Rais Samia, TTCL ni shirika lililojaa wafanyakazi wazembe

Rais Samia, TTCL ni shirika lililojaa wafanyakazi wazembe

Tukaambiwa kipindi fulani Maharage Chande ana biashara zake TTCL hivyo akabadilishiwa majukumu hamkuelewa?

Kuna siku nilikuwa napitia kurasa za mitandao ya kijamii kuona mirejesho hasa idara ya uhamiaji Kenya ukiangalia na ya Tanzania ni aibu tupu wenzetu wako mbali kutoa mirejesho ya papo kwa papo.

Kurasa zetu watu wanatumia internet ya bure ofisini kupost vimada wao na ujinga mwingine tu , simu za ofisi hawapokei na hakuna anayewauliza na mtu akifunga safari kwenda ofisini anawekwa kwenye foleni hadi atengenezewe mazingira ya rushwa.

Hebu angalia upuuzi wa kurasa za taasisi za umma Tanzania hapo chini.
View attachment 2814719View attachment 2814720
Huu ni use*g* sana, ofisi za umma wanazitumia kama kama binafsi.
 
Tukaambiwa kipindi fulani Maharage Chande ana biashara zake TTCL hivyo akabadilishiwa majukumu hamkuelewa?

Kuna siku nilikuwa napitia kurasa za mitandao ya kijamii kuona mirejesho hasa idara ya uhamiaji Kenya ukiangalia na ya Tanzania ni aibu tupu wenzetu wako mbali kutoa mirejesho ya papo kwa papo.

Kurasa zetu watu wanatumia internet ya bure ofisini kupost vimada wao na ujinga mwingine tu , simu za ofisi hawapokei na hakuna anayewauliza na mtu akifunga safari kwenda ofisini anawekwa kwenye foleni hadi atengenezewe mazingira ya rushwa.

Hebu angalia upuuzi wa kurasa za taasisi za umma Tanzania hapo chini.
View attachment 2814719View attachment 2814720
Duuh..
Hii ni aina nyingine ya ufisadi
 
Kwako mkuu wa nchi hii Rais SAMIA.

Katika mashirika ya serikali ambayo wafanyakazi wake wengi ni wazembe basi Ttcl wanaongoza. Hili Shirika limejaa uzembe wa kupitiliza hadi unakela.

Dunia ya sasa wanategemea sana INTERNET ili shughuli zao ziende kwa wakati. Watanzania wengi wanapenda kuingiza huduma za WI-FI kwenye shughuli zao za kila siku,Huduma hii inapatikana katika shirika la TTCL,Lakini cha kushangaza TTCL wamekuwa wavivu wa kuunganisha huduma hii kwa wateja wapya na pia hata wateja wale wa zamani wakipata changamoto yoyote kutatuliwa shida zao imekuwa ngumu sana.

TTCL Shiraka ambalo kama litafanya kazi kwa weledi na kwa kasi nzuri.litakuwa linaingiza fedha nyingi.

Mkoa wa RUVUMA hususani manispaa ya songea huduma hii inahitajika sehem nyingi sana,lakini unaweza kulipia gharama za kuungiwa huduma hiyo na utaipata baada ya miezi hadi 3.

Ukiuliza kwanini mnachelewa kuunganisha hii huduma ya Wi-fi unajibiwa vifaa hakuna.

Raisi samia chukua hatua zidi ya wafanyakazi wazembe kama hawa
Kwa ngazi ya Raisi hii ni micromanagement
 
Sera inayomika TTCL imeshapitwa na Kuna kupeka muswada kuboresha sera na kuwa na mapinduzi ndani shirika ttcl Ina Mambo ya miaka 47 lazima liende na wakati tulionao Sasa wanachokiweza wafanyakazi wa ttcl ni majungu kuliko kazi hicho ndicho kiwafelisha Sana biashara ya mawasaliano. Selikali ingemuweka hata ally maswanya kuwa mrugenzi hapo ttcl kwa ni mbobezi kiwanda Cha mawasaliano zaid miaka 30 baishara wasiliano ataki kazi kukaa ofisi na kuandika unatakiwa kila uwe sokon kwa watumiaji wa masiliano sokon wafanyakazi ttcl wako ofisi wanaperuzi mtandaoni wakishbiri mshahara Wanatutia hasara Kama taifa
 
ni kweli kabisa nimeomba internet nimejaza fomu pale ofisi yao nyerere rd mwezi wa 7 nimepigiwa simu mwezi 11 kuulizwa je waliwahi kuja sarvei nikajibu bado leo miezi 4 sijawaona basi imeishia hapo mpaka kuja kufungiwa labda miaka 2 ipite
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Watakuwa wafanyakazi wa hiyo biashara anayofanya maharage TTCL wachunguzwe
 
