Rais Samia: Tukutane Jumanne baada ya Pasaka kwa uapisho mwingine, hapa hapa Ikulu

Rais Samia: Tukutane Jumanne baada ya Pasaka kwa uapisho mwingine, hapa hapa Ikulu

Mama angewachomoa DPP, mkuu wa TISS, Katibu Mkuu Hazina na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Hawa watu hawana weredi zaidi ya ile trend ya kusifu na kuabudu
 
Mama anatulaza na viatu, Yani IGP analala na viatu, moja haishiki mbili haishiki.

Mkurugenzi bodi ya mikopo naye presha juu.

RC Iringa, Happy yeye kishaanza kuaga kama ambavyo chalamila naye kaambiwa aage maana jumanne kwaheri.
Huyu dogo kimeo sana.
 
Huwez kuwa sehem ya kupanga uhaini kisha ukabaki salama...huwez kupanga na kuleta taarifa za uongo kwa siki mbili mfululizo (12 na 13 march) tukakuacha salama huku ukijua matokeo yake ni maangamizo kwa taifa..huwez kushinikiza makamu ajiuzulu ili wewe na genge lako mtawale halafu tukakuacha.

Afya ya rais haiwez kuzorota na mpaka anafikia kupoteza maisha akiwa madarakani na umeapa kumlinda na kushauri nini kifanyike na haukufanya halafu tukuache...wanaojua beacon za nchi ziko wapi wefungua cylinder zote kurejesha yaliyotoweka.
 
Huwez kuwa sehem ya kupanga uhaini kisha ukabaki salama...huwez kupanga na kuleta taarifa za uongo kwa siki mbili mfululizo (12 na 13 march) tukakuacha salama huku ukijua matokeo yake ni maangamizo kwa taifa...
Natamani ningekuelewa!
 
Mama kanikosha kwenye makusanyo ya kodi, kumbe lile tukio la wafanyabiashara wa Tunduma kuhamishia biashara zao Zambia lilimuuma.

Hongera sana mh raisi kodi zikiwa nyingi na ubabe ukitumika kwenye kuzikusanya basi makusanyo mengi huenda kwa hao watumia nguvu kwa kwa kutaka mlungula.

Na serikali kukosa mapato ,naamini ikiwa kodi zitakuwa chache na nafuu hakuna atakayekosa kulipa,kwa kifupi kodi ni nyingi mna kwa mfanyabiashara.

Pia kodi zingekuwa zinaunganishwa kwani kuna kodi nyingi tofauti ambazo zinatupotezea muda na kuongeza uwigo wa rushwa,kila ifikapo robo mwaka utakuta unahangaika na mafaili mara uende TRA,mara halmashauri mara sijui wapi.
 
Huwez kuwa sehem ya kupanga uhaini kisha ukabaki salama...huwez kupanga na kuleta taarifa za uongo kwa siki mbili mfululizo (12 na 13 march) tukakuacha salama huku ukijua matokeo yake ni maangamizo kwa taifa...
Mafumbo kama mwimbaji taarabu si useme tu unachokijua na huyo mbunge unayemnanga la sivyo huu ni umbea mkuu, mtaje na fafanua
 
Tano mwera mkuu Wa wilaya ya Busega _Simiyu hafai anakauli ka mwimba taarabu,hana maadili wala staha,mkuu wangu mama samia ondoa huyu mtu.
 
Back
Top Bottom