Rais Samia, tengua uteuzi wa Waziri Makamba na Bodi nzima ya TANESCO. Au na wewe una maslahi na kinachoendelea?

Rais Samia, tengua uteuzi wa Waziri Makamba na Bodi nzima ya TANESCO. Au na wewe una maslahi na kinachoendelea?

Bullshit. Times change. Teknologia, options na alternative solutuons zilizo available leo hiii siyo sawa na zile za miaka 60 iliyopita au hata miaka 5 iliyopita. What hasn’t changed in 60 years is the CCM policies na hao wawili are part of the problem.
Nani kakataa kwamba hao siyo part ya tatizo?? Ishu inakuja inapoonekana matatizo yootee ya Umeme TZ since independence yameletwa na hao watu 2, na wengine kuanza kushinikiza sijui waziri atumbuliwe na upuuzi kama huo...
 
Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.

Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.

Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?

Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za gafla na kinzani.

Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!

Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.

Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.

Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa.
Ma-ka-mber anathibitisha kuwa mtoto wa nyoka sio nyoka
 
Ujinga uliopo wahuni wanakula watakaosema wanasemwa wivu.
Kwanini vyombo vyote vya usalama viko kimya?
1. TISS kimyaaaaa
2. Intel ya Jeshi kimyaaa
3. Intel ya polisi zote kimyaa
4. Intel ya fedha na uchumi kimya
Inamaanisha wako konekitedi nao kutafuna mali za vizazi vijavyo, hayupo aliye tayari kuifia nchi?

Jamani vizazi vijavyo !
Hapo ni Mmoja tu ambae ni namba moja kwa namba moja
 
Hakuna anayeongopewa, kuna manyoka kila sehemu katika nchi yetu, Mama akitaka ukweli kuhusu jambo lolote anaupata ndani ya dakika moja! CHUKI ZENU KWA JANUARY ZINAWAPA UPOFU, KAMA NI KWA SABABU YA URAIS 2030 BASI HIZO MBIO MMEZIANZA MAPEMA SANA, MMEKOSEA TIMING...BY THAT TIME MTAKUWA MMECHOKA HOI NA KUJIEXPOSE VYA KUTOSHA KWA WAPINZANI WENU
You guys have a weak defense , mara zote mnapoambiwa ukweli mnakimbilia kusema kuwa mnachukiwa!! Hata kama mnachukiwa lazima kutakuwa na sababu za msingi za kuchukiwa kwenu!!
 
Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.

Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.

Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?

Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za gafla na kinzani.

Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!

Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.

Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.

Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa.
Januari ana dosati gani?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu wawe serious kwebye vetting, pepo wataishia kuisikia tu.
Labda kama wamechagu kutojihusisha na mambo hayo.
.
Mmoja akiwa corrupt basi wengine wanusuru
Darasani kwako ulipokuwa unasoma, kuna watu walikuwa wakikosea ni vigumu sana walimu kuwaadhibu, ni kwa sababu walikuwa na weledi kitaaluma.
 
Ni wivu tu, hamna lolote.

Huyo Makamba hiyo nafasi ana muda gani tangu ateuliwe. Yani muda huo mfupi ndio atatue matatizo tuliyojitengenezea miaka kibao?
Wee babu acha kumtetea huyu makatani, huoni ubovu wake? Kwahiyo muda mfupi huu alioharibu wamuache ili iweje baadae?

Atoke bhana, huyu mpiga dili tu, sijui why aliteuliwa au yupo kimkakati,

Watz tumeshachoka na blah blah zao,
 
Makamba ndiye kazuia mvua zisinyeshe? Ndiye amesababisha muwe wajinga na kutegemea chanzo cha umeme kimoja cha maji badala ya kugeukia njia mbadala (Gas)? Na kwa mabadiliko haya ya hali ya hewa hilo libwawa lenu mnalojenga bila akili litajaza matope na vyura tu...
Hivi uzalishaji wa umeme kwa maji ni asilimia ngapi na uzalishaji wa umeme kwa gesi ni asilimia ngapi vile?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo unayesema hajawahi kufankiwa lolote aliingia 5 bora urais 2015, amekuwa waziri chini ya marais wa3 tofauti na anaenda kuwa rais wako 2030.
Jamaa walivyoingia madarakani wakaharibu kila kitu. Kwasasa watu waliokuwa wanafanyakazi kwa mzuka kwishine. Hadi kabudi hasikiki utafikiri nae kafa na kuzikwa huko chato
 
You guys have a weak defense , mara zote mnapoambiwa ukweli mnakimbilia kusema kuwa mnachukiwa!! Hata kama mnachukiwa lazima kutakuwa na sababu za msingi za kuchukiwa kwenu!!
Kuna matatizo ma2, Maji na Umeme, sijaona mahali Aweso hata anazungumziwa!!!!!!! Lakini kila dakika 2 zinaanzishwa threads January, January!! Kama siyo chuki ni nini? Huu ujinga wa kumtafuta mtu wa kumsakama serikalini ulianza awamu ya 4!! Awamu ya 4 alikuwa Ridhiwan, awamu ya 5 Makonda, awamu hii mlikuwa hamjui muanzie wapi, mlianza kwa JK mkaona hampati kiki za kutosha, Mkaenda kwa Mwigulu mkaona hampati kiki pia, mkahamia kwa Mchengerwa kiki bado zikakosekana!!! Naona sasa mmempata mtu perfect wa kumshambulia ili kuuza vigazeti vyenu uchwara na kutafuta wafuasi Mitandaoni! Mnasema January Mwizi, kaiba nini? Au ndiyo mnaendeleza ule upuuzi wenu mliomfanyia Lowassa and mwisho wa siku mkarudi kumpigia magoti (Both wapinzani na chama tawala)??
 
Kuna matatizo ma2, Maji na Umeme, sijaona mahali Aweso hata anazungumziwa!!!!!!! Lakini kila dakika 2 zinaanzishwa threads January, January!! Kama siyo chuki ni nini? Huu ujinga wa kumtafuta mtu wa kumsakama serikalini ulianza awamu ya 4!! Awamu ya 4 alikuwa Ridhiwan, awamu ya 5 Makonda, awamu hii mlikuwa hamjui muanzie wapi, mlianza kwa JK mkaona hampati kiki za kutosha, Mkaenda kwa Mwigulu mkaona hampati kiki pia, mkahamia kwa Mchengerwa kiki bado zikakosekana!!! Naona sasa mmempata mtu perfect wa kumshambulia ili kuuza vigazeti vyenu uchwara na kutafuta wafuasi Mitandaoni! Mnasema January Mwizi, kaiba nini? Au ndiyo mnaendeleza ule upuuzi wenu mliomfanyia Lowassa and mwisho wa siku mkarudi kumpigia magoti (Both wapinzani na chama tawala)??
Wachumia tumbo + waganga njaa = siasa uchwara
 
Back
Top Bottom