Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Mkakati mahsusi uandaliwe ili kukabiliana na wimbi la Tatu la Covid hasa kwa Wananchi wenye vipato vya chini.
Lockdown itaangamiza wengi kwa njaa, muhimu ni kuchukua taadhali na kujiwekea akiba hasa Nishati, Chakula, Maji na kupunguza Safari zisizo za lazima/mikusanyiko.
Lockdown itaangamiza wengi kwa njaa, muhimu ni kuchukua taadhali na kujiwekea akiba hasa Nishati, Chakula, Maji na kupunguza Safari zisizo za lazima/mikusanyiko.