#COVID19 Rais Samia: Tanzania haitakubali chanjo ya Corona kabla ya kujiridhisha

#COVID19 Rais Samia: Tanzania haitakubali chanjo ya Corona kabla ya kujiridhisha

Hii ni kauli ya Mh Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania Madam President Samia Suluhu Hassan. leo.

"Nataka kuwahakikishia kwamba tahadhari zote mlizotoa hapa juu ya chanjo na mengine zitafuatwa, kikamilifu na Serikali yenu, hata hivyo hii haina maana kwamba tutapokea kila kitu tutakacholetewa au kuambiwa la hasha lazima na sisi tukiridhishe.

Hata suala la chanjo tutajiridhisha kwanza kabla ya kuamua kutumia au kuacha kutumia.hivyo nawaasa watanzania kutokuwa na hofu yoyote Serikali iko makini sana katika kushughulikia suala hilo"......Rais Samia Suluhu Hassan 14/mei /2021.

MY TAKE ON COVID 19 VACCINE
Tanzania haina historia ya kugomea wala kukimbilia chanjo.
nikitolea mfano wa chanjo dhidi ya kansa ya shingo ya kizazi ambayo duniani ilianza kutumika mwaka 2006 ilichukua miaka 12 kuanza kutumika rasmi nchini Tanzania.Mwaka 2018 Serikali ilianza kueneza matumizi ya chanjo hii kwa awamu katika mikoa ya Tanzania.baada ya majaribio kadhaa miaka michache kabla.

Kenya walianza kuitumia mwaka mmoja au miwili kabla ya Tanzania.

Ikumbukwe kansa ya shingo ya kizazi imeumiza na kuua kina mama wengi pengine kuliko covid 19.do we have clear reasons why should the nation fast track and accept covid 19 vaccines?

Wazo la kufanya uchambuzi wa kina juu ya chanjo za corona ni wazo la kisayansi.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
View attachment 1784954
In a nutshell, chanjo inavyopigiwa chapuo, kauli hiyo inaonyesha rasimi kutua tz.
Kauli mrejesho: tumejiridhisha kupititia wataaramu wetu, madaktari na maprofesa kuwa chanjo ni salama pamoja na changamoto ndogo ilizonazo, ila itatumika hapa Tanzania kujikinga na corona, that's will be the end of the story.
Kinachohofiwa hapo ni international travel barriers kwa watu wasiokuwa na chanjo ya kirusi hicho. Mfano Leo Delta airline limetangaza kuwa wafanyakazi wake wote lazima wachanjwe ili kufanya kazi kwenye kampuni hilo kubwa la ndege marekani.
Watu wanataka billions of money out of hiyo chanjo, na hii ni moja ya sababu iliyomuua Magu.
Mama hana ubavu huo, hiyo kamati ni daganya toto tu, those guys are so easier to corrupt, watarambishwa kitita kitamu tu, wanakuja kumpa mama blaablaa tu na atakubali, na hivyo mama hana brain kubwa ya kuforecast mambo kama Magu, mwaka huu haupiti bila kupigwa chanjo.
 
Not yet.
Amandla....
Okay, good!

We are [the entire world] into this pandemic for well over a year and a half now.

Tanzania in particular, there hasn’t been anything serious or meaningful done to fight it.

No lockdowns. No mass testing. No social distancing. No wearing of masks, etc.

With all that, we haven’t seen people drop dead in the streets like we see in India!

Our hospitals are not overwhelmed like they are in India and Brazil or like they were in Italy.

I haven’t heard of any lack or shortage of oxygen like there is in India.

Over a year and a half into it, it’s safe to say [thus] far, we haven’t been as affected as others have been.

I trust my eyes…and I believe in them.

NB: Mind you..I didn’t say we don’t have corona. I just said we haven’t been as affected as others have.
 
Hii ni kauli ya Mh Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania Madam President Samia Suluhu Hassan. leo.

"Nataka kuwahakikishia kwamba tahadhari zote mlizotoa hapa juu ya chanjo na mengine zitafuatwa, kikamilifu na Serikali yenu, hata hivyo hii haina maana kwamba tutapokea kila kitu tutakacholetewa au kuambiwa la hasha lazima na sisi tukiridhishe.

Hata suala la chanjo tutajiridhisha kwanza kabla ya kuamua kutumia au kuacha kutumia.hivyo nawaasa watanzania kutokuwa na hofu yoyote Serikali iko makini sana katika kushughulikia suala hilo"......Rais Samia Suluhu Hassan 14/mei /2021.

