mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Acha chukiAsisahau kuwafyekelea mbali akina Sabaya, Chalamila na wengineo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha chukiAsisahau kuwafyekelea mbali akina Sabaya, Chalamila na wengineo..
Subirini mfikiwe msijitangaze tulieni!kuna jamaa anaitwa mr kejo katibu mkuu wa red cross yule jamaa ni mtu msomi na mtu mwema dr mpango akimuona na serikali ikamtumia ataongeza kitu serilkalini
Madelusijawahi ona mwenye akaunti humu aakiteuliwa, kama yupo mtaje
hapana mkuu mm namfahamu tu kwa kua niliwahi kufanya kazi naye akiwa bado unhcrMkuu unajipigia promo wewe utakua ndo huyo kejo.
Msinyanyue mabegaSubirini mfikiwe msijitangaze tulieni!
ArudiBoom!Mara Bashite karudishwa Ukuu wa Mkoa akapewa Mwanza.
Waendelee kuwepo walipo, hawana meno tena kama wewepia.Utasubiri sana!
Mbona Mwl. Nyerere alikuwa anabadirisha Mawaziri wakuu bila ya kubadirisha Baraza la mawaziri - SSH ajaribu ku-emulate Kambarage, hakuna ulazima wa kuendelea na PM yule yule kwenye awamu ya sita - katiba sio biblia inaweza kufanyiwa marekebisho kwenye kifungu kinacho zungumzia uteuzi wa PM akateuliwa yeyote bila kujali kama anatokana na Ubunge wa kuchaguliwa au kuteuliwa.PM haiwezekani,ukiteua PM mpya maana yake umavunja Baraza la Mawaziri. Majaliwa yupo sana,kitendo cha kufanya mabadiliko madogo yamemuhakikishia kubaki na nafasi yake
Makatibu wakuu.RC's
Wenzio matumbo joto now!Awaache waliopo, azibe mapengo ya wastaafu na waliocha kazi.
Hakuna haja ya kutiana kihere
Dotto lazima atolewe pale hazina maana tunataka kusafisha ghala kabisaAwaache waliopo, azibe mapengo ya wastaafu na waliocha kazi.
Hakuna haja ya kutiana kihere
Kuna baadhi ni mawakala wa mafisadiAwaache waliopo, azibe mapengo ya wastaafu na waliocha kazi.
Hakuna haja ya kutiana kihere
Hata wa TAMISEMI hafai. Mie ninaona labda Nzunda kwa PMO ndiyo anastahili kubaki. Yupo humble sana huyu classmate na mimi! Hanaga makuu mtu wangu huyu!Dotto lazima atolewe pale hazina maana tunataka kusafisha ghala kabisa
Jitahidi kufanya maombi anaweza akakuvuta mkonoHata wa TAMISEMI hafai. Mie ninaona labda Nzunda kwa PMO ndiyo anastahili kubaki. Yupo humble sana huyu classmate na mimi! Hanaga makuu mtu wangu huyu!