Rais Samia, tengua uteuzi wa Waziri Makamba na Bodi nzima ya TANESCO. Au na wewe una maslahi na kinachoendelea?

Sasa ndo naelewa kwann Mbowe ndg yetu mjomba wa Tanzania Yuko lupango the state imecolapse
 
Anaachaje kuwa na interest ya kinachoendelea wakati ndo alomteua January hapo ilhali akijua January alikuwa miungoni mwa mabepari yalokuwa yakipinga ujenzi wa bwawa la Nyerere?
 
Anyway, ukimtoa Makamba unamweka nani ?
Ina maana expatriates wote tulionao hakuna wa kukalia kiti kile😆?

Mbona unanichekesha mkuu, wako watu waliobobea katika management ya electric industry toka abroad ni diaspora tunaweza waweka.

Najua wabongo hatuaminiani hasa waliosomea vyuo vya humu humu ila wako walio exposed ulaya they can play part n parcel ya kuokoa jahazi!
 
Atawezea wapi kumtengua mswahilii mwenzake, waswahili hujuana kwa vilemba. Wote hao wa mwambao wa pwani tabia ni moja, wanajuana vema.
 
Kwani washamba wako bado wapo madarakani?

Si chama kimerudi kwenye mikono salama?
 
Atawezea wapi kumtengua mswahilii mwenzake, waswahili hujuana kwa vilemba. Wote hao wa mwambao wa pwani tabia ni moja, wanajuana vema.
Kweli kabisa yule aliyekuwa TAMISENI aliboronga akabadilishiwa wizara lakini msukuma akaliwa kichwa !
 
Makamba JR na bodi ndio wameleta ukame? Hivi ni chuki zinawasumbua au ni ni hasa?

In fact wapuuzi wa awamu ya 5 ndio wametufikisha hapa,haiwezekani unaweka pesa nyingi Kwenye mradi ambao haujui utaisha lini maana pesa za kuukamilisha huna na hujawekeza kujiandaa na hali ya dharura kama ukame huku ukitegegemea kudra za Mungu.Huu ni utaahira kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…