MY TAKE ON COVID 19 VACCINE
Tanzania haina historia ya kugomea wala kukimbilia chanjo.
nikitolea mfano wa chanjo dhidi ya kansa ya shingo ya kizazi ambayo duniani ilianza kutumika mwaka 2006 ilichukua miaka 12 kuanza kutumika rasmi nchini Tanzania.Mwaka 2018 Serikali ilianza kueneza matumizi ya chanjo hii kwa awamu katika mikoa ya Tanzania.baada ya majaribio kadhaa miaka michache kabla.

Kenya walianza kuitumia mwaka mmoja au miwili kabla ya Tanzania.

Ikumbukwe kansa ya shingo ya kizazi imeumiza na kuua kina mama wengi pengine kuliko covid 19.do we have clear reasons why should the nation fast track and accept covid 19 vaccines?

Wazo la kufanya uchambuzi wa kina juu ya chanjo za corona ni wazo la kisayansi.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
View attachment 1784954
Kwenye chanjo ya kansa ya kizazi tulichelewa sana sio kwa sababu ya kutotaka au kujiridhisha ila tulikuwa wajinga katika hilo kuchelewa kupata hiyo chanjo ya cervical cancer.
Ndio maana leo ongezeko la vifo vinavyotokana na kansa ya shingo ya kizazi kwa wanawake Tz inaongoza kuliko mataifa ya Africa mashariki.
Kusema hatujakurupuka kukimbilia chanjo ni kujirudisha nyuma .
Katika mapambano hayo ya cervical cancer hadi leo tiba inatolewa tu ocean road ,KCMC na mwka Bugando itaanza utaona kuwa sisi tunatembea wakati wengine wanakimbia.
Zaidi ya akina wanawake elfu 6 Tz hufariki kila mwaka kwa kansa ya kizazi na maambukizi kila mwka ni elfu 70.
Kuchelewa kwetu kumepelekea madhara makubwa ikiwemo vifo.
 
Kwenye chanjo ya kansa ya kizazi tulichelewa sana sio kwa sababu ya kutotaka au kujiridhisha ila tulikuwa wajinga katika hilo kuchelewa kupata hiyo chanjo ya cervical cancer.
Ndio maana leo ongezeko la vifo vinavyotokana na kansa ya shingo ya kizazi kwa wanawake Tz inaongoza kuliko mataifa ya Africa mashariki.
Kusema hatujakurupuka kukimbilia chanjo ni kujirudisha nyuma .
Katika mapambano hayo ya cervical cancer hadi leo tiba inatolewa tu ocean road ,KCMC na mwka Bugando itaanza utaona kuwa sisi tunatembea wakati wengine wanakimbia.
Zaidi ya akina wanawake elfu 6 Tz hufariki kila mwaka kwa kansa ya kizazi na maambukizi kila mwka ni elfu 70.
Kuchelewa kwetu kumepelekea madhara makubwa ikiwemo vifo.
Wala hatukuchelewa kwani hadi leo zipo nchi hazijaanza.
Unadhani Kenya ,uganda au hata USA ambapo chanjo hiyo imetokea prevalance ya cervical cancer ipoje?
By the way protection yake ni kama miaka 10-15 na ukichukulia mtoto anayepewa ni wa miaka 9-13 ina maana by the age of 25 protection imepotea.Kumbuka at the age of 28 ndio vigori wetu wanaanza tena kasi ya kusaka mapedeshee sasa sijui kama ni kweli hata hii chanjo ya HPV iwapo itatupa matokeo tuliyotarajia.Hapa nailaumu TZ na dunia(WHO) pia.
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu leo akiwa anahutubia kwenye baraza la Eid amewatoa hofu mashehe na watanzania kwa ujumla kuwa Tanzania siyo uwanja wa majaribio na haitakubali kupokea chanjo ya Corona kabla ya kufanya utafiti wa faida na madhara ya chanjo hiyo kwa watanzania.

My take.

Chanjo ya corona aliyochanjwa Mbowe akiwa Dubai na akarudi mbio mbio kuhamasisha watanzania tuchanjwe haraka alijiridhisha madhara yake lini?

