#COVID19 Rais Samia: Tanzania haitakubali chanjo ya Corona kabla ya kujiridhisha

#COVID19 Rais Samia: Tanzania haitakubali chanjo ya Corona kabla ya kujiridhisha

Kwa faida ya nani?
Sio kwa faida ya nani?it's all about conformity in the end... There is no room for dissent in the western hemisphere...all that said I m sure waTanzania waliokufa na wangerudi,wangeikimbilia chanjo,pengine sisi tunao-argue against kuhusu tuna kiburi cha uzima,,,,lakini it makes no statistical or economical sense kufanya vaccine rollout kwenye nchi kama Tz,ambayo haiko affected kihivo....ili suala liachwe kwa individuals wenyewe wanunue chanjo wapigwe kama Hepatitis B,serikali ikijitwisha huu mzigo ikubali na lawama badae maana long term side effects hazijulikani bado
 
Naona unasema ikatuacha vilevile !! unaweka ushabiki kwasababu hujafiwa kaongee na wale Watanzania waliopeteza ndugu zao kuanzia mwezi wa kwanza 2020!. Chanjo ni kwa wale wanauhitaji kama hauko kwenye wahitaji basi usifanye lakini huna haki za kuweka siasa zako kwa wananchi wote kwasababu ya fikra binafsi. Hakuna mtu analazimishwa kufanya chanjo wanacho omba wengi ni upatikanaji tu maana hizi chanjo haziuzwi kwa watu binafsi kwa sasa. Chanjo zingekuwa zinapatikana wala watu wasingeongelea serikali. Mimi nimepoteza marafiki wawili Tanzania kwa Corona najua uchungu wake
Mkuu hao wengi wanaoomba chanjo ndio hawa tunaominyana nao k.koo?
 
Chanjo zinazodaiwa ni chanjo sio chanjo mkuu,nitaishangaa Tanzania kukubali hicho kinachoitwa chanjo,kwa kuwa sio chanjo,na itakuwa disaster kwa vizazi vijavyo,kama vitakuwepo at all baada ya kupokea hiyo C-19 injection/shot/jab as people call it,kwa vile sio chanjo.

Infact inafahamika sasa kwamba ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System or "Software of Life" as they call it.Kama unajua maana ya namba 666,you know who we are dealing with,Lucifer himself! This explains why Bill Gates is heavily involved in the C-19 shot.

Nia ya hii soft ware ni kuweza ku-reprogramme the DNA of humans as "they" (The NWO cabal) wish,which means that humans looses their humanity,and instead become zombies.It's so scary.
Uko vizur sana! I wish people could see this! Yaan ni aibu mtanzania kukubali chanjo wakati anajua tanzania inafanya mambo yake yakuunga ungaa! Hatuna facilities za kuzuia hazards effects za vaccine
 
Uko vizur sana! I wish people could see this! Yaan ni aibu mtanzania kukubali chanjo wakati anajua tanzania inafanya mambo yake yakuunga ungaa! Hatuna facilities za kuzuia hazards effects za vaccine

Mkuu I believe viongozi wetu wanajua what is happening,ila ni kama there is a demonic spell hovering over them.Alternatively inawezekana pia kwamba mrungura umeshapita.There is unlimited money kwenye swala la C-19 mkuu.

Halafu ni vema watu wakajua kwamba ukishapata hiyo shot,the effects are not reversible and your maximum life does not exceed 3years.Hii ndio maana wana-haha sana kumaliza kuchanjaa watu haraka ili vifo vingi vitakapo anza kurokea wawe wameshamaliza.
 
Mzee! Binafsi hizi taarifa zinanipaa wasiwasi sana! Kwanza tukija kwenye hiyo graphene oxide, nimedhibitisha hii chanjo iliyoshuka hapa tz ina hizo content za graphene oxide! Alafu kibaya zaidi wameleta aina 3 za chanjo!

Hapo naona watu wakichanganya vaccine of which is very very dangerous!

