Huyu mama anaelewa sana umuhimu wa katiba mpya.
Kama mkikumbuka wakati amepewa nafasi 2016 wakati walipokuwa wanawashukuru waandishi na wasanii kwa kuwasaidia kuingia ikulu, alizungumzia mchakato wa katiba mpya japokuwa mwenzie hakuipa nafasi kabisa.
Kinachomfanya kuwa na kigugumizi kuanzisha mchakato ni mazingira yaliyomuingiza kwenye urais. Kama angekuwa ameingia kwa kupigiwa kura moja kwa moja,na siyo kama mgombea mwenza naamini angeisha anzisha mchakato wa katiba mpya.
Kipindi anakuwa muoga akijua upinzani alionao ndani ya chama chake na wa vyama vya upinzani. Anajua katiba hii inampa mlango wa kuchaguliwa kirahisi,kwa kutumia mbinu walizozitumia huko nyuma,ndio sababu anaongelea katiba mpya ni baada ya 2025.
Kama mkikumbuka wakati amepewa nafasi 2016 wakati walipokuwa wanawashukuru waandishi na wasanii kwa kuwasaidia kuingia ikulu, alizungumzia mchakato wa katiba mpya japokuwa mwenzie hakuipa nafasi kabisa.
Kinachomfanya kuwa na kigugumizi kuanzisha mchakato ni mazingira yaliyomuingiza kwenye urais. Kama angekuwa ameingia kwa kupigiwa kura moja kwa moja,na siyo kama mgombea mwenza naamini angeisha anzisha mchakato wa katiba mpya.
Kipindi anakuwa muoga akijua upinzani alionao ndani ya chama chake na wa vyama vya upinzani. Anajua katiba hii inampa mlango wa kuchaguliwa kirahisi,kwa kutumia mbinu walizozitumia huko nyuma,ndio sababu anaongelea katiba mpya ni baada ya 2025.