Rais Samia: Tanzania inakusudia kuandaa Mashindano ya AFCON 2027. Viwanja 3 vipya kujengwa

Nakubaliana na wewe mkuu.
Lakini, Tanzania imebahatika kwenye vivutio,karibu mikoa yote ina vivutio.
Hizi shughuli za kimataifa zinatakiwa ziwahamasishe wawekezaji wa ndani na nje wakishikwa mkono na serikali,kwenda kuwekeza kwenye maeneo ambayo bado hayajaamka. Rejea stand za mabus zilizo jengwa nje ya maeneo yaliyo changamka, wafanyabiashara wamezifuata zilipo.

Kama ni kiwanja kikubwa cha mpira hata Mtwara au Kigoma kinaweza kujengwa na kikaenda sambamba na ujenzi wa miundombinu husika, lakini kung'ang'ania kila kitu kiwe miji fulani matokeo yake ni watu kujazana kwenye hiyo miji huku mingine ikibaki miji mfu
 
Zile gari / mabasi ya Umeme yenyewe ni mwaka gani ?

Kukusudia kuandaaa na ku-bid ili kuandaa na kupewa uandaaji are different ball games
 
Vizuri mkuu. Sasa kwa idadi ya viwanja vitatu miji gani kwako wewe kwa sasa unapendekeza.?
 
Vile viwanja vya chama vinakarabatiwa na chama au serikali? Nikipata jibu namimi nitapata pakuchangia
 
Mkuu mm.sio sukuma gang mm ni mtu wa kaskazini na sina hata chembe ya sukuma gang. Na siwapendi hao sukuma gang ila napenda kusimamia usawa kwa kuangalia uhitaji uliopo.
Sukuma gang ni itikadi iliyoasisiwa na Wasukuma wa Mwendazake
 
Tanga kuna utalii milima ya Usambara, Barabara zipo vizuri, Bandari ipo,Usafiri upo ambao una kidhi viwango....Mama afikirie Tanga (Coastland)
 
Pamoja na kuwa serekali imeahid kujenga pia vilabu navyo viwe na malengo hayo Kama simba na yanga wanapaswa kuwa na viwanja vyao
 
Atakuwa Alikuwa anaigiza Royo Tua... au labda kuna mkopo anafukuzia...
 
Tunahitaji watoto wawe wanafundishwa michezo sana kutegemea na vipaji vyao na michezo wanayoipenda

Tatizo hatuwekezi sana kwenye michezo
Yaani Olympic tunaishia kupeperushiwa bendera tu
 
Mleta uzi ni mshamba uache kujenga Tanga ukajenge kwa ujinga wako sijui Arusha na mbeya Kama hujui soka kaa utulize kibox manyoya
 
Wewe ni mpumbavu,uhitaji wa nini labda?

Kungekuwa hakuna uhitaji timu 3 Ligi Kuu,timu 3 Championship,timu 3 Second Division..Hapo wapi kuna uhitaji sasa?
Timu zipi kelele kibao kwa kipi mlicho nacho kaeni porini unyakyusa mwingi ushamba tu
 
Mzeya lazima uangalie pia baada ya mashindano hayo mahotel kweli watu wataenda. Five star hotel ukajenge lindi sii majanga hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…