#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

Lakini wataichukulia hivyo baada ya watu wao kuwa wamepata hizo chanjo, mbona hilo hujalisema?!!
Efficacy level ya chanjo ya Oxford AstraZeneca inayotumika Uingereza ni around 72% maana yake ni kuwa hata ukichanjwa bado kuna chance ya kama 30% kupata Covid-19.

Nchi nyingi hujiweka lengo la kuchanja watu kwa walau 60% ya general population ili kujenga "herd immunity" ssasa hebu niambie kwa efficacy level ya 72% nchi itawrxaji kufikisha 60% herd immunity ya general population?

Walau chanjo za Pfizer, Moderna na Sputnik V ndizo kidogo zinaweza kusaidia kwakua efficacy level zake no above 90%.

Wataalamu wetu wawe makini ktk kumshauri mana kwenye hili.
 
Point yangu ilikuwa huku kusema kwamba Madaktari wanajua uhalisia wa corona kwamba wanakutana na wagonjwa wengi wa corona.
Yes. Kwa mfano niliyeongea naye juzi wa hospital fulani wao wanachukua data za wagonjwa wa COVID kila siku. Na alisema trend imeshuka kwa cases na vifo.

Na kwamba wengi wanatibiwa kawaida tu kama wagonjwa wengine kwenye foleni maana hawako serious. Hivyo basi ujue kwenye foleni za kuingia kwa Dr na wagonjwa wa COVID wapo. Ndiyo maana anasema tahadhari ni muhimu sana sana.
 
Yes. Kwa mfano niliyeongea naye juzi wa hospital fulani wao wanachukua data za wagonjwa wa COVID kila siku. Na alisema trend imeshuka kwa cases na vifo. Na kwamba wengi wanatibiwa kawaida tu kama wagonjwa wengine kwenye foleni maana hawako serious. Hivyo basi ujue kwenye foleni za kuingia kwa Dr na wagonjwa wa COVID wapo. Ndiyo maana anasema tahadhari ni muhimu sana sana.
Sasa tunapoona hospitali wanaacha kuzingatia uvaaji wa barakoa tofauti na walivyokuwa mwanzo hiyo inaleta tafsiri gani?
 
Kuna wataalamu wowote uliwahi kuwaskia wameket kudiscus covid 19?
Kweli Raisi sio mkaidi wa Civid
Screenshot_20210411-205352_Facebook.jpg
 
Sasa tunapoona hospitali wanaacha kuzingatia uvaaji wa barakoa tofauti na walivyokuwa mwanzo hiyo inaleta tafsiri gani?
Na wewe usivae. Kila mtu ana maisha yake. Kupanga ni kuchagua. Mimi nimechagua kuvaa. It is my life
 
Na wewe usivae. Kila mtu ana maisha yake. Kupanga ni kuchagua. Mimi nimechagua kuvaa. It is my life
Umechagua kuvaa kwa sababu ipi maana barakoa si urembo,sasa kama madaktari wanakutana na wagonjwa wa corona na wanajua inakuaje sasa wachague kutokuvaa barakoa?
 
Mabibi na mabwana, mama Samia katika hotuba zake za kusisimua baada ya kushika hatamu za serikali ni hii alisisitiza kuundwa tume ya wataalamu wabobezi kuhusiana na Corona.

Kuna wenye mpya? Tumefikia wapi kuhusiana na tume hii? Imeshaanza kazi? Imefika wapi?

Tayari tumeshamsikia mheshimiwa Mbowe kuwa keshapata chanjo. Isije kuwa wapo vigogo wengi zaidi wao wameshapata chanjo na kina sisi tunaendelea kung'aa macho?

Mrejesho kuhusiana na ugonjwa huu kitalaamu ulikuwa ni jambo muhimu katikati ya dharura nyingi zinazotuzunguka yakiwamo yale mambo yetu na CAG na kunyorosha kote kuliko pinda.

