Rais Samia, tafadhali usiogope kuliamua hili, litakufanya ukumbukwe na vizazi na Pepo utaiona haraka

Rais Samia, tafadhali usiogope kuliamua hili, litakufanya ukumbukwe na vizazi na Pepo utaiona haraka

Mighter the fighter...tukirudi kwenye hoja nafikiri wangerudisha ile 8% au wafanye iwe 5% wawaongezee graduate purchasing power.
 
Hata akifanya hivyo bado CHADEMA watamwita dikiteta,kisa kesi ya Mbowe😂😂😂
 
Rais sema tu kuwa kuanzia sasa hakuna Wanafunzi wa Vyuo Vikuu kukopeshwa Pesa na kwamba kuanzia sasa Wanafunzi wote wenye Sifa za kwenda Chuo Kikuu Serikali itawasomesha bure na kuwapa 100% ya Mahitaji yao.

GENTAMYCINE nimekuomba hili nikijua kuwa liko ndani ya Uwezo wako, Uchumi unaruhusu na litakufanya ukumbukwe Milele na Milele na kuwa ni Alama ya Kutukuka kwa nchi ya Tanzania.
Mkuu karibu tena jamvini, najua majukumu ya kiinchi yalikuweka busy, hakika Mzee wa hoja nzito umerejea.
 
Hata kama Tanzania ingekua na uwezo huo ambao hatuna nadhani kukopeshwa kuna ile sense of responsibility. Hata US ni mkopo. Ila mbona tanzania pia kuna grant ya serikali kama uki faulu vizuri
 
Huwezi somesha bure kila mtu mwenye Sifa za kusoma chuo kikuu nchi itafilisika Nyerere alijaribu Hilo yakamshinda hela ikawa hamna ndio ikaanzishwa bodi ya mikopo na yenyewe mikopo ikawa haiwezi kutosha wote vikawekwa vigezo kigezo kikuu kikawa kinalenga maeneo ambayo soko la ajira Lina uhitaji mkubwa sekta binafsi na umma ambayo yakaonekana ni digrii za fani za sayansi kama teknology,Engineering ,Tiba na kilimo na ujenzi ambako soko lilionyesha uwezo wa kuwachukua na hivyo mikopo kuweza kulipika sababu ya kupatikana ajira

Katikati hapo kukabadilika mikopo Sifa ikawa inatolewa kwa aliyesoma shule za serikali hasa bila kujali anasomea nini.Matokeo wamemaliza digrii mikopo hailipiki sababu ajira hawana!!

Sasa hivi nimpongeze Mama kaamua asilimia 100 wapewe wale familia maskini kabisa watoka kaya maskini ambao walikuwa wakitegemea familia zao pesa za TASAF toka huko chini imekaa vizuri

Huku juu Taifa kutoa mikopo Liangalie Soko la ajira linasemaje liwe la ndani ya nchi au nje na serikali na sekta binafsi ina uhitaji mkubwa eneo lipi? Narudia uhitaji mkubwa uko wapi ndiko mikopo ya elimu itolewe huko
Hata Kama kusomesha bure kulenge huko kwenye rare skills ambazo zinahotaji kubwa mno sekta binafsi na umma ndani na nje ya nchi ili kuweko uhakika wa hiyo mikopo kurudi iweze kutumika kukopesha na wengine yaani revolving fund
 
Asante Mkuu nasikia wapo waliosema kuwa GENTAMYCINE nimekufa, wengine wakisema kuwa nimepigwa LIFE ( PERMANENT BAN ), wengine wakisema kuwa hii Brand ID yangu ya GENTAMYCINE imekuwa Merged na iliyokuwepo kwa muda na Kimkakati ya Poisonous huku Wapuuzi ( Mapopoma ) wachache wakionyesha Kufurahia kwa Kutoiona tena hi ID hapa JamiiForums.

Nawashukuru kwa yote ila nipo na nimejaa tele tu hapa JamiiForums na Siku ambayo ID hi haitaonekana hapa Milele ni pale tu Pumzi yangu ya mwisho niliyojazwa na Mwenyezi Mungu wakati akiniiumba Kwake Mbinguni na kunifanya niwe Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer hivi ikiisha.

Nimalizie tu kwa kuwapa Ujumbe wale Wote Wanaonichukia GENTAMYCINE hadi kuniombea Mabaya kuwa kama Kunichukia Kwao huwa ni Dawa basi wajitahudi wamalize Dozi ili wapone.

Nimebarikiwa zaidi lazima tu nichukiwe.
Mkuu mwenyewe mzee wa shombo a.k.a niguse unuke is back
 
Rais sema tu kuwa kuanzia sasa hakuna Wanafunzi wa Vyuo Vikuu kukopeshwa Pesa na kwamba kuanzia sasa Wanafunzi wote wenye Sifa za kwenda Chuo Kikuu Serikali itawasomesha bure na kuwapa 100% ya Mahitaji yao.

