Rais Samia tafadhali soma hapa na ujumbe ukufikie

Niko paleeee
 
Mleta mada hii ni post ya kipumbavu kabisa. Unadhani Rais haoni hayo na hajasikia .Ripoti anayo yeye na anaifanyia kazi. Zingine ni kelele tu zisizo na lengo.
 
Stupid 😂😂😂😂
 
Ungeandika tu JANUARY MAKAMBA,unaogopa nini?
 
Wakati mwingine mnaweza kuharibu, mkaharibu jumla kama ilivyo Somalia na Libya. Bora tuendelee na umaskini wetu kwenye amani, kuliko kutafuta utajiri kwa kuanzisha vurugu!
Somalia Tatizo ilikuwa ni nini mpaka wakafika walikofika? hayahaya yanayoendelea Tz yakiaachiwa yaendelee tutakuwa kama Somalia na Kenya.
 
TISS nao kuwekwa mfukoni ni rahisi sana, tena wao ndio wa kwanza kabsaa.
 
Tatizo tuna Rais asiyetaka kuishughulisha akili yake kabisa.
 
Kurudisha watu kama Rishad Bade, Mafuru, Mbarawa,Makamba,Nape

Ilipendeza hata kama akuhitaji kuwa na wale wa hayati angechukua wake siyo wa JK au JPM
Hawa na akina shose sinare si ndo waliongeza riba wakapiga 6USd za stanbic kipindi kile
 
Nafikiri huko mbele fursa ya kupokea msamaha tena haitakuwepo. Bali nafsi zao zitaendelea kuteseka kama watekesekavyo walivyoiba chaguzi zile za serikali za mitaa 2019. Yaani mkoa mzima wameshinda Ccm mapema asubuhi kabla ya uchaguzi.

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Nilisema na ninaruudia tena, CAG ndiye atakayetumbuliwa, siyo wapigaji. Mama hana hata alama ya ukucha wa kumkunia mpigaji achilia mbali kumrarua.

Mama alipotoka na kutukana wapigaji hadharani, alikuwa anajaribu kuonesha yupo madarakani ingawa kiukweli ni alama tu. Nchi imeshikwa na wenyewe na hana cha kuwafanya.

Kama mkuu wa kaya, umegundua kuna wizi umefanyika, unatokaje kutukana hadaharani kabla ya kuwabaini na kuwawajibisha wahusika?
 
Mzanzibar yuko bize na maandalizi ya awamu ijayo ....huu wa Sasa aliupata kwa zali la mentali
 
Rais Samia achukue maamuzi magumu kuinusuru hii nchi, Hali ilipofikia ni mbaya sana.
Wanaompigia makofi na kumvisha kilemba Cha ukoka ndio wanaomwangusha, she is suppose to be serious on serious matters.
 
Hivi Kwa mfano,

Likatokea tetemeko likasababisha Mafuriko na kupelekea dar nzima Hadi Karibia Moro kufunikwa na maji,

Zipi zitakuwa athari za kiuchumi, kisiasa,kijamii, kiuongozi nk nk?

Nimeuliza swali tu Kwa mfano!!!
 
Loo umeandika kwa uchungu sana hongera zako kwanza.
 
Mleta mada hii ni post ya kipumbavu kabisa. Unadhani Rais haoni hayo na hajasikia .Ripoti anayo yeye na anaifanyia kazi. Zingine ni kelele tu zisizo na lengo.
Nyinyi ndo mnaoifirisi hii nchi si ndiyo?Mtu katoa ushauri wa maana harafu wewe unaubeza na kumtukana?
Stupid kabisa wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…