#COVID19 Rais Samia: Tanzania tuna wagonjwa wa Wimbi la Tatu la Corona

#COVID19 Rais Samia: Tanzania tuna wagonjwa wa Wimbi la Tatu la Corona

Misukule ya bwana yule ungali inambishia Mama kuwa huo ugonjwa haupo.

Kusikia kwao heri ya kenge.

Haipo haja ya kubishana chanjo ni hiari.
Hata alivokuwa anaumwa walificha sawa na mficha maradhi... Hata kuficha aina ya kifo haishangazi.kwa nini kuficha? Mama anajiuliza, kwa nini! Waliojivik uongo hawaelewi
 
Wengi wapi hao?

Una wazimu wewe? Hao wengi uliwauwa wewe!?

Tutafika tu.... majizi ya chanjo nyinyi!

We can not allow our people to be vaccinated with TOXIC poisons!

Hizo pesa za wazungu mlizokula ni bora mzitapike wakati mnao muda bado.
Mimi sijachanjwa na sitakuja kuchanjwa lakini najua kuwa corona ipo na ni hatari.

Una uhuru na maoni yako na yanaheshimiwa.
 
Jiangalieni tu msije anza kuwa mazuzu!!

Kwa mfano hapo kinachokupa mchecheto ni kuwepo kwa korona ya magazetini wimbi la tatu au ni mahaba kwa mama?
Fuatilia tangu nilipocomment mwanzo ndio utaelewa
 
Mkuu jikinge na wakinge ndugu zako. Mtoto wa Museveni yupo hoi akisumbuliwa na hii kitu.

Kirusi kimepitia kanda ya ziwa kimetokea Uganda kinasumbua. Juzi kafa Doctor mmoja bugando.
Ug wanazika majeneza matupu kutisha watu video ipo inazunguka
 
WHO watatupenda sasa, nchi wahisani watatupa mikopo na misaada ya kujikinga na corona. Tunaomba chanjo ya Astra Zeneca aliyochanjwa mh Mbowe ije haraka .
Corona inatisha Tanzania, nenda kariakoo, mabasi ya mwendo kasi watu wengi wana mafua, hamuoni? Tunaunga mkono juhudi za mama yetu.
 
Minajionea mapicha pichatu, kwenye mwendokasi na daladala tunajazana kama dagaa, huku mitaaninako tukopoa tu anyway, Mungu bado anatupenda mana mawimbi yana tangazwa yanapita sisi tupogo tu.
 
Watu gani hao?

Nyie madalali wa machanjo ya wazungu mmechanganyikiwa sio bure!

Mtaani hakuna corona. HAIPO HAIPO HAIPO.

HAIPOOO!

Corona ipo kwenye magazeti na TV tuuuu!!
Juz nilikuwa Zanzibar kwenye Tamasha na wazungu wengi tu tuna cheza mziki na kunywa na tuna kumbatiana,, na mpaka sasa sija pata corona, ila nilikunywa bia ya corona
IMG_20210625_092922_0.jpg
 
Kwanza hili ni KWELI kuwa CORONA IPO, hapo hakuna ubishi.
Hoja ni hii ipo kwa kiwango gani?
Je tunajikingaje?
Je nchi za wenzetu tu adapt namna yao?
Je tunaweza kuudhibiti kulingana na jiografia yetu?

SWALI FIKIRISHI
Maeaktari na wataalam wetu mtueleze,
Hizi PHASES za Covid 19 nani anaziweka na kuziachia
Ilitangazwa Phase 2 ikapita sasa Tangazo tunaenda Phase3.
Je ziko Phase ngapi ili kama akiba tuweke kabisa tukae home.? Tanesco mjipange msikate Umeme.
As if sasa tunafuta wale wenye Conspiracy theory
 
Jamani tusitiane hofu maana hofu ni mbaya kuliko ugonjwa wenyewe..
Tuishi km ndege wa angani..maana tunachanganywa tu... wanasema hata km tukichanjwa haina guarantee ya kukingwa na Corona...maswali ni mengi kuliko majibu...

Ukihoji unaambiwa mpumbavu huna elimu, conspiracy theory ..kinachobakia kutishana tu

Na uzuri JPM alishasema tutatishwa sana...na hiki ndicho kinachotokea sasa..kupigwa hofu tu mwanzo mwisho
 
Ubishi wa kipumbavu kama huu wa kwako umepoteza maisha ya wengi sana.

Wenye akili wanavaa barakoa wakiwa katika mikusanyiko.
Barakoa huendana na kuepuka mikusanyiko ila sisi tunakusanyana tu mikusanyiko isiyo ya lazima mara sijui mkutano wa vijana mara wanawake halafu et tunategemea barakoa.
 
Back
Top Bottom