Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote

Huyo mama anajua. Aliwahi kuwa mshereheshaji katika semina moja nami nilishiriki zamani wakati nasoma O level Lumumba sec school. Ana accent nzuri. By then she was young and very beautiful. Jicho jichoo

Ndiyo maana Mumewe HA akapagawa.
 

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
Yaani unamwita Laanatullahi Nyerere baba yako wa taifa, ama kweli CCM imeziharibu vibaya bongo zenu
 

Huyo Mwanao na Wewe nyote ni Fools.
 
Tunaacha kutumia Kiswahili tunashangilia lugha ya wakoloni.
Kwahiyo kuliko kutumia lugha ya wakoloni qa uingereza unaona ni bora utumie kiswahili kilicholetwa na Mabazazi kutoka Arabuni waliokuja kuwalangua na kuwauza kama watumwa na kuwalawiti wale walioleta ubishi ....
 
Bado tuna safari ndefu sana kama nchi. Kwamba kuongea kingereza ndio itakuwa mfano wa kiongozi bora...!. Ningefurahi sana kuongea kiswahili tu kokote.
 
Hapa ndio nashindwa kuwaelewa wabongo,

hii ni lugha tuu kuiongea au kuindika ni ruksa, lakini,

kujivunia au kum jaji mtu juu ya ufahamu wa kiiingereza chake kuwa kizuri au kibaya ndio sawa na upeo wake wa akili ni vitu viwili tofauti.

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
Kupiga pambio na vigelegele kwa mambo madogo kama haya, yanafanya viongozi wengi walewe na kupiga zaidi, kwasababu wanajua jinsi tulivyo mazuzu.
 

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
Mbwa nyie kiingereza ndo kitaleta maendeleo ya nchi

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.

Mbwa zaidi atakuwa Yule aliyekuzaa tu.
 
Hata hawa wanaoponda Kiingereza utakuta wanajinyima na kuwapeleka watoto wao kwenye shule za English Medium. Au wanawatafutia tuition watoto wao.

Namna wao walivyonyanyasika kwa kuongea broken English wasingependa irudie kwa watoto wao.

Hata ma Profesa wa Kiswahili pale UDSM fuatilia uone watoto wao wanasoma shule gani? Ni English medium unless Profesa awe hana hela
 
Kasoro matamshi (pronunciation) ya baadhi ya maneno ya Kiingereza alikosea, mfano:
1. Invitation hutamkwa inviteshen, siyo invaiteshen
2. Demise hutamkwa dimaiz, siyo dimis
Ila lafudhi (accent) yake ni nzuri kama ilivyo kwa Kiswahili
 
Kupiga pambio na vigelegele kwa mambo madogo kama haya, yanafanya viongozi wengi walewe na kupiga zaidi, kwasababu wanajua jinsi tulivyo mazuzu.

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
Kama mimi ni kenge wahed wewe ni kenge theneen. Tunaongelea uwezo wa kuongea kiingereza na umuhimu wake sasa hebu jaribu kufikiri na kutoa arguments zako nje ya box!!! Ndiyo maana munashindwa kwa vile hamujiongezi kwenye mijadala.......
oyah hebu sikiza hapa, kiingereza ni lugha kuu hapa duniani, na nchi nyingi tu huwa zinazungumza kiingereza, hata hao warusi , wa china na waspanila wote husomea lugha hii kwa sababu ni lugha twaeza sema ni ya ulimwengu. ni luhga ambayo ukiijua zaidi basi ndio unaonekana wa maana.
 

Kuna Mmoja alikuwa akiitwa Profesa Martha Qorro ( UDSM sasa Mstaafu ) huyu alijipachika kuwa Mtetezi wa Lugha ya Kiswahili nchini wakati Watoto wake wote tokea wakiwa Mlimani Primary School, Kifungiro Girls na mpaka Vyuo Vikuu Uganda, South Africa na Sweden wamekuzwa vyema na Kiingereza na aliweka Sheria Nyumbani Kwake hakuna Mtu au Mtoto Kuzungumza Kiswahili. Kuna Watanzania ( tena Wasomi ) ni Wanafiki sana.
 
Kufahamu kwako kiingereza kumekusaidia nini? mbona umeajiliwa? Na chuki zako juu yetu tusiojua kiingereza zinatokana na marehemu kutokukuongezea mshahara kwa takribani miaka mitano.
au alisoma kiingereza kikusaidie kuajiliwa na unalalamika mshahara ukicheleweshwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…