Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya kadungweKama wewe siyo mtu wa kusafiri, nani kakulazimisha kuchanjwa? Lakini Kama unasafiri kwa wenzetu, jua kwamba ni lazima uchanjwe. La sivyo huwezi kuingia kwenye nchi zao. Tumia akili siyo blah blah na “blanket statements”. For one size does not fit all. Hamjazoea ukweli kuwa siyo wote wenye mawazo sawa?
Pointless. Pole kwa uelewa wako kiduchu.haya kadungwe
Wataalamu wepi?Uwe msikivu na usikilize wataalamu.
Kadungwe unenepe makalio.Pointless. Pole kwa uelewa wako kiduchu.
Wewe umetengeneza kitu gani?Wataalamu wepi?
Hawa makanjanja wasioweza kutengeneza hata panado?
Ni usanii tu kinachofanyika,hiyo Corona haipo kiviile hata yeye mama mwenyewe anajua ni vile kuonyesha tu na yeye kama anajali.Moja ya tahadhari ni kupunguza au kuacha mikusanyiko isiyo ya lazima!
Sasa yeye badala ya kuonyesha mfano kwa vitendo, anaenda kukusanyika na hao mapadri! Tena wamekusanyika ndani ya jengo. Siyo nje kwenye hewa inayozunguka vizuri.
Halafu kuna kwaya ilikuwa inaimba. Unapoimba huwa kuna vichembe chembe vya mate vinavyoruka. Na kama upo karibu na wengine, vinaweza kuwadondokea hao watu kirahisi sana.
Hayupo serious huyo mama. Anatoa tu maneno ya kuwafurahisha baadhi ya watu lakini vitendo vyake havionyeshi kama yuko serious.
Marekani huko shughuli za kikanisa zilisitishwa kabisa na watu wakawa wanasali kupitia mitandao, Zoom, YouTube, Facebook, nk.
Nimetengeneza barakoa ya kitenge.Wewe umetengeneza kitu gani?
Aiseee ya nini sasa na wewe unasema hali ni shwari?Nimetengeneza barakoa ya kitenge.
Wewe ulitakaje?Aiseee ya nini sasa na wewe unasema hali ni shwari?
“Tanzania tuna wagonjwa wa wimbi la Tatu la Corona. Hili jambo bado lipo, tuchukue hadhari zote na tunawaomba viongozi wa dini mseme hili kwa sauti kubwa"
Rais Samia Suluhu Hassan wakati akizungumza na baraza la maaskofu katoliki (TEC) #Tanzania #COVID19
=========
Rais Samia Suluhu: Wahashamu, baba Maaskofu kama mnavyofahamu, dunia kwasasa inakabiliwa na mlipuko wa Covid-19 na nafahamu kanisa tangu mwanzo limekuwa na msimamo Thabit katika kupambana na ugonjwa huu hivyo basi niwaombe sana Maaskofu msisahau kuwakumbusha waumini kuhusu wa kujikinga na kuchukua Tahadhari zote zinazoelekewa na wataalam wa Afya dhidi ya ugonjwa wa Corona.
Kwakuwa Kinga ni Bora kuliko Tiba, tusiache kutumia kila kitakachotukinga na maradhi haya ili kuepesha vifo vya makundi.
Kama tunavyojua, duniani sasa hivi kuna wimbi la tatu la Corona, tumetoka kwenye wimbi la kwanza Tanzania tumeingia, limekwenda limepungua kidogo, tumeingia Wimbi la Pili tumekwenda nalo na sasa kuna Wimbi la Tatu.
Ishara ndani ya nchi tayari zinaonekana, tayari tuna wagonjwa ambao wameshaonekana katika kwenye wimbi hili la Tatu. Kama mnakumbuka siku nilitembelea hospitali ya Mwananyamala, kuna wodi daktari mfawidhi alikuwa ananiingiza akaniambia humu kuna wagonjwa wenye matatizo ya kupumua, nikamwambia hebu kuwa muwazi, ni covid, akaniambia ndio Covid wakati wapiga picha wangu tayari wameshatangulia, nikawaambia nyie tokeni haraka huko.
Kwahiyo ni kusema kwamba hili jambo bado lipo, tusijiche, bado lipo tuchukue hadhari zote na tunawaomba sana viongozi wa Dini mliseme hili kwa sauti kubwa, kwa waumini wetu ili tujiepushe na vile vifo vya makundi.
Pamoja na yote hato, ni vyema pia tumuombe Mungu kwa kiasi kikubwa aendelee kutuepusha na kutupa hifadhi yake kutokana na maradhi hasa Janga hili la Corona kwakuwa yeye ndio Muweza wa Yote.
Hii biashara ya kusema "eti wengi walikufa" walikufa wapi huko ambapo wengine hawafiki?.Hata kama sikufa Mimi wengi walikufa kwa kuaminishwa uongo na yule tapeli Mwendazake
You’re a hopeless piece of shit.Kadungwe unenepe makalio.
Alipewa mpaka tuzo ya kuishinda Corona.Ni vizuri Mama anatuambia ukweli,Yule mwingine ilikuwa anakimbilia kujifungia kwao halafu anakwambia Corona ilishafukuzwa nchini
Rudi tulipoanziaWewe ulitakaje?
Kwani amesema uongoMama anakuja anapopataka ila akiingia kichwa kichwa tutaomnyoosha atuachie nchi yetu.
Hii ndiyo legacy ya mwendazake; kuwabadilisha watu wenye akili timamu kuwa majinga na maghalasha ya ajabu! Watu wanafariki kwa COVID 19 wewe 'unagaya' tu, unataka kujaribu sumu kwa kuionja!?Hilo wimbi la tatu liko kwenye magazeti na televisheni, lakini huku mtaani hakuna cha wimbi wala bibi yake na wimbi.
Hizo fedha za wazungu mlizokula hakika mtazitapika majizi nyinyi. Maana hamuishi kuweweseka na makorona kama visungura tope.
Huku Buzza kwanza hatujui hata maana ya corona. Tunaisikiaga tu kwenye mitandao na majarida.
Kwendeni huko na mabarakoa yenu uchwara!
Matapeli wakubwa!