JF imevamiwa na vilaza ambao wanashindwa kufikiriNi wivu tu, hamna lolote.
Huyo Makamba hiyo nafasi ana muda gani tangu ateuliwe. Yani muda huo mfupi ndio atatue matatizo tuliyojitengenezea miaka kibao?
Hata mimi najiuliza kwanini walewale kila uchao?Kuna watu wapo serikalini kutokana na majina ya familia zao tu.
Ila uwezo mdogo sana,
Kubebana tu wakati kuna vijana wengi tu wapo mtaani wenye uwezo mkubwa wa kuliendeleza Taifa hili.
Tunatengeneza kizazi cha watawala na watawaliwa.
Jambo baya sana hili.
Tano bora ya mavi???tano bora kwa ccm ya 2015 hata kuku angeweza kuwa tano bora sembuse huyo mjivi makamba.Huyo unayesema hajawahi kufankiwa lolote aliingia 5 bora urais 2015, amekuwa waziri chini ya marais wa3 tofauti na anaenda kuwa rais wako 2030.
Kwa akili za KiPombe Pombe eti waziri kwenda kubeba madumu ya maji ndiyo uzalendo na uchapakazi, Upumbavu mtupu!!Kosa lake ni nini ?,
Usifananishe performance ya Juma Aweso na huyo mnafiki wenu anayetumia nguvu za giza kupata madaraka
Hahaha, walikuwa 38, wa5 wakatoboa!! Unawajua hao 33 waliobakia?? Kwa Ufupi kulikuwa na Lowassa, Bilal, Mahiga, Augustino Ramadhan, Pinda, Mwandosya, Mwigulu n.k. (Kama hao ni Kuku basi wewe jamaa unaishi katika dunia yako)Tano bora ya mavi???tano bora kwa ccm ya 2015 hata kuku angeweza kuwa tano bora sembuse huyo mjivi makamba.
Makamba anaishi kwa ndumba na mbeleko,akiwekeza mitandaoni,si vinginevyo,ni mweupe haswaHahaha, walikuwa 38, wa5 wakatoboa!! Unawajua hao 33 waliobakia?? Kwa Ufupi kulikuwa na Lowassa, Bilal, Mahiga, Augustino Ramadhan, Pinda, Mwandosya, Mwigulu n.k. (Kama hao ni Kuku basi wewe jamaa unaishi katika dunia yako)
Hapo Aweso hajabeba dumu ,bali yupo na kina mama akipata ushauri na kubadilishana mawazo ya namna ya kuboresha huduma za maji ,kwani hao ndio walengwa kusudiwaKwa akili za KiPombe Pombe eti waziri kwenda kubeba madumu ya maji ndiyo uzalendo na uchapakazi, Upumbavu mtupu!!
Sawa Makamba.Hahaha, walikuwa 38, wa5 wakatoboa!! Unawajua hao 33 waliobakia?? Kwa Ufupi kulikuwa na Lowassa, Bilal, Mahiga, Augustino Ramadhan, Pinda, Mwandosya, Mwigulu n.k. (Kama hao ni Kuku basi wewe jamaa unaishi katika dunia yako)
Sawa Makamba.
Ila kujadiliana na wewe inabidi mtu ujitoe ufahamu.
Ni sawa na kumkimbiza kichaa aliyekuchulia nguo ukiwa uchi.
Hahahaha!! Very stupid!! Kwa hiyo Waziri wa maji kaenda "kupata ushauri na kubadilishana mawazo na wananchi wanaotaabika na maji jinsi ya kuboresha huduma za maji"? Yaani hadi leo hii waziri hajui jinsi ya kuboresha huduma za maji hadi aende kubeba madumu na kupewa ushauri na mlaji wa mwisho kabisa??? Pombe aliharibu akili za watu wengi sana nchi hii, you guys need to see doctors, hizo bongo zenu hazipo sawaHapo Aweso hajabeba dumu ,bali yupo na kina mama akipata ushauri na kubadilishana mawazo ya namna ya kuboresha huduma za maji ,kwani hao ndio walengwa kusudiwa
Your President, 2030-2040Sawa Makamba.
Ila kujadiliana na wewe inabidi mtu ujitoe ufahamu.
Ni sawa na kumkimbiza kichaa aliyekuchukulia nguo ukiwa uchi.
Wewe jinga kweli, mimi nimejiunga JF kwa ID ya kwanza 2007 wewe ulikuwa unafuga ng'ombe vijijini hukooHaha Hawa ndio wamechaguliwa kuipigia CCM na awamu ya sita. Angalia ID zao zilizosajiliwa after 17/3/21. Big Joke.
Wangeweza kuchagua more sophiscated, educated, dignified, refined,serious people put right arguments for them right here on JF.
Hivi ni dumu lipi hapo kabeba kwenye picha?Hahahaha!! Very stupid!! Kwa hiyo Waziri wa maji kaenda "kupata ushauri na kubadilishana mawazo na wananchi wanaotaabika na maji jinsi ya kuboresha huduma za maji"? Yaani hadi leo hii waziri hajui jinsi ya kuboresha huduma za maji hadi aende kubeba madumu na kupewa ushauri na mlaji wa mwisho kabisa??? Pombe aliharibu akili za watu wengi sana nchi hii, you guys need to see doctors, hizo bongo zenu hazipo sawa
Nafikiri wee ndio stupid ,kila siku inachangamoto zake na mambo mapya ,usikariri dogoHahahaha!! Very stupid!! Kwa hiyo Waziri wa maji kaenda "kupata ushauri na kubadilishana mawazo na wananchi wanaotaabika na maji jinsi ya kuboresha huduma za maji"? Yaani hadi leo hii waziri hajui jinsi ya kuboresha huduma za maji hadi aende kubeba madumu na kupewa ushauri na mlaji wa mwisho kabisa??? Pombe aliharibu akili za watu wengi sana nchi hii, you guys need to see doctors, hizo bongo zenu hazipo sawa
Chini ya ccm tutaendelea kuwa masikini tuKwa nini isiwe kwa mama kuachia ngazi!?
Kwa nini isiwe kwa PM kuachia ngazi!?
Kwa nini isiwe kwa CCM kuachia ngazi!!??
CCM hakuna kiongozi.
Nafikiri kuna mnyororo uliojificha kati ya viongozi wenye mamlaka ya uteuzi na hao wanao fanyiwa majaribio.Unafikiri kwa hili tatizo la umeme na kauli kinzani za viongozi wenye dhamana waandamizi kwa nchi kama Uingereza au Ujerumani wangebaki kwenye nafasi zao ?,ni hapa kwenu serikali ndio inafanyia majaribio watumishi wake huku wakiharibu na kupewa muda
Makamba jr hajawahi fanikiwa lolote lile, sana kujipamba mtandaoni
Bado upo na huu msimamo?Katika akili ya kawaida kabisa huwezi kumuacha January Makamba nje ya baraza la mawaziri. Yaani huwezi. This man is talented