Tanzania hatuna neurologist wakutosha hivyo kama kutatokea hazards tutakufaa kama nzii

Binafsi nimeshuhudia watu waliochanjwa maneno yao! Kwa kweli wanajuta sana wengine wanajuta kwanini walizaliwa maana wamefanya mistake kubwa sana kwenye maisha yao!

Viongozi wetu tusiwalaumu! Nimekaa kwenye kikao chao na niseme ukweli... Mungu anisamehe kwa kutokua msiri ... Mm ni journalist na ukweli ni kwamba hata hao viongozi wengine hawakubaliani nayo

Wamekuja na mbinu moja hivi... Na watanzania naombeni mnielewe na muamini...

Zile vial za covid 19 vaccine zinatolewa original content na wanaweka water for injection na nimeskia wataeka small drop ya vitamin B injection kubadilisha muonekano isionekane kama maji... Hivyo Viongozii watajirecord wanachanjwa ili Wananchi wahamasike kupata jab!

Wananchii watakua wanarecordiwa wakichanjwa the original vaccine huku IMF wanatoa hela nyuma ya pazia

Viongozii wa tanzania sio wa kuwaaamini na kuwapa mandate ya kuamua nini kifanyike kwa afya yako !

We only have one life to live... No spare
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu leo akiwa anahutubia kwenye baraza la Eid amewatoa hofu mashehe na watanzania kwa ujumla kuwa Tanzania siyo uwanja wa majaribio na haitakubali kupokea chanjo ya Corona kabla ya kufanya utafiti wa faida na madhara ya chanjo hiyo kwa watanzania.

My take.

Chanjo ya corona aliyochanjwa Mbowe akiwa Dubai na akarudi mbio mbio kuhamasisha watanzania tuchanjwe haraka alijiridhisha madhara yake lini?

=====

Samia: Tutajiridhisha kabla ya kukubali chanjo ya corona​


  • Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ugonjwa wa Covid-19 umeathiri dunia nzima, ili kukabiliana nao lazima kushirikiana na mataifa mengine lakini Serikali itaendelea kuchukua tahadhari mbalimbali ikiwemo matumizi ya chanjo ya ugonjwa huo.

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ugonjwa wa Covid-19 umeathiri dunia nzima, ili kukabiliana nao lazima kushirikiana na mataifa mengine lakini Serikali itaendelea kuchukua tahadhari mbalimbali ikiwemo matumizi ya chanjo ya ugonjwa huo.

Kiongozi mkuu huyo wa nchi ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Mei 14, 2021 katika baraza la Idd lililofanyika leo jioni katika viwanja vya Karimjee mkoani Dar es Salaam.

Alizungumzia suala hilo baada ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) katika risala yao kutaka chanjo ya corona kutolewa kwa hiari huku Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zuberi akiwataka Waislamu kuzingatia maelekezo yanayotolewa na wataalam wa afya nchini kuhusu kujikinga na ugonjwa huo.
“Nataka kuhakikishia kwamba tahadhari mlizitoa hapa juu ya chanjo na mengine zitafuatwa kikamilifu na Serikali yenu, hata hivyo hii haina maana kwamba tutapokea kila kitu tunacholetewa au kuambiwa la hasha lazima na sisi tujiridhishe kwa hiyo.”

“Hata suala la chanjo nalo tutajiridhisha kabla ya kuamua kutumia au kuacha kutumia, hivyo nawasihi Watanzania kutokuwa na hofu yoyote Serikali ipo makini sana katika kushughulikia suala hilo,” amesema Rais Samia

View attachment 1785307
View attachment 1785308

RAIS SAMIA AHUTUBIA BARAZA LA EID ELFITR VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM​

1-2-scaled.jpeg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Baraza la Eid ElFitr ambalo Kitaifa limefanyika katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam leo tarehe 14 Mei, 2021.​

Tumepokea chanjo ya Johnson & Johnson kutoka Marekani
 
Mimi binafsi sitochanjwa, nipo tayari kutoa pesa yoyote kupata cheti cha kuonyesha nimechanjwa ili kinisaidie kwenye safari zangu hapo baadae
 
Mzee! Binafsi hizi taarifa zinanipaa wasiwasi sana! Kwanza tukija kwenye hiyo graphene oxide, nimedhibitisha hii chanjo iliyoshuka hapa tz ina hizo content za graphene oxide! Alafu kibaya zaidi wameleta aina 3 za chanjo!

