Rais Samia: Tanzania inakusudia kuandaa Mashindano ya AFCON 2027. Viwanja 3 vipya kujengwa

Rais Samia: Tanzania inakusudia kuandaa Mashindano ya AFCON 2027. Viwanja 3 vipya kujengwa

Washindani wa Tanzania kwenye mbio za AFCON ni Botswana na Namibia ambao wanapanga kuandaa kwa pamoja 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-171551.png
    Screenshot_20220603-171551.png
    84.9 KB · Views: 12
Nawasalimu Wapenzi wote wa Michezo Tanzania kwa jina la JMT..




1. Dodoma-Seating Capacity 80,000-100,000

2. Mbeya -Seating Capacity 50,000-60,000

3. Arusha- Seating Capacity 40,000-50,000

4. Unguja/Zanzibar- Seating Capacity 20,000-40,000

Kazi iendelee👇

Zanzibar nako kunahitajika uwanja wa 50,000 - 60,000, 40,000 ni ndogo sana for the future. Tanzania tunahitaji viwanja vikubwa mana population yetu ni kubwa na pia mapenzi yetu ya mchezo wa football ni makubwa.
 
Unfortunately Mashindano yataandaliwa kwa pamoja na Uganda 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220717-182836.png
    Screenshot_20220717-182836.png
    140.1 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220717-183030.png
    Screenshot_20220717-183030.png
    123.8 KB · Views: 5
Nawasalimu Wapenzi wote wa Michezo Tanzania kwa jina la JMT..

Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa Rais Samia kuupiga mwingi, amesema Serikali yake inajipanga na kujiandaa kwa ajili ya kuomba kuandaa na kuwa Mwenyeji wa Mashindano ya AFCON mwaka 2027.

Hayo yamesemwa na Rais Samia wakati akipokea Kombe la Dunia na kuwataka Viongozi wa Michezo na wengine kwenye sekta mbalimbali wajiandae Ili kufanikisha Nia hiyo.

Aidha, Rais Samia amesema inahitajika walau viwanja vikubwa vingine kama 3 hivi Ili kufanya jumla ya viwanja vyenye hadhi vipatavyo 6.

Mimi kama mdau wa Michezo naunga mkono wazo hili la Serikali na Kwa hiyo kuanzia mwaka huu waanze kutenga pesa za kujenga viwanja na miundombinu mingine.

Napendekeza Viwanja hivyo vipya na training grounds vijengwe kwenye miji ifuatayo;

1. Dodoma-Seating Capacity 80,000-100,000

2. Mbeya -Seating Capacity 50,000-60,000

3. Arusha- Seating Capacity 40,000-50,000

4. Unguja/Zanzibar- Seating Capacity 20,000-40,000

Aidha, Serikali ifanye maboresho makubwa katika viwanja vya CCM Kirumba Mwanza, Uhuru Dar es Salaam na Jamhuri Morogoro Ili miji hiyo pamoja na viwanja vipya vitakavyojengwa iweze kuandaa Mashindano kwa pamoja.

Kazi iendelee👇
Hakuna kiwanja Kanda ya ziwa ambapo ndipo kwenye idadi kubwa ya watu n mashabiki wanapenda mpira?
 
Back
Top Bottom