thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
- Thread starter
-
- #21
Kwahiyo muda mfupi katuzidishia dhahma, mbona Tanesco ilikuwa na utulivu kiasi flani pamoja na mapungufu mengi?Ni wivu tu hamna lolote.
Huyo Makamba hiyo nafasi ana muda gani tangu ateuliwe. Yani muda huo mfupi ndio atatue matatizo tuliyojitengenezea miaka kibao?
Do your homeworkKwahiyo muda mfupi katuzidishia dhahma, mbona Tanesco ilikuwa na utulivu kiasi flani pamoja na mapungufu mengi ?
Haaaa, panya mharibifu.Kwani huo ukoo unataka kuufananisha na ule ukoo was panya.
Achipurin umesha muuliza kama anayo home work? Kwani unaweza Kuta anayo out work tu.Do your homework
Anaachaje kuwa na interest ya kinachoendelea wakati ndo alomteua January hapo ilhali akijua January alikuwa miungoni mwa mabepari yalokuwa yakipinga ujenzi wa bwawa la Nyerere?Kauli yako ,ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini ,
Kauli zenu ndio zinafanya watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.
Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno ,unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua ?
Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza watanzania ,tena ni za gafla na kinzani.
Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never !
Hii teuzi ukiingangania itakuharibia kila jema uwazalo kwa watanzania,na lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu .
Ulisema, unasoma mitandaoni sana ,kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya watanzania .
Amua haraka kwa faida ya nchi ,si dhambi kurekebisha kosa
Huyo jamaa uwa simuelewi, hajui kuchagua maneno sahihi ya kuongea
labda rais wa mtandaoniHuyo unayesema hajawahi kufankiwa lolote aliingia 5 bora urais 2015, amekuwa waziri chini ya marais wa3 tofauti na anaenda kuwa rais wako 2030..
Deep state tunawaangalia tu na purukushani zaoAnaachaje kuwa na interest ya kinachoendelea wakati ndo alomteua January hapo ilhali akijua January alikuwa miungoni mwa mabepari yalokuwa yakipinga ujenzi wa bwawa la Nyerere?
Anyway, ukimtoa Makamba unamweka nani ?Utakunywa sana spar letta bar! Makamba ni kama reincarnation ya Makonda wa enzi za Magufuli. Yuko kimkakati pale hata aharibu vipi hutoskia katolewa😅
Wapo ,tatizo sio wapigaji ,ngumu kupewa gapAnyway, ukimtoa Makamba unamweka nani ?
Kubebwa tu jina baba yake.Huyo unayesema hajawahi kufankiwa lolote aliingia 5 bora urais 2015, amekuwa waziri chini ya marais wa3 tofauti na anaenda kuwa rais wako 2030..
Ina maana expatriates wote tulionao hakuna wa kukalia kiti kile😆?Anyway, ukimtoa Makamba unamweka nani ?
Atawezea wapi kumtengua mswahilii mwenzake, waswahili hujuana kwa vilemba. Wote hao wa mwambao wa pwani tabia ni moja, wanajuana vema.Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.
Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.
Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?
Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za gafla na kinzani.
Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!
Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.
Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.
Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa
Kwani washamba wako bado wapo madarakani?Ewaaaa...
Sasa hii timu mwendazake inadhani kutunbua ndio suluhisho la matatizo. Wametumbuliwa wangapi na bado tuko palepale
Tatizo ni watu walioamua kujipa madaraka uongozi wa nchi kwa.kutumia nguvu za dola.
Akili zilizoleta mharibiko ndio akili hizohizo eti zinataka kuondoa mharibiko na kuleta maendeleo
CCM yajenga nchi
mimi huyu niliacha kumuamini tokea siku ile akiwa amevaa kanzu na barakashea ndani ya msikiti mbele ya hadhara ya waumini wa kiislamu na watanzania na kusema kuwa Magufuli ni mzima yupo anachapa kazi Ikulu.
Nchi ipo hapa ilipo sababu ya wapumbavu kama weweHawa misukule ya dikteta wapumbavu sana, kwanza kutwa wanamtukana Rais humu mitandaoni, halafu wanajitia kumshauri, imewauma sana msukuma mwenzao kutolewa uwaziri wapuuzi hawa
Kweli kabisa yule aliyekuwa TAMISENI aliboronga akabadilishiwa wizara lakini msukuma akaliwa kichwa !Atawezea wapi kumtengua mswahilii mwenzake, waswahili hujuana kwa vilemba. Wote hao wa mwambao wa pwani tabia ni moja, wanajuana vema.
Makamba JR na bodi ndio wameleta ukame? Hivi ni chuki zinawasumbua au ni ni hasa?Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.
Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.
Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?
Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za gafla na kinzani.
Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!
Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.
Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.
Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa
Hili neno deep state tangu mlisikie basi mnalitumia tumia hovyo tu! Deep state ya JF labdaDeep state tunawaangalia tu na purukushani zao