#COVID19 Rais Samia: Tanzania tuna wagonjwa wa Wimbi la Tatu la Corona


Ujumbe kuntu kutokea kwa rais wetu kipenzi Mama Samia rais wa JMT.
 
Si ndio kasema hivyo? Ama unataka avue waliovaa barakoa kwa nguvu kama yule kichaa?
Mwambie afunge nchi! Akataze mikusanyiko, kusafiri na afunge hata ibada, mwenzio museven kafanya hivyo ndio nlichkuwa namaanisha sasa wewe kwakuwa bado una mimba ya yule kichaa basi kila kitu lazima umuhusishe!

Wanawake wengine mna shida hasa mkiwa wajawazito
 
Asante kwa matusi. Ndicho ulichobakiza tu hicho. Tutafika huko tu kama ndio maombi yako. Wengine tunaomba Mungu tusifike huko. Chuki imekujaa mpaka hata Rais mwana CCM pia haumpendi! Lo!
 
Mbona hukufa kama hukuambiwa ukweli?
Na kama umeambiwa ukweli anza kujifungia home maana watu wengi bado wanajichanganya tu.

Na bado. La Corona sasa liko pazuri. Baada ya hili katiba mpya. Hamtaki Burundi watawapokea kwa mikono miwili.
 
Asante kwa matusi. Ndicho ulichobakiza tu hicho. Tutafika huko tu kama ndio maombi yako. Wengine tunaomba Mungu tusifike huko. Chuki imekujaa mpaka hata Rais mwana CCM pia haumpendi! Lo!
Nani kakwambia smpendi rais?
 
Kunyweni bupiji mkitembea kifua mbere ka-korona ni kaugonjwa kadogo tulishawahi kukashinda kwa staili hii, au nasema uongo ndugu zangu ?
 

Boya umejitahidi kuzama!

Ila ukweli ni kuwa, iwaje hakuwana taarifa ya sehemu aliuokua akitembelea kwenye hiyo hospital mpaka eti wapiga picha wake wakawa wameingia kimakosa??
 
Hekima ya kudungwa machanjo yenye sumu?

Nyie madalali wa chanjo ni vituko kweli kweli!
Kama wewe siyo mtu wa kusafiri, nani kakulazimisha kuchanjwa? Lakini Kama unasafiri kwa wenzetu, jua kwamba ni lazima uchanjwe. La sivyo huwezi kuingia kwenye nchi zao. Tumia akili siyo blah blah na “blanket statements”. For one size does not fit all. Hamjazoea ukweli kuwa siyo wote wenye mawazo sawa?
 
Wimbi la pili lilikuwepo wakati gani ? Dunia inaweza ikawa inakabiliana wimbi la tatu ila kuna kipindi sisi tulijitenga na dunia nawaomba wapitie vizuri wajue tupo wimbi la ngapi
 
Watu kama wewe ndio huwa haichelewi kuwanyoosha matokeo yake mnatusumbua kuwasingizia magonjwa ambayo sio yenu ili kutaja cause of death.

Uwe msikivu na usikilize wataalamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…