Kwako mkuu wa nchi hii Rais SAMIA.

Katika mashirika ya serikali ambayo wafanyakazi wake wengi ni wazembe basi Ttcl wanaongoza. Hili Shirika limejaa uzembe wa kupitiliza hadi unakela.

Dunia ya sasa wanategemea sana INTERNET ili shughuli zao ziende kwa wakati. Watanzania wengi wanapenda kuingiza huduma za WI-FI kwenye shughuli zao za kila siku,Huduma hii inapatikana katika shirika la TTCL,Lakini cha kushangaza TTCL wamekuwa wavivu wa kuunganisha huduma hii kwa wateja wapya na pia hata wateja wale wa zamani wakipata changamoto yoyote kutatuliwa shida zao imekuwa ngumu sana.

TTCL Shiraka ambalo kama litafanya kazi kwa weledi na kwa kasi nzuri.litakuwa linaingiza fedha nyingi.

Mkoa wa RUVUMA hususani manispaa ya songea huduma hii inahitajika sehem nyingi sana,lakini unaweza kulipia gharama za kuungiwa huduma hiyo na utaipata baada ya miezi hadi 3.

Ukiuliza kwanini mnachelewa kuunganisha hii huduma ya Wi-fi unajibiwa vifaa hakuna.

Raisi samia chukua hatua zidi ya wafanyakazi wazembe kama hawa
Aisee nakomolea msumari
 
Kunauwezekano viongozi wanaoiyongoza ttcl wanahisa na makampuni mengine ya simu,hawataki ttcl ifanye vizuri na watù wafurahie huduma yao ili wakimbilie kwenye makampuni yenye hisa zao

Inauma sana tunahitaji huduma hatupewi,na hawa wanaogoma kutupa huduma ndio tunaowalipa mishahara kwa kodi zetu,kodi ambazo mda mwingine tunazipata kutokana na mawasiliano ya INTERNET
 
Kwako mkuu wa nchi hii Rais SAMIA.

Katika mashirika ya serikali ambayo wafanyakazi wake wengi ni wazembe basi Ttcl wanaongoza. Hili Shirika limejaa uzembe wa kupitiliza hadi unakela.

Dunia ya sasa wanategemea sana INTERNET ili shughuli zao ziende kwa wakati. Watanzania wengi wanapenda kuingiza huduma za WI-FI kwenye shughuli zao za kila siku,Huduma hii inapatikana katika shirika la TTCL,Lakini cha kushangaza TTCL wamekuwa wavivu wa kuunganisha huduma hii kwa wateja wapya na pia hata wateja wale wa zamani wakipata changamoto yoyote kutatuliwa shida zao imekuwa ngumu sana.

TTCL Shiraka ambalo kama litafanya kazi kwa weledi na kwa kasi nzuri.litakuwa linaingiza fedha nyingi.

Mkoa wa RUVUMA hususani manispaa ya songea huduma hii inahitajika sehem nyingi sana,lakini unaweza kulipia gharama za kuungiwa huduma hiyo na utaipata baada ya miezi hadi 3.

Ukiuliza kwanini mnachelewa kuunganisha hii huduma ya Wi-fi unajibiwa vifaa hakuna.

Raisi samia chukua hatua zidi ya wafanyakazi wazembe kama hawa
Kama mishahara yao inaenda vizuri shida iko wapi?
 
Tukaambiwa kipindi fulani Maharage Chande ana biashara zake TTCL hivyo akabadilishiwa majukumu hamkuelewa?

