee)
Hivi mtu umemaliza chuo mwaka 2015 ukitegemea mwaka 2016 utaajiriwa, halafu bado upo mtaani!
Si utakuwa umeharibiwa mipango mingi sana,ikiwemo ya kijamii(ndoa,
n.k),kiuchumi na hata kisaikolojia.
Bora kama hakuna pesa, mtuajiri sisi ambao tuliokuwa tayari tumechagua kazi za kusomea kabla ya awamu ya tano(2015,2016 na 2017),maana tungejua hakuna ajira tusingesoma au tungesomea kazi zingine!
Ila tunaamini kwa serikali ya mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan,tutaajiriwa. Japo tunaumia kusikia mtanzania mwenzetu anakaa na dola za kimarekani 1.6+ milioni nyumbani kwake(pesa ya umma),huku sisi hatuna ajira.
Tunakuomba mama Samia, tuhurumie na sisi wahitimu wa vyuo, especially 2015,2016,na 2017.
NB; Ni ombi tu lakini.
By Sauti ya wanyonge
Tanzania.
ImeunganishwaHello JF,
Hongera mama Samia kuwa kiongozi wetu mpya.
Swala la ajira kwanza hamna evidence kuwa lilikua tatizo kubwa kipindi cha Magufuli.
Ila hata hivyo kuna tatizo la documentation kwa mfano data zilizopo hazionyeshi specific kati ya wangapi wahitimu walipata ajira.
So kwa vile malalamiko ni mengi kati ya wahitimu na wengine tumeishi nao,then tatizo lipo hata kama data hazisemi hivyo.
Mimi nakuomba mama hili liwe moja ya matatizo ya awali utakayotatua.
Kama unaweza tenga fungu special kwa ajili ya ku deal na hili tatizo.
Kuwe na incentives paid kwa employers watakaoajiri mhitimu wa miaka mitano nyuma.
Priority iwe kwa wale waliohitimu zamani kwa sababu wamekaa muda mrefu kwenye hali ngumu ya kutokua na ajira.
Kingine unachoweza kufanya kama huna enough funds.
Ni kuweka mfuko maalumu wa dharula watu wachangie.
Wapewe wahitimu wanaotaka kujiajiri/hii iwe ya wazamani na wa sasa wanaotaka kujiajiri
Yeyote atakayeandika proposal nzuri itakayowasadia vijana/watu wengine kupata ajira then wapewe priority.
Mengine wana JF changieni ipi unadhani ni njia ya kutatua hili swala la ajira ambalo linawezekana kufanyika ndani ya muda mfupi ujao, ku-rescue wahitimu ambao hawana ajira?
Mods naomba msiunganishe hii.
Becky...
Inawezekana wewe ni msukuma ambaye mmeajiriwa kwa ule mpango wa rise Sukuma, mpango ambao ulikuwa unasubiri wasukuma wajilundike mtaani, then atoe ajira kuwachukua wote. Namchukia huyu shujaa wa Africa na dunia kwa ujumla.Simshauri hata kidogo mama kuajiri, waajiriwe wa serikali ni mzigo mkubwa kwa serikali alafu ufanisi hakuna ofisi ni vijiwe vya kupiga soga.
Aacha kabisa mawazo ya kuajiri,Maendeleo ya nchi hayataletwa kwa serikali kuajiri ajiri tu
Afanye hivi;
- aweke Sera nzuri za kuvutia wawekezaji wengi Sana na kuwawekea mazingira rafiki
- apeleke maji nchi nzima na yawe kwa bei nafuu sana
- umeme uwe nafuu sana, nusu ya Sasa hivi
- huduma za hospital ziwe nafuu na kila mtu awe na bima Kama ilivyo kitambulisho Cha kura.
- barabara zote ziwe zinaunganisha wilaya na kata
Na sie tunasubiri increment zetu na Madaraja.Mheshimiwa kazi anayo."SIKIA SAUTI YA WANYONGE':
Tangu awamu ya mheshimiwa hayati Magufuli ilipoanza,mfumo wa ajira ulipinduliwa.
Tulikuwa tunategemea kila mwaka ajira zipo hasa kwa idara ya afya,walimu, na kilimo na mifugo.
Tangu mwaka 2015,tupo mtaani tunahangaika,Tena sisi wanufaika wa HESLB tunazalishiwa deni kila mwaka
(Retention fee)
Hivi mtu umemaliza chuo mwaka 2015 ukitegemea mwaka 2016 utaajiriwa, halafu bado upo mtaani!
Si utakuwa umeharibiwa mipango mingi sana,ikiwemo ya kijamii(ndoa,
n.k),kiuchumi na hata kisaikolojia.
Bora kama hakuna pesa, mtuajiri sisi ambao tuliokuwa tayari tumechagua kazi za kusomea kabla ya awamu ya tano(2015,2016 na 2017),maana tungejua hakuna ajira tusingesoma au tungesomea kazi zingine!
Ila tunaamini kwa serikali ya mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan,tutaajiriwa. Japo tunaumia kusikia mtanzania mwenzetu anakaa na dola za kimarekani 1.6+ milioni nyumbani kwake(pesa ya umma),huku sisi hatuna ajira.
Tunakuomba mama Samia, tuhurumie na sisi wahitimu wa vyuo, especially 2015,2016,na 2017.
NB; Ni ombi tu lakini.
By Sauti ya wanyonge
Tanzania.
Kama nimeweza kuishi bila huo mshahara kabisa, nikiupata nitaishi pia, usitake makuu kuliko uwezo wako mkuu!Kipato 300000 kwa mwezi,HESLB-15% income tax,NSSF-10%,
Bado wategemezi,n.k,
Utaweza kuishi ?
Na kwenye masomo ya sayansi napo ikoje, wanagawana topic pia!? Uhaba upo kwa namna flani, watuajiri tu!Tatizo hili la ajira hususani kwa walimu tunalikuza sana kuliko uhalisia,kuna walimu kibao wamejazana sehemu za mijini na kwenye majiji na bado watazidi kuongezeka na gia yao siku hizi ni kuwa wanafuata huduma za matibabu mijini, wanajitengenezea ugonjwa feki.Ninao mfano mdogo wa walimu watatu wa history jijini mwanza ambao wanafundisha kidato kimoja yaani wamegawana topic!!!! NINACHOKIONA HAPA NI POOR DISTRIBUTION OF MAN POWER NA SIO UHABA hususani kwenye sekta ya elimu sijajua kwa sekta nyingine.Serikali iwahamishe walimu kutoka mijini ni wengi na wapelekwe kwenye upungufu.
Ni kweli ni unyonge lakini usikuze mambo tofauti na uhalisia, mshahara wa laki tatu ni kuwa level gani ya elimu?!, Tusiongee pasipo uhalisia, serikali ililiona hili ndo maana watu wa Diploma veta na certificate hawapewi mkopo wa bodiKipato 300000 kwa mwezi,HESLB-15% income tax,NSSF-10%,
Bado wategemezi,n.k,
Utaweza kuishi ?