=====

Samia: Tutajiridhisha kabla ya kukubali chanjo ya corona​


  • Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ugonjwa wa Covid-19 umeathiri dunia nzima, ili kukabiliana nao lazima kushirikiana na mataifa mengine lakini Serikali itaendelea kuchukua tahadhari mbalimbali ikiwemo matumizi ya chanjo ya ugonjwa huo.

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ugonjwa wa Covid-19 umeathiri dunia nzima, ili kukabiliana nao lazima kushirikiana na mataifa mengine lakini Serikali itaendelea kuchukua tahadhari mbalimbali ikiwemo matumizi ya chanjo ya ugonjwa huo.

Kiongozi mkuu huyo wa nchi ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Mei 14, 2021 katika baraza la Idd lililofanyika leo jioni katika viwanja vya Karimjee mkoani Dar es Salaam.

Alizungumzia suala hilo baada ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) katika risala yao kutaka chanjo ya corona kutolewa kwa hiari huku Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zuberi akiwataka Waislamu kuzingatia maelekezo yanayotolewa na wataalam wa afya nchini kuhusu kujikinga na ugonjwa huo.
“Nataka kuhakikishia kwamba tahadhari mlizitoa hapa juu ya chanjo na mengine zitafuatwa kikamilifu na Serikali yenu, hata hivyo hii haina maana kwamba tutapokea kila kitu tunacholetewa au kuambiwa la hasha lazima na sisi tujiridhishe kwa hiyo.”

“Hata suala la chanjo nalo tutajiridhisha kabla ya kuamua kutumia au kuacha kutumia, hivyo nawasihi Watanzania kutokuwa na hofu yoyote Serikali ipo makini sana katika kushughulikia suala hilo,” amesema Rais Samia

View attachment 1785307
View attachment 1785308

RAIS SAMIA AHUTUBIA BARAZA LA EID ELFITR VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM
1-2-scaled.jpeg


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Baraza la Eid ElFitr ambalo Kitaifa limefanyika katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam leo tarehe 14 Mei, 2021.












Na utafiti unatumia kupitia vifaa vya hao waliotengeneza hiyo chanjo

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Wala hatukuchelewa kwani hadi leo zipo nchi hazijaanza.
Unadhani Kenya ,uganda au hata USA ambapo chanjo hiyo imetokea prevalance ya cervical cancer ipoje?
By the way protection yake ni kama miaka 10-15 na ukichukulia mtoto anayepewa ni wa miaka 9-13 ina maana by the age of 25 protection imepotea.Kumbuka at the age of 28 ndio vigori wetu wanaanza tena kasi ya kusaka mapedeshee sasa sijui kama ni kweli hata hii chanjo ya HPV iwapo itatupa matokeo tuliyotarajia.Hapa nailaumu TZ na dunia(WHO) pia.
Hujaangalia risk factors zingine zinazosababisha hiyo cervical cancer, umesahau magonjwa kama HIV/AIDS yanachochea sana Cervical cancer,just imagine siku hizi mtoto wa miaka 12 anaanza ngono,huyo yuko kwenye risk kubwa, HPV iliyotolewa Tz haijafika maeneo mengi kati wanawake 23 million ni elfu 20 tu ndo wamechanjwa.
 
Hivi kuchanja lazima na unamamlaka gani yakumwambia mtu ahame nchi kisa anamawazo tofauti na yako?
Fuatilia point zang humu kwanza ndipo uje, nilisema hata chanjo ikija sio lazima ww uchanjwe wapo watakaopenda. Iweje huyu jamaa yako alazimishe kua hakuna umuhim wa chanjo? Ili asikereke na awamu ya sita ni vyema akaenda mahali kutuliza akili.
 
Tena uwe utafiti wa faida na madhara ya chanjo ya muda mrefu!! Huu utafiti wa mwendo kasi haufai!! Mabeberu wakinuna Acha wanune tu!!
 
Kwenye ishu ya corona bongo tumeihandle perfectly...
Acha wazungu wahangaike na corona kama sisi tunavyohangaika na malaria
Ila balaa ni pale watakapotuzuia kwenda kwao.
 
"Alizungumzia suala hilo baada ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) katika risala yao kutaka chanjo ya corona kutolewa kwa hiari"

Tuna viongozi wa dini wanafiki kweli kweli nimeshindwa kuugred unafiki wao kwa kweli.