Hapo naona watu wakichanganya vaccine of which is very very dangerous!

Tanzania hatuna neurologist wakutosha hivyo kama kutatokea hazards tutakufaa kama nzii

Binafsi nimeshuhudia watu waliochanjwa maneno yao! Kwa kweli wanajuta sana wengine wanajuta kwanini walizaliwa maana wamefanya mistake kubwa sana kwenye maisha yao!

Viongozi wetu tusiwalaumu! Nimekaa kwenye kikao chao na niseme ukweli... Mungu anisamehe kwa kutokua msiri ... Mm ni journalist na ukweli ni kwamba hata hao viongozi wengine hawakubaliani nayo

Wamekuja na mbinu moja hivi... Na watanzania naombeni mnielewe na muamini...

Zile vial za covid 19 vaccine zinatolewa original content na wanaweka water for injection na nimeskia wataeka small drop ya vitamin B injection kubadilisha muonekano isionekane kama maji... Hivyo Viongozii watajirecord wanachanjwa ili Wananchi wahamasike kupata jab!

Wananchii watakua wanarecordiwa wakichanjwa the original vaccine huku IMF wanatoa hela nyuma ya pazia

Viongozii wa tanzania sio wa kuwaaamini na kuwapa mandate ya kuamua nini kifanyike kwa afya yako !

We only have one life to live... No spare
Viongozi wa Tanzania hawaaminiki, ni kweli, lakini kwa hili wamekuwa tofauti kidogo, wamenawa mikono, mtu aamue mwenyewe, serikali haitawajibika.
 
Mzee! Binafsi hizi taarifa zinanipaa wasiwasi sana! Kwanza tukija kwenye hiyo graphene oxide, nimedhibitisha hii chanjo iliyoshuka hapa tz ina hizo content za graphene oxide! Alafu kibaya zaidi wameleta aina 3 za chanjo!

Hapo naona watu wakichanganya vaccine of which is very very dangerous!

Tanzania hatuna neurologist wakutosha hivyo kama kutatokea hazards tutakufaa kama nzii

Binafsi nimeshuhudia watu waliochanjwa maneno yao! Kwa kweli wanajuta sana wengine wanajuta kwanini walizaliwa maana wamefanya mistake kubwa sana kwenye maisha yao!

Viongozi wetu tusiwalaumu! Nimekaa kwenye kikao chao na niseme ukweli... Mungu anisamehe kwa kutokua msiri ... Mm ni journalist na ukweli ni kwamba hata hao viongozi wengine hawakubaliani nayo

Wamekuja na mbinu moja hivi... Na watanzania naombeni mnielewe na muamini...

Zile vial za covid 19 vaccine zinatolewa original content na wanaweka water for injection na nimeskia wataeka small drop ya vitamin B injection kubadilisha muonekano isionekane kama maji... Hivyo Viongozii watajirecord wanachanjwa ili Wananchi wahamasike kupata jab!

Wananchii watakua wanarecordiwa wakichanjwa the original vaccine huku IMF wanatoa hela nyuma ya pazia

Viongozii wa tanzania sio wa kuwaaamini na kuwapa mandate ya kuamua nini kifanyike kwa afya yako !

We only have one life to live... No spare
Dah,asante mkuu kwa hii taarifa, Mungu akubariki sana.
 
Mzee! Binafsi hizi taarifa zinanipaa wasiwasi sana! Kwanza tukija kwenye hiyo graphene oxide, nimedhibitisha hii chanjo iliyoshuka hapa tz ina hizo content za graphene oxide! Alafu kibaya zaidi wameleta aina 3 za chanjo!

