#COVID19 Rais Samia: Tanzania tuna wagonjwa wa Wimbi la Tatu la Corona

#COVID19 Rais Samia: Tanzania tuna wagonjwa wa Wimbi la Tatu la Corona

Huyu mama nae anataka kuleta heka heka, ngoja tuone.
 
Lini wanaanza kutoa daily data za wagonjwa na mahali walipolazwa?
 
Tunakushukuru Madam President kwa Tahadhali sasa yunaomba utoe maelekezo haya
1. Daladala iwe kukeep social distance seat 1 iwe empty kila baada ya mtu

2. Mbio za Mwenge wa Uhuru zisimame ni kueneza ugonjwa

3. Bunge la bajeti nalo likatishwe kuepuka phase 3 ya Covd 19.

4. Piga Curfew, bar mwisho saa 1 jioni na shughuli zingine

5. Twanga Lockdown angalau siku 30. Mtu asitoke zaidi ya kata yake.

6. Fanya Mass Testing mtaa kwa mtaa , door to door.

7. Vurumisha Chanjo kwa kila anayepumua Tz

Nashukuru kwa kuwa huwa unapitia humu na kusoma naamini utalitekeleza vzr.

Ni hayo tu mama
go to hell!
 
Tunakushukuru Madam President kwa Tahadhali sasa yunaomba utoe maelekezo haya
1. Daladala iwe kukeep social distance seat 1 iwe empty kila baada ya mtu

2. Mbio za Mwenge wa Uhuru zisimame ni kueneza ugonjwa

3. Bunge la bajeti nalo likatishwe kuepuka phase 3 ya Covd 19.

4. Piga Curfew, bar mwisho saa 1 jioni na shughuli zingine

5. Twanga Lockdown angalau siku 30. Mtu asitoke zaidi ya kata yake.

6. Fanya Mass Testing mtaa kwa mtaa , door to door.

7. Vurumisha Chanjo kwa kila anayepumua Tz

Nashukuru kwa kuwa huwa unapitia humu na kusoma naamini utalitekeleza vzr.

Ni hayo tu mama
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hilo wimbi la tatu liko kwenye magazeti na televisheni, lakini huku mtaani hakuna cha wimbi wala bibi yake na wimbi.

Hizo fedha za wazungu mlizokula hakika mtazitapika majizi nyinyi. Maana hamuishi kuweweseka na makorona kama visungura tope.

Huku Buzza kwanza hatujui hata maana ya corona. Tunaisikiaga tu kwenye mitandao na majarida.

Kwendeni huko na mabarakoa yenu uchwara!

Matapeli wakubwa!
Najiuliza hilo wimbi la tatu liko wapi?
 
Wakati wenzetu wanataka kuanza kuzifungua nchi zao

Sisi ndio tuna rewind kaseti.

It is too late now.

Mpaka iwaingie akilini watu kuwa kuna corona na tuingie lockdown itachukua muda,

Hakuna anayemuelewa Rais.
 
Waziri Mahiga, Mbunge Mchungaji Rwakatare, Katibu Mkui Kiongozi Kijazi, Mbunge Richard Ndassa, Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif, Rais wa Jamhuri ya Muungano Magufuli, na wengine wengi.
Weka vyeti vya daktari tuone kama kweli walikufa kwa corona!

Ama sivyo, tuamini kwamba nyinyi MAJIZI ndio mliowauwa.
 
Wakati wenzetu wanataka kuanza kuzifungua nchi zao

Sisi ndio tuna rewind kaseti.

It is too late now.

Mpaka iwaingie akilini watu kuwa kuna corona na tuingie lockdown itachukua muda,

Hakuna anayemuelewa Rais.
Mama anajipendekeza sana kwa kuonyesha udhaifu kisa apate tu misaada. Na watampa ''misaada" kama atakavyo! Hamna vya bure...
 
Bimkubwa kwenye hili la Corona ni kama kuna Taasisi za nje anataka kuzifurahisha. Ila tulio wengi tumeshakataa kwamba Corona haipo TZ na ndio maana tunashonana kwenye mwendokasi na masokoni bila barakoa na hautuoni hospitali kuwekewa Oxygen

Bongo korona hakuna, Period!!!
Mkuu jikinge na wakinge ndugu zako. Mtoto wa Museveni yupo hoi akisumbuliwa na hii kitu.

Kirusi kimepitia kanda ya ziwa kimetokea Uganda kinasumbua. Juzi kafa Doctor mmoja bugando.
 
Kwani huyo dokta ni nani mpaka asife?

Kabla ya corona, hao madokta wako walikuwa hawafi?

Ona kichaa huyu! Ati dokta mmoja kafa!

Kwahiyo?
Ubishi wa kipumbavu kama huu wa kwako umepoteza maisha ya wengi sana.

Wenye akili wanavaa barakoa wakiwa katika mikusanyiko.
 
Mtaongea kila lugha safari hii, ila mjue tupo zama zingine sio zile za yule aliyekufa na hatarudi tena hivyo mbadilike tu
Jiangalieni tu msije anza kuwa mazuzu!!

Kwa mfano hapo kinachokupa mchecheto ni kuwepo kwa korona ya magazetini wimbi la tatu au ni mahaba kwa mama?
 
Back
Top Bottom