Ndio hawa walimpigia makofi hayati kuwa alikuwa sahihi kukataa barakoa za nje na chanjo zao na ndio hawa wataalamu walipolalamika kuhusu kufuata kanuni walisema "Mungu ni mkubwa kuliko sayansi"
Leo hawa hawa kwenye uongozi mwingine hata miezi sita ijapita wanadai chanjo iruhusiwe ili watu wachanje kwa hiari yao. Huu ni unafiki hata neno hiali hapo wameliweka kwa mtego ili watu wasiwalaumu wao...

Tutaona mengi na kusikia mengi na tabia za watu tutazijua kwa undani wake.



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
"Alizungumzia suala hilo baada ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) katika risala yao kutaka chanjo ya corona kutolewa kwa hiari"

Tuna viongozi wa dini wanafiki kweli kweli nimeshindwa kuugred unafiki wao kwa kweli.

Ndio hawa walimpigia makofi hayati kuwa alikuwa sahihi kukataa barakoa za nje na chanjo zao na ndio hawa wataalamu walipolalamika kuhusu kufuata kanuni walisema "Mungu ni mkubwa kuliko sayansi"
Leo hawa hawa kwenye uongozi mwingine hata miezi sita ijapita wanadai chanjo iruhusiwe ili watu wachanje kwa hiari yao. Huu ni unafiki hata neno hiali hapo wameliweka kwa mtego ili watu wasiwalaumu wao...

Tutaona mengi na kusikia mengi na tabia za watu tutazijua kwa undani wake.



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wanatamani reli, ndege, mabarabara, mahospitali wayafunge lakini haiwezekani

Magufuli aliwagaragaza akiwa Hai na atawagaragaza akiwa mauti.
 
Wala hatukuchelewa kwani hadi leo zipo nchi hazijaanza.
Unadhani Kenya ,uganda au hata USA ambapo chanjo hiyo imetokea prevalance ya cervical cancer ipoje?
By the way protection yake ni kama miaka 10-15 na ukichukulia mtoto anayepewa ni wa miaka 9-13 ina maana by the age of 25 protection imepotea.Kumbuka at the age of 28 ndio vigori wetu wanaanza tena kasi ya kusaka mapedeshee sasa sijui kama ni kweli hata hii chanjo ya HPV iwapo itatupa matokeo tuliyotarajia.Hapa nailaumu TZ na dunia(WHO) pia.
Mkuu hizi si ndio chanjo JPM alisema makusudio yake wanawake wasizae..

Jamani uongozi sio kutumia akili tu...intuition, dreams, hunches, gut feelings etc...kwa sayansi hatuwezi kuwashinda wazungu maana wao wako more advancehuku kujiridhisha sijui tunajiridhisha kwa technic zipi ambazo hazitajoka kwao

Labda mnieleweshe mie kihio..Km wao wamechanja wataambukizwaje na sisi tusiochanja?...Kwani tukiishi km kijiji tutakufa..tukae tu hapa tusisafiri tutatue matatizo yetu...tulime chakula chetu tufanye barter trade na madini yetu wayaache yana corona..

sio kila kitu kiwe applicable kwetu...mbona malaria inatuua hawajatutenga nayo

Hizo investments zao kwenye chanjo zisitutoe roho...let’s be brave tuwe na misimamo...
 
Makonda tuliambiwa amevamia ni mwizi ,fisadi mkubwa lakini mpaka leo unaelekea mwaka hana cheo chochote wala ulinzi wowote lakini hakuna hata mmoja aliyejitokeza kumpeleka mahakamani.

Je aliowaibia wameridhika tu?

Hata Sabaya hatakutwa na hatia yoyote ni majizi chadema yanamuonea wivu
 
Infact inafahamika sasa kwamba ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System or "Software of Life" as they call it.Kama unajua maana ya namba 666,you know who we are dealing with,Lucifer himself! This explains why Bill Gates is heavily involved in the C-19 shot.
😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hiyo camera iliyopiga picha ya Rais samia kiboko

hebu tudiscuss camera wajumbe,corona tuwaachie wazungu sisi tujifukize tu 😅
 
Eti
"Chanjo ya corona aliyochanjwa Mbowe akiwa Dubai na akarudi mbio mbio kuhamasisha watanzania tuchanjwe haraka alijiridhisha madhara yake lini?"

Kachanjwe wewe....
 
Hiyo camera iliyopiga picha ya Rais samia kiboko

hebu tudiscuss camera wajumbe,corona tuwaachie wazungu sisi tujifukize tu [emoji28]
Jikite kwenye hoja mkuu
 
Back
Top Bottom