Rais Samia, tengua uteuzi wa Waziri Makamba na Bodi nzima ya TANESCO. Au na wewe una maslahi na kinachoendelea?

Rais Samia, tengua uteuzi wa Waziri Makamba na Bodi nzima ya TANESCO. Au na wewe una maslahi na kinachoendelea?

Ni wivu tu, hamna lolote.

Huyo Makamba hiyo nafasi ana muda gani tangu ateuliwe. Yani muda huo mfupi ndio atatue matatizo tuliyojitengenezea miaka kibao?
Makamba ameingia ameukuta umeme upo hata kama ulikuwa unakatika haikuwa mbaya na hovyo kama ulivyo sasa hivi.
 
Utakunywa sana spar letta bar! Makamba ni kama reincarnation ya Makonda wa enzi za Magufuli. Yuko kimkakati pale hata aharibu vipi hutoskia katolewa[emoji28]
Waendeleee kumkumbatia ila adhabu yao wataiona kwenye uchaguzi
 
Ujinga uliopo wahuni wanakula watakaosema wanasemwa wivu.
Kwanini vyombo vyote vya usalama viko kimya?
1. TISS kimyaaaaa
2. Intel ya Jeshi kimyaaa
3. Intel ya polisi zote kimyaa
4. Intel ya fedha na uchumi kimya
Inamaanisha wako konekitedi nao kutafuna mali za vizazi vijavyo, hayupo aliye tayari kuifia nchi?

Jamani vizazi vijavyo !

hiyo ic uliyo iandika "konekted" nadhani ndiyo shida ilipo
 
Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.

Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.

Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?

Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za gafla na kinzani.

Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!

Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.

Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.

Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa.
Kutoka kwa wakatanta
Waziri January Makamba ulipoingia wizarani baada ya kuunda bodi ya wakurugenzi haikupita muda mkaingia mkataba wa dola million 30 na kampuni ya kihindi ya Mahendrakwa ajili ya setelite.

Huu ni wizi wa mchana kabisa tena wa mapema ukifumbiwa macho na utawala.

1. Kama miundo mbinu mibovu inahitaji ukarabati, setalite ilikuwa priority? Au fedha hiyo ingetumika kukarabati kwanza so said miundo mbinu chakavu?

2. Kama hatuna umeme wa uhakika, kwanini fedha hiyo isingetumika kuongezea uzalishaji umeme?

3. Hiyo setelite haikuwa kipaumbele bali ni maslahi binafsi ya kwako na bodi yako.

Naomba mamlaka zichunguze kwa makini kuhusu mkataba huu wenye harafu ya kifisadi, mabingwa wanachukua chao mapema mno

 
Hata mimi nashangaa wanavyompigia debe la kuwa ahamishwe hata miezi sita haijafika.

Lazima kuna team fulani hivi inapiga majungu kila siku kwenye mtandao.
Utakua jinsia ya KE,neno wivu mara nyingi hutamkwa na jinsia nilioitaja
 
Ina maana expatriates wote tulionao hakuna wa kukalia kiti kile😆?

Mbona unanichekesha mkuu, wako watu waliobobea katika management ya electric industry toka abroad ni diaspora tunaweza waweka.

Najua wabongo hatuaminiani hasa waliosomea vyuo vya humu humu ila wako walio exposed ulaya they can play part n parcel ya kuokoa jahazi!
Watu eanahitaji perfectionism ambayo haitokaa itokee.

Labda uweke malaika.

Kwanza watanzania kulalamika na kulaumu ni sehemu ya maisha yao.

Utasikia, Yanga kufungwa leo ni nani alaumiwe.

In short, wabongo kwenye kila kitu lazima mtu alaumiwe.
 
Mtu mwenye akili timamu anajua Makamba kapewa cheo cha Uwaziri kwa upendeleo (pamoja na bodi yote iliyojaa ex President JK sycophants) na siyo kwa uwezo aliyo nao. Hili kwa Wafanyakazi wa TANESCO linakuwa very demoralizing in the long run.
 
Kwa nini ameingia na kuleta madudu yote haya?
Madudu ya ukame ameyaleta yeye? Mitambo mikongwe inatumia umeme wa maji halafu inakuwa overworked. Kuna siku ingeishia kugoma tu hata kama JPM bado angekuwa yuko hai.
 
Jamaa walivyoingia madarakani wakaharibu kila kitu. Kwasasa watu waliokuwa wanafanyakazi kwa mzuka kwishine. Hadi kabudi hasikiki utafikiri nae kafa na kuzikwa huko chato
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu eanahitaji perfectionism ambayo haitokaa itokee.

Labda uweke malaika.

Kwanza watanzania kulalamika na kulaumu ni sehemu ya maisha yao.

Utasikia, Yanga kufungwa leo ni nani alaumiwe.

In short, wabongo kwenye kila kitu lazima mtu alaumiwe.
Wanazingua sana wabongo
 
Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.

Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.

Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?

Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za gafla na kinzani.

Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!

Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.

Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.

Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa.
Tatizo ni mfumo ccm.
 
Back
Top Bottom