Hapo naona watu wakichanganya vaccine of which is very very dangerous!

Tanzania hatuna neurologist wakutosha hivyo kama kutatokea hazards tutakufaa kama nzii

Binafsi nimeshuhudia watu waliochanjwa maneno yao! Kwa kweli wanajuta sana wengine wanajuta kwanini walizaliwa maana wamefanya mistake kubwa sana kwenye maisha yao!

Viongozi wetu tusiwalaumu! Nimekaa kwenye kikao chao na niseme ukweli... Mungu anisamehe kwa kutokua msiri ... Mm ni journalist na ukweli ni kwamba hata hao viongozi wengine hawakubaliani nayo

Wamekuja na mbinu moja hivi... Na watanzania naombeni mnielewe na muamini...

Zile vial za covid 19 vaccine zinatolewa original content na wanaweka water for injection na nimeskia wataeka small drop ya vitamin B injection kubadilisha muonekano isionekane kama maji... Hivyo Viongozii watajirecord wanachanjwa ili Wananchi wahamasike kupata jab!

Wananchii watakua wanarecordiwa wakichanjwa the original vaccine huku IMF wanatoa hela nyuma ya pazia

Viongozii wa tanzania sio wa kuwaaamini na kuwapa mandate ya kuamua nini kifanyike kwa afya yako !

We only have one life to live... No spare
Melchizedek it is bad luck,hata kama tungekuwa na virologist wa aina gani,hiyo chanjo ukishachanjwa basi,nobody can help you.
 
Mzee! Binafsi hizi taarifa zinanipaa wasiwasi sana! Kwanza tukija kwenye hiyo graphene oxide, nimedhibitisha hii chanjo iliyoshuka hapa tz ina hizo content za graphene oxide! Alafu kibaya zaidi wameleta aina 3 za chanjo!

Hapo naona watu wakichanganya vaccine of which is very very dangerous!

Tanzania hatuna neurologist wakutosha hivyo kama kutatokea hazards tutakufaa kama nzii

Binafsi nimeshuhudia watu waliochanjwa maneno yao! Kwa kweli wanajuta sana wengine wanajuta kwanini walizaliwa maana wamefanya mistake kubwa sana kwenye maisha yao!

Viongozi wetu tusiwalaumu! Nimekaa kwenye kikao chao na niseme ukweli... Mungu anisamehe kwa kutokua msiri ... Mm ni journalist na ukweli ni kwamba hata hao viongozi wengine hawakubaliani nayo

Wamekuja na mbinu moja hivi... Na watanzania naombeni mnielewe na muamini...

Zile vial za covid 19 vaccine zinatolewa original content na wanaweka water for injection na nimeskia wataeka small drop ya vitamin B injection kubadilisha muonekano isionekane kama maji... Hivyo Viongozii watajirecord wanachanjwa ili Wananchi wahamasike kupata jab!

Wananchii watakua wanarecordiwa wakichanjwa the original vaccine huku IMF wanatoa hela nyuma ya pazia

Viongozii wa tanzania sio wa kuwaaamini na kuwapa mandate ya kuamua nini kifanyike kwa afya yako !

We only have one life to live... No spare
Melchizedek unaweza kupata collection niliyofanya from all over the world from renowened scientists regarding C-19 kwenye link ifuatayo.Hapo pia utapata taarifa sahihi kuhusu lockdowns,face masks,social distancing na maamuzi mengine ya kijinga tunayo yaona kuhusu C-19.


 
Melchizedek unaweza kupata collection niliyofanya from all over the world from renowened scientists regarding C-19 kwenye link ifuatayo.Hapo pia utapata taarifa sahihi kuhusu lockdowns,face masks,social distancing na maamuzi mengine ya kijinga tunayo yaona kuhusu C-19.


Kumbee ngoja nizamie
 
Back
Top Bottom