Ni muhimu tukajua kama ile vita yetu ya kiuchumi inaendelea au sasa tunatoka kivingine.
 
Mama ana chambua majina ya waTanganyika na waZanzibar watakaoingia kwenye tume.

Pana dharura fulani hapa. Vinginevyo kwa kutokuwa na ufahamu sahihi, mzaha mzaha hutumbua usaha - twaweza jikuta twarudi uhuru stadium hivi hivi.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Unataka itangazwe mazee?

Tulikotoka tunapajua.

Mzaha mzaha hutumbua usaha.

Ukweli utatuweka salama. Taarifa ya tume hii itatuweka huru na salama.

Uwepo wetu salama kwanza, ni muhimu zaidi katika kufanikisha mengine yote ambayo tungependa kuyafanikisha.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Mimi ni Mtanzania ambaye nimekuwa nikifuatilia taarifa mbalimbali kuhusu ugonjwa huu wa Corona tangu ujitokeze. Nina jambo la kuishauri kamati uliyoundwa kumshauri Mh Rais wetu wa Tanzania Mh Samia. Kamati hii ipitie namna wanasayansi na magwiji wa kufuatilia maswala yanayogusa jamii zao wanavyosema kwa sasa baada ya tafiti za kina.

Makala ya Sonia Elijah ya THE LATE TANZANIAN PRESIDENT VINDICATED kwenye NEWS AFRICA. Naamini kwa kuwa kamati hii ina wataalamu KM wa Wizara ya Afya wataangalia kwa undani hoja zilizojengwa na wataalamu hao. Hivyo kutoa ushauri wenye manufaa kwetu sote na kuacha jamii bila kuathirika kiuchumi na kijamii.
 
Kuna mwalimu wa dini ya Kiyahudi ( A Jewish Rabbi) anayeaminika sana, kasema kwamba chanjo ya Korona ina vimelea ambavyo vinamsababishia mchanjwaji kupata hisia za kishoga hivyo watu waikatae. Nadhani tuwaache wataalamu wafanye kazi zao kitaalamu na tusiingize siasa za mwisho wa dunia.....
 
Kuna mwalimu wa dini ya Kiyahudi ( A Jewish Rabbi) anayeaminika sana, kasema kwamba chanjo ya Korona ina vimelea ambavyo vinamsababishia mchanjwaji kupata hisia za kishoga hivyo watu waikatae. Nadhani tuwaache wataalamu wafanye kazi zao kitaalamu na tusiingize siasa za mwisho wa dunia.....
Heeeeh, kwa hiyo Mbowe ndiyo hivyo tena🙊!
 
Kuna mwalimu wa dini ya Kiyahudi ( A Jewish Rabbi) anayeaminika sana, kasema kwamba chanjo ya Korona ina vimelea ambavyo vinamsababishia mchanjwaji kupata hisia za kishoga hivyo watu waikatae. Nadhani tuwaache wataalamu wafanye kazi zao kitaalamu na tusiingize siasa za mwisho wa dunia.....
Kuwashauri ni haki yangu kama Mtanzania
 
Mimi ni Mtanzania ambaye nimekuwa nikifuatilia taarifa mbalimbali kuhusu ugonjwa huu wa Korona tangu ujitokeze. Nina jambo la kuishauri kamati uliyoundwa kumshauri Mh Rais wetu wa Tanzania Mh Samia. Kamati hii ipitie namna wanasayansi na magwiji wa kufuatilia maswala yanayogusa jamii zao wanavyosema kwa sasa baada ya tafiti za kina....
Unaona je mkuu badala ya hiyo tume wewe na wewe peke yako ndiyo ungekuwa mshauri pekee kwa mama na dunia kuhusiana na hili gonjwa?

Haya si ndiyo ya msukuma, kibajaji na kishimba?

Kweri Tanzania tuko vizuri.

IMG_20210218_174254_207.jpg


No wonder tuko kwenye hali tulizo nazo:
 
Back
Top Bottom