Rais Samia, tuelewe wananchi wako na rekebisha mkataba, ili tukutetee humu mitandaoni!

Rais Samia, tuelewe wananchi wako na rekebisha mkataba, ili tukutetee humu mitandaoni!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Contradictions zilizomo katika mkstaba/maelewano/MOU ya Tanzania na DP World ni za kimsingi kabisa.

Kama mababu na baba zetu walipigania uhuru, misingi hiyo isikiukwe kwa namna yoyote ile.
Hilo ndilo suala katika malumbano yote haya ya Bandari kubinafsishwa.

Naamini Mama Samia utarejesha utengamano nchini.

Mama umeenda vizuri saana baada ya mtangulizi wako ,na ulitutia matumsini sana.

DP World wanakaribishwa kama muwekezaji yoyote mradi afuate KILE SISI WATANZANIA TUNACHOTAKA, na si vinginevyo.

Zaidi ya hapo mama ufafanuzi wa suala hili ni vyema ukatoka kwako mwenyewe, nasi tutakuunga mkono, kama ilivyo kawaida sisi makada.
 
Hahaha. Si alisema ameziba pamba masikioni! Au hukusikia?!
 
Contradictions zilizomo katika mkstaba/maelewano/MOU ya Tanzania na DP World ni za kimsingi kabisa.

Kama mababu na baba zetu walipigania uhuru, misingi hiyo isikiukwe kwa namna yoyote ile.
Hilo ndilo suala katika malumbano yote haya ya Bandari kubinafsishwa.

Naamini Mama Samia utarejesha utengamano nchini.

Mama umeenda vizuri saana baada ya mtangulizi wako ,na ulitutia matumsini sana.

DP World wanakaribishwa kama muwekezaji yoyote mradi afuate KILE SISI WATANZANIA TUNACHOTAKA, na si vinginevyo.

Zaidi ya hapo mama ufafanuzi wa suala hili ni vyema ukatoka kwako mwenyewe, nasi tutakuunga mkono, kama ilivyo kawaida sisi makada.
Kila mmoja wetu, Kila sekta, Kila kikundi, Kila kikoba, Kila jeshi, Kila mwanagunzi, kila kunguni, Kila mjusi, Kila nyoka, Kila ngeder, Kila kanisa, Kila msikiti na Kila mtu Toka nje tutetee Tanganyika
 
Contradictions zilizomo katika mkstaba/maelewano/MOU ya Tanzania na DP World ni za kimsingi kabisa.

Kama mababu na baba zetu walipigania uhuru, misingi hiyo isikiukwe kwa namna yoyote ile.
Hilo ndilo suala katika malumbano yote haya ya Bandari kubinafsishwa.

Naamini Mama Samia utarejesha utengamano nchini.

Mama umeenda vizuri saana baada ya mtangulizi wako ,na ulitutia matumsini sana.

DP World wanakaribishwa kama muwekezaji yoyote mradi afuate KILE SISI WATANZANIA TUNACHOTAKA, na si vinginevyo.

Zaidi ya hapo mama ufafanuzi wa suala hili ni vyema ukatoka kwako mwenyewe, nasi tutakuunga mkono, kama ilivyo kawaida sisi makada.
Naunga mkono.
Mama should come clean, arekebshe mkataba na tuendelee kuwa makada wa CCM yetu.
 
Kila mmoja wetu, Kila sekta, Kila kikundi, Kila kikoba, Kila jeshi, Kila mwanagunzi, kila kunguni, Kila mjusi, Kila nyoka, Kila ngeder, Kila kanisa, Kila msikiti na Kila mtu Toka nje tutetee Tanganyika
Kinachoniumiza, ni wao kumpa mpaka SGR yetu, ili wao wa control kila kitu na malori yao.

Tunakuwa nchi ya ajabu sana.

Ujenge SGR kwa mikopo mikubwa sana, wananchi wakamuliwe tozo kulipa. Halafu unampa mtu, aamue kila kitu. Huna hata percentage ya nchi na mkopo hujui unalipaje..
 
Contradictions zilizomo katika mkstaba/maelewano/MOU ya Tanzania na DP World ni za kimsingi kabisa.

Kama mababu na baba zetu walipigania uhuru, misingi hiyo isikiukwe kwa namna yoyote ile.
Hilo ndilo suala katika malumbano yote haya ya Bandari kubinafsishwa.

Naamini Mama Samia utarejesha utengamano nchini.

Mama umeenda vizuri saana baada ya mtangulizi wako ,na ulitutia matumsini sana.

DP World wanakaribishwa kama muwekezaji yoyote mradi afuate KILE SISI WATANZANIA TUNACHOTAKA, na si vinginevyo.

Zaidi ya hapo mama ufafanuzi wa suala hili ni vyema ukatoka kwako mwenyewe, nasi tutakuunga mkono, kama ilivyo kawaida sisi makada.
Tumembembeleza sana. Tunaamini ni Mama atasikia.
 
Back
Top Bottom