Rais Samia: Tanzania inakusudia kuandaa Mashindano ya AFCON 2027. Viwanja 3 vipya kujengwa

Mbona viwanja ni vitatawanyika sana. Labda Dar waongeze kimoja, Tanga 1 na Pwani kimoja. Tena vijengwe maeneo karibia na Dar.
Umeongea vzr mkuu. Kwenda kujenga uwanja mkubwa porini huko hata hotel nzuri hakuna sijui hao wageni wakija watafikia wapi. Hapo viwanja kujengwa km ni vitatu iwe mwanza, arusha na Tanga over
 
Aidha, Serikali ifanye maboresho makubwa katika viwanja vya CCM Kirumba Mwanza, Uhuru Dar es Salaam na Jamhuri Morogoro Ili miji hiyo pamoja na viwanja vipya vitakavyojengwa iweze kuandaa Mashindano kwa pamoja.
Wazo zuri ila kama ni Jamhuri Morogoro ni bora kujenga kipya ili kuweka ukaribu kati ya kile cha Dom na Dar ikibidi kijengwe nje ya mji halfway ya Dar na Dodoma ili kuwa na viwanja vya kisasa kwenye maeneo yatakayopangwa vizuri kuleta sura mpya ya kimataifa
 
Wewe ni zwawa kabisa,unabisha vitu genuine..

Uhitaji kwako ni upi? Na huo uhitaji uko Mwanza ila Mbeya hakuna au?

Nani aliyesema kiwanja kitakuwa mali ya timu? Wapi serikali itapata mapato mengi kwenye timu au ambako viwanja vinakaa bure?
Hivi uwanja ukijengwa unadhani ndio kwisha habari yake..? 🤣🤣 wewe ni mpuuzi acha nikueleweshe kidgo maana mpumbavu wewe unaniita mm mpumbavu ikiwa hujatoa huo upumbavu ulio nao kochwani.

Angalia hapa 👇🏻
Uwanja unapojengwa wata angaalia je mji husika una miundo mbinu ya kutosha hususani viwanja vya ndege vikubwa na vyenye hadhi ya kimataifa moja hiyo. Pili kuna hoteli za kufikia wageni wa kimataifa wakija...? Mpaka hapo nadhani umepeta mwanga kidogo. Mbeya hakuna hata hoteli nyingi kubwa za kulaza watu wa kimataifa. Ujitambue na kama huna adabu tutakufunza adabu
 
Umeongea vzr mkuu. Kwenda kujenga uwanja mkubwa porini huko hata hotel nzuri hakuna sijui hao wageni wakija watafikia wapi. Hapo viwanja kujengwa km ni vitatu iwe mwanza, arusha na Tanga over
Wafanya biashara wa hoteli nao wataiona hiyo fursa. Kwanini hatupendi kuikuza miji ambayo bado haijakua?!!
Kila kitu kinalundikwa Dar na kwa kuibia Dodoma, miji mingine lini?
Tubadilike
 
Kuna world cup ilifanyika america kusini, tunaambiwa viwanja vilikuwa mbali mbali sana zaidi ya km 1,000. Nitafuatilia data kamili
 
Kuna world cup ilifanyika america kusini, tunaambiwa viwanja vilikuwa mbali mbali sana zaidi ya km 1,000. Nitafuatilia data kamili
 
Kuna world cup ilifanyika america kusini, tunaambiwa viwanja vilikuwa mbali mbali sana zaidi ya km 1,000. Nitafuatilia data kamili
 
Wafanya biashara wa hoteli nao wataiona hiyo fursa. Kwanini hatupendi kuikuza miji ambayo bado haijakua?!!
Kila kitu kinalundikwa Dar na kwa kuibia Dodoma, miji mingine lini?
Tubadilike
Wivu tuu wa Sukuma gang nothing else
 
Wafanya biashara wa hoteli nao wataiona hiyo fursa. Kwanini hatupendi kuikuza miji ambayo bado haijakua?!!
Kila kitu kinalundikwa Dar na kwa kuibia Dodoma, miji mingine lini?
Tubadilike
Ipo miji ambayo ina hivyo vitu kwa udogo toka kitambo na ina utalii ndani yake na mazingira yake yana ruhusu tatizo haisemwi. Mfano Tanga ni mji ambao hautajwi kwenye vitu kama hivi lakini ni mji ambao ungesimamiwa vzr naimani ungekua karibu na ilivyo dar.
 
Miundombinu mingine itajengwa sambamba na hiyo mingine..

Miundombinu gani zaidi ya Hotels Mzee? Unajenga uwanja na training grounds.
 
Wivu tuu wa Sukuma gang nothing else
Mkuu mm.sio sukuma gang mm ni mtu wa kaskazini na sina hata chembe ya sukuma gang. Na siwapendi hao sukuma gang ila napenda kusimamia usawa kwa kuangalia uhitaji uliopo.
 
Kuwa na timu tatu ligi kuu sio tatizo. Afu jifunze kujitambua mm sio mpumbavu mpuuzi wewe. Hizo timu basi zijijengee viwanja vyao. Viwanja vitakavyo jengwa na serikali sio mali ya vilabu hivyo. Tumia akili yalo vzr? Huna hoja afu unatukana watu.

🤣🤣ukiona mtu anatukana Basi ujue ameshindwa kutetea hoja yake,tetea hoja Kwanini uwanja usijengwe Mbeya ujengwe Mwanza?kwanini ujengwe Mbeya?!!siyo mnatukanana😬
 
🤣🤣ukiona mtu anatukana Basi ujue ameshindwa kutetea hoja yake,tetea hoja Kwanini uwanja usijengwe Mbeya ujengwe Mwanza?kwanini ujengwe Mbeya?!!siyo mnatukanana😬
Amenitukana mno sema naona kaelewa ni memuelewesha hivyo hivyo
 
Ila wasisahau pia training facilities maana sio viwanja tuu. Pia hotels za nyota tano.

Uzuri mama kashaona hapa hii timu yetu ya kichwa cha mwendawazimu bila kuwa host afcon tutaionaga kwenye tv tuu. 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…