watu konachowaua kwenye nchi za jirani especially waliokua na magonjwa nyemelezi ni psychological shock na hofu bora life style lao lingeendelea kama kawaida sisi takwimu hatuzitaki zitazuua taharuki bora tuendelee na maisha yetu kama tulivyozoea
Bila shaka ilikuwa inamtafuta imalizane naye kwani ile kitu haitaki dharau. Kumbuka mmoja kati ya chawa wake alipata kuikejeli "kolona" kuwa ikubali kuchagua kuishi Tanzania kwa adabu au iende zake.Toka mwendazake atutoke hatujasikia vifo vya corona wala vinavyotokana na changamoto ya kupumua,
je, kwanini sasa mnataka kuunda kamati na kwa maslahi ya nani?
Imani zengine shida kweli.Bila shaka ilikuwa inamtafuta imalizane naye kwani ile kitu haitaki dharau. Kumbuka mmoja kati ya chawa wake alipata kuikejeli "kolona" kuwa ikubali kuchagua kuishi Tanzania kwa adabu au iende zake.
Sasa tayari imeshaonesha kuwa yenyewe haipangiwi nidhamu na tayari imekwenda zake.
Mimi simo kwenye unajimu wala utabiri kwahiyo sijawajua bado hao members. Kama wewe unawajua tayari labda unitajie..Mimi bado nasubiri.Hao hao wanaotaka kuunda kamati ya corona ndio hao hao walikuwa wanatuambia Corona ipo kidogo halafu wewe unasema sie tukae pembeni,hadi sasa hao wanaotaka kuunda hiyo kamati hawaonishi kujali kwa kufuata njia za kisayansi za kujikinga na corona hata kwa kuvaa barakoa tu na social distance.
Chanjo ya COVID 19 siyo tiba, ni chanjo.Hakuna chanjo inayoweza kutibu variants zote za Covid-19 na mpaka sasa ziko zaidi ya variants 10.
Hii ndio sababu mganga mkuu wa Serikali ya Uongereza amesema wataanza kuchukulia Covid-19 kama magonjwa mengine ya mafua, because it is here to stay with us for a very long time
Kamati ikisema maoni yao muwekwe lockdown mtakataa au mtasema wazungu wameacha kuweka watu huko?
Lengo ni kurudisha mahusiano mazuri na wazungu hivyo tutalazimika kufuata yale wanayotaka tufanye kuhusiana na corona hasa kuagiza chanjo za corona,kwahiyo hayo ndio masilahi na ndio ikabidi atolewe pale Kabudi.
Mi najiwazia tu!
HIVI KWANINI MAMA ASIWE MJANJAJANJA yaani tuagize chanjo kwa mbwembwe ili kuwafurahisha tu!zikifika tunabadilisha dawa afu michanjo yao tunachoma Moto kimyakimya!!!
WHO ni wakala wa mabeberu!! Wasitupangie!!Mabeberu wamejipanga kupiga hela ya wajinga kupitia corona!! Wana hasiraTanzania tumewabania! Wamejipanga kupiga pesa kupitia upimaji wa kudumu, Chanjo, na uvaaji Wa barakoa!
Asante sana wee nyocco!Pumbafusana wew lisukuma
Si uoga? Walikatazwa kutaja Korona na kwa kuwa wanapenda kazi yao basi waliamua kukubaliana na Siasa. Mimi kuna mmoja niliongea naye tu alifunguka. Nafikiri kama woga unaondoka sasa. Na kamati itaundwa. Kitu ambacho hakikutegemewa. Hivyo uwazi upo kwa sasa.Sasa mnatuambia tukitaka kujua kama corona ipo tuwaulize madaktari ila hao madaktari wenyewe ndio hao wanaopotezea corona.
Hivi haka kachawa tumbili kanapumulia wapi? Yaani yuko kimya kama mfu sasa. Wanamchezea Mungu. Kawachapa vilivyo.Bila shaka ilikuwa inamtafuta imalizane naye kwani ile kitu haitaki dharau. Kumbuka mmoja kati ya chawa wake alipata kuikejeli "kolona" kuwa ikubali kuchagua kuishi Tanzania kwa adabu au iende zake.
Sasa tayari imeshaonesha kuwa yenyewe haipangiwi nidhamu na tayari imekwenda zake.
Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?
Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.
Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
Kabisa Mkuu
Ugonjwa wenyewe ni Mpya TZ kuna Wataalam gani wa Covid,
Ugonjwa wenyewe bado wataalam Huko Duniani wanaendelea na Tafiti!
Ila Western wana Maguvu sanaaa Mnooo!
Sio suala la kutaja corona bali nazungumzia hospitali unaweza kuingia bila barakoa tofauti na hapo nyuma ilikuwa huwezi kuingia getini kama huna barakoa,nilikuwa muhimbili unaingia mpaka ndani huko bila kuulizwa barakoa na hata hao madaktari wenyewe ni wachache tu ndio unakuta wamevaa barakoa ila wengi hawavai barakoa.Si uoga? Walikatazwa kutaja Korona na kwa kuwa wanapenda kazi yao basi waliamua kukubaliana na Siasa. Mimi kuna mmoja niliongea naye tu alifunguka. Nafikiri kama woga unaondoka sasa. Na kamati itaundwa. Kitu ambacho hakikutegemewa. Hivyo uwazi upo kwa sasa.
Hakuna namna nitaingia hospital yoyote Ile bila Barakoa. Hata sehemu za mikusanyiko navaa. Maisha ni yangu. Nitakaposikia kwa wazungu Korona imeisha ndiyo nitavua barakoa. Mpaka yetu iko wazi mno hivyo Corona itaendekea kuwepo tu Tanzania hata kama ni kwa kiwango kidogo lakini ipo. Na mbaya huwezi kumtambua mwenye Korona maana mtu hudumu nayo kwa muda kabla ya kuugua.Sio suala la kutaja corona bali nazungumzia hospitali unaweza kuingia bila barakoa tofauti na hapo nyuma ilikuwa huwezi kuingia getini kama huna barakoa,nilikuwa muhimbili unaingia mpaka ndani huko bila kuulizwa barakoa na hata hao madaktari wenyewe ni wachache tu ndio unakuta wamevaa barakoa ila wengi hawavai barakoa.
Point yangu ilikuwa huku kusema kwamba Madaktari wanajua uhalisia wa corona kwamba wanakutana na wagonjwa wengi wa corona.Hakuna namna nitaingia hospital yoyote Ile bila Barakoa. Hata sehemu za mikusanyiko navaa. Maisha ni yangu. Nitakaposikia kwa wazungu Korona imeisha ndiyo nitavua barakoa. Mpaka yetu iko wazi mno hivyo Corona itaendekea kuwepo tu Tanzania hata kama ni kwa kiwango kidogo lakini ipo. Na mbaya huwezi kumtambua mwenye Korona maana mtu hudumu nayo kwa muda kabla ya kuugua.