GENTAMYCINE nimekuomba hili nikijua kuwa liko ndani ya Uwezo wako, Uchumi unaruhusu na litakufanya ukumbukwe Milele na Milele na kuwa ni Alama ya Kutukuka kwa nchi ya Tanzania.
Hana hizo guts
 
Rais sema tu kuwa kuanzia sasa hakuna Wanafunzi wa Vyuo Vikuu kukopeshwa Pesa na kwamba kuanzia sasa Wanafunzi wote wenye Sifa za kwenda Chuo Kikuu Serikali itawasomesha bure na kuwapa 100% ya Mahitaji yao.

GENTAMYCINE nimekuomba hili nikijua kuwa liko ndani ya Uwezo wako, Uchumi unaruhusu na litakufanya ukumbukwe Milele na Milele na kuwa ni Alama ya Kutukuka kwa nchi ya Tanzania.
Kwa budget ipi? Kuwalisha tu watoto wa primaries uji na kashata issue sembuse kumhudumia wa vyuo kikuu

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Enzi za Mwalimu elimu ya chuo ilikuwa bure ,ukichaguliwa unasubiri bumu uendeshe maisha.....kila kitu serikali inagharamia 100%.
 
Rais sema tu kuwa kuanzia sasa hakuna Wanafunzi wa Vyuo Vikuu kukopeshwa Pesa na kwamba kuanzia sasa Wanafunzi wote wenye Sifa za kwenda Chuo Kikuu Serikali itawasomesha bure na kuwapa 100% ya Mahitaji yao.

GENTAMYCINE nimekuomba hili nikijua kuwa liko ndani ya Uwezo wako, Uchumi unaruhusu na litakufanya ukumbukwe Milele na Milele na kuwa ni Alama ya Kutukuka kwa nchi ya Tanzania.
Jamaa una account ngapi?
 
[emoji256][emoji256][emoji891][emoji256][emoji891][emoji3083] sijui ni upi kati ya hii?
 
Asante Mkuu nasikia wapo waliosema kuwa GENTAMYCINE nimekufa, wengine wakisema kuwa nimepigwa LIFE ( PERMANENT BAN ), wengine wakisema kuwa hii Brand ID yangu ya GENTAMYCINE imekuwa Merged na iliyokuwepo kwa muda na Kimkakati ya Poisonous huku Wapuuzi ( Mapopoma ) wachache wakionyesha Kufurahia kwa Kutoiona tena hi ID hapa JamiiForums.

Nawashukuru kwa yote ila nipo na nimejaa tele tu hapa JamiiForums na Siku ambayo ID hi haitaonekana hapa Milele ni pale tu Pumzi yangu ya mwisho niliyojazwa na Mwenyezi Mungu wakati akiniiumba Kwake Mbinguni na kunifanya niwe Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer hivi ikiisha.

Nimalizie tu kwa kuwapa Ujumbe wale Wote Wanaonichukia GENTAMYCINE hadi kuniombea Mabaya kuwa kama Kunichukia Kwao huwa ni Dawa basi wajitahudi wamalize Dozi ili wapone.

Nimebarikiwa zaidi lazima tu nichukiwe.
Hahahahahaha bado wanapiga dozi sijui kama itaisha karibuni.

Hivi haji ni dugu ako? Eeee huyo huyo aji [emoji1787]
 
Rais sema tu kuwa kuanzia sasa hakuna Wanafunzi wa Vyuo Vikuu kukopeshwa Pesa na kwamba kuanzia sasa Wanafunzi wote wenye Sifa za kwenda Chuo Kikuu Serikali itawasomesha bure na kuwapa 100% ya Mahitaji yao.

GENTAMYCINE nimekuomba hili nikijua kuwa liko ndani ya Uwezo wako, Uchumi unaruhusu na litakufanya ukumbukwe Milele na Milele na kuwa ni Alama ya Kutukuka kwa nchi ya Tanzania.
Hayà mawazo yako yanafanana ya Yale ya LOWASA wa CHADEMA 2015. Aidha ulikuwa hujamuelewa kama unavyofunguka kivingine leo.
 
Unataka kuua vyuo wewe...Acha wakopeshwe masikini ila wenye uwezo walipe....Mimi naona aibu kusomeshewa mtoto wangu huku wapo ambao hata dawa ya malaria hawawezi nunua...Ukianza kuvifanya vyuo kutegemea budget ya central government badala ya loan ambayo ni angalau unaleta unafuu utaviua hivi vyuo kwa mifumo tuliyo nayo nchini kwetu
Wewe mzito wa kuelewa, wote watakaochaguliwa kuingia chuo kikuu watasoma hawahitaji kuomba mkopo na watagharamiwa mahitaji yao yote chuoni.
 
Wewe mzito wa kuelewa, wote watakaochaguliwa kuingia chuo kikuu watasoma hawahitaji kuomba mkopo na watagharamiwa mahitaji yao yote chuoni.
Wewe mwepesi wa kuelewa kwa hakika ila nadhani huna uzoefu tu....Tunaomba mtuachie mikopo yetu na watoto wa masikini wapewe wengi zaidi na zaidi hili ndilo la msingi....Mikopo ndiyo budget ya uhakika kwa vyuo vyetu vya umma.
 
Back
Top Bottom