Kuna siku nilikuwa napitia kurasa za mitandao ya kijamii kuona mirejesho hasa idara ya uhamiaji Kenya ukiangalia na ya Tanzania ni aibu tupu wenzetu wako mbali kutoa mirejesho ya papo kwa papo.

Kurasa zetu watu wanatumia internet ya bure ofisini kupost vimada wao na ujinga mwingine tu , simu za ofisi hawapokei na hakuna anayewauliza na mtu akifunga safari kwenda ofisini anawekwa kwenye foleni hadi atengenezewe mazingira ya rushwa.

Hebu angalia upuuzi wa kurasa za taasisi za umma Tanzania hapo chini.
View attachment 2814719View attachment 2814720
Is this is a joke?
 
Tukaambiwa kipindi fulani Maharage Chande ana biashara zake TTCL hivyo akabadilishiwa majukumu hamkuelewa?

Kuna siku nilikuwa napitia kurasa za mitandao ya kijamii kuona mirejesho hasa idara ya uhamiaji Kenya ukiangalia na ya Tanzania ni aibu tupu wenzetu wako mbali kutoa mirejesho ya papo kwa papo.

Kurasa zetu watu wanatumia internet ya bure ofisini kupost vimada wao na ujinga mwingine tu , simu za ofisi hawapokei na hakuna anayewauliza na mtu akifunga safari kwenda ofisini anawekwa kwenye foleni hadi atengenezewe mazingira ya rushwa.

Hebu angalia upuuzi wa kurasa za taasisi za umma Tanzania hapo chini.
View attachment 2814719View attachment 2814720
Hahahaha aseee...
 
Kiukweli taasisi zote za umma ziko hivyo lakini naona kama TTCL siku hizi wafanya kazi wakipata hayo mafaiba tifauti za zamani,mimi namshauri mama awape uwezo wa kua n hizo faiba then tuwalaumu kama shurika halina uwezo wa kupata mafaiba mengi kwa pamoja wao wafanye nini wafanyakazi.

Shida tunaangalia upende .mmoja bila kujua uoande mwingine wa shilingi kukoje ndo tulaaum hivyo
 
Kwako mkuu wa nchi hii Rais SAMIA.

Katika mashirika ya serikali ambayo wafanyakazi wake wengi ni wazembe basi Ttcl wanaongoza. Hili Shirika limejaa uzembe wa kupitiliza hadi unakela.

Dunia ya sasa wanategemea sana INTERNET ili shughuli zao ziende kwa wakati. Watanzania wengi wanapenda kuingiza huduma za WI-FI kwenye shughuli zao za kila siku,Huduma hii inapatikana katika shirika la TTCL,Lakini cha kushangaza TTCL wamekuwa wavivu wa kuunganisha huduma hii kwa wateja wapya na pia hata wateja wale wa zamani wakipata changamoto yoyote kutatuliwa shida zao imekuwa ngumu sana.

TTCL Shiraka ambalo kama litafanya kazi kwa weledi na kwa kasi nzuri.litakuwa linaingiza fedha nyingi.

Mkoa wa RUVUMA hususani manispaa ya songea huduma hii inahitajika sehem nyingi sana,lakini unaweza kulipia gharama za kuungiwa huduma hiyo na utaipata baada ya miezi hadi 3.

Ukiuliza kwanini mnachelewa kuunganisha hii huduma ya Wi-fi unajibiwa vifaa hakuna.

Raisi samia chukua hatua zidi ya wafanyakazi wazembe kama hawa
Shirika limejaa wazee tupu, hakuna ubunifu wowote na sheria za manunuzi nazo zimekaa hovyo sn
 
Kiukweli taasisi zote za umma ziko hivyo lakini naona kama TTCL siku hizi wafanya kazi wakipata hayo mafaiba tifauti za zamani,mimi namshauri mama awape uwezo wa kua n hizo faiba then tuwalaumu kama shurika halina uwezo wa kupata mafaiba mengi kwa pamoja wao wafanye nini wafanyakazi.

Shida tunaangalia upende .mmoja bila kujua uoande mwingine wa shilingi kukoje ndo tulaaum hivyo
Mkuu hata ukiwapa fiber huduma zao bado ni changamoto haswa, wataalam ni wachache pia shirika limejaa wazee hawana ubunifu wowote
 
Back
Top Bottom