#COVID19 Rais Samia: Tanzania haitakubali chanjo ya Corona kabla ya kujiridhisha

Kwa faida ya nani?
Sio kwa faida ya nani?it's all about conformity in the end... There is no room for dissent in the western hemisphere...all that said I m sure waTanzania waliokufa na wangerudi,wangeikimbilia chanjo,pengine sisi tunao-argue against kuhusu tuna kiburi cha uzima,,,,lakini it makes no statistical or economical sense kufanya vaccine rollout kwenye nchi kama Tz,ambayo haiko affected kihivo....ili suala liachwe kwa individuals wenyewe wanunue chanjo wapigwe kama Hepatitis B,serikali ikijitwisha huu mzigo ikubali na lawama badae maana long term side effects hazijulikani bado
 
Mkuu hao wengi wanaoomba chanjo ndio hawa tunaominyana nao k.koo?
 
Uko vizur sana! I wish people could see this! Yaan ni aibu mtanzania kukubali chanjo wakati anajua tanzania inafanya mambo yake yakuunga ungaa! Hatuna facilities za kuzuia hazards effects za vaccine
 
Uko vizur sana! I wish people could see this! Yaan ni aibu mtanzania kukubali chanjo wakati anajua tanzania inafanya mambo yake yakuunga ungaa! Hatuna facilities za kuzuia hazards effects za vaccine

Mkuu I believe viongozi wetu wanajua what is happening,ila ni kama there is a demonic spell hovering over them.Alternatively inawezekana pia kwamba mrungura umeshapita.There is unlimited money kwenye swala la C-19 mkuu.

Halafu ni vema watu wakajua kwamba ukishapata hiyo shot,the effects are not reversible and your maximum life does not exceed 3years.Hii ndio maana wana-haha sana kumaliza kuchanjaa watu haraka ili vifo vingi vitakapo anza kurokea wawe wameshamaliza.
 
Mzee! Binafsi hizi taarifa zinanipaa wasiwasi sana! Kwanza tukija kwenye hiyo graphene oxide, nimedhibitisha hii chanjo iliyoshuka hapa tz ina hizo content za graphene oxide! Alafu kibaya zaidi wameleta aina 3 za chanjo!

Hapo naona watu wakichanganya vaccine of which is very very dangerous!

Tanzania hatuna neurologist wakutosha hivyo kama kutatokea hazards tutakufaa kama nzii

Binafsi nimeshuhudia watu waliochanjwa maneno yao! Kwa kweli wanajuta sana wengine wanajuta kwanini walizaliwa maana wamefanya mistake kubwa sana kwenye maisha yao!

Viongozi wetu tusiwalaumu! Nimekaa kwenye kikao chao na niseme ukweli... Mungu anisamehe kwa kutokua msiri ... Mm ni journalist na ukweli ni kwamba hata hao viongozi wengine hawakubaliani nayo

Wamekuja na mbinu moja hivi... Na watanzania naombeni mnielewe na muamini...

Zile vial za covid 19 vaccine zinatolewa original content na wanaweka water for injection na nimeskia wataeka small drop ya vitamin B injection kubadilisha muonekano isionekane kama maji... Hivyo Viongozii watajirecord wanachanjwa ili Wananchi wahamasike kupata jab!

Wananchii watakua wanarecordiwa wakichanjwa the original vaccine huku IMF wanatoa hela nyuma ya pazia

Viongozii wa tanzania sio wa kuwaaamini na kuwapa mandate ya kuamua nini kifanyike kwa afya yako !

We only have one life to live... No spare
 
Tumepokea chanjo ya Johnson & Johnson kutoka Marekani
 
Mimi binafsi sitochanjwa, nipo tayari kutoa pesa yoyote kupata cheti cha kuonyesha nimechanjwa ili kinisaidie kwenye safari zangu hapo baadae
 
Viongozi wa Tanzania hawaaminiki, ni kweli, lakini kwa hili wamekuwa tofauti kidogo, wamenawa mikono, mtu aamue mwenyewe, serikali haitawajibika.
 
Viongozi wa Tanzania hawaaminiki, ni kweli, lakini kwa hili wamekuwa tofauti kidogo, wamenawa mikono, mtu aamue mwenyewe, serikali haitawajibika.
Duh
 
Dah,asante mkuu kwa hii taarifa, Mungu akubariki sana.
 
Melchizedek it is bad luck,hata kama tungekuwa na virologist wa aina gani,hiyo chanjo ukishachanjwa basi,nobody can help you.
 
Melchizedek unaweza kupata collection niliyofanya from all over the world from renowened scientists regarding C-19 kwenye link ifuatayo.Hapo pia utapata taarifa sahihi kuhusu lockdowns,face masks,social distancing na maamuzi mengine ya kijinga tunayo yaona kuhusu C-19.


 
Kumbee ngoja nizamie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…