Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Uongo una mwisho wake. Yule mkuu wa waongo alipoondoka ghafla 17 March 2021, mambo yote yakawa hadharani. Ni vigumu kuongopa siku zote na usigundulike. Unaweza fanikiwa kwa kipindi kifupi tu. Na ndicho kilichotokea

Hizi ni kweli mmesahau hili? Ama ni kushabikia mungu-mtu wenu kama timu ya mpira? Wanyonge, buana.... mwendazake kama aliwavutisha madawa fulani. Yaani hamwelewi kitu kabisa!?

Tanzania president blocks critical IMF report on economy

Joseph Cotterill in Johannesburg

April 18 2019

Fund warns over 'unpredictable and interventionist policies' under Magufuli

View attachment 2177072


More information can be found here.
Subscribe to read | Financial Times

Tanzania was criticised by the International Monetary Fund for unpredictable economic policies and unreliable statistics in a report that President John Magufuli’s government blocked from publication this week. The unreleased report, seen by the Financial Times, warned of “unpredictable and interventionist policies that worsen the investment climate and could lead to meagre [or even negative] growth” in east Africa’s second-largest economy. The criticism appears to have earned the wrath of Mr Magufuli, who has been called “The Bulldozer” over his abrasive and erratic style, including attacks on foreign investors. The IMF said on Wednesday that the Tanzanian authorities had not consented to publication of the report, produced as part of the fund’s “Article IV” annual check-ups on countries’ economic health. Governments have a right to block publication but the reports are usually routine affairs and are almost always made public. Tanzania’s refusal to release the report has alarmed international investors, who already fear the government is hiding the true state of the economy. Tanzania has criminalised the release of statistics that vary from the official version, in a law that the World Bank has called deeply concerning. The IMF report said there were “serious weaknesses” in official Tanzanian statistics that point to gross domestic product growth of 7 per cent. The report said that “urgent steps are required to improve the national accounts” and urged Mr Magufuli’s government “to ensure an open and independent statistics agency”. Recommended African politics Tanzania opposition leader blames president after shooting According to IMF estimates released earlier this month, the economy will grow 4 per cent this year. Since his election in 2015 Mr Magufuli has launched a crusade against corruption but also clashed repeatedly with business. His government has pushed to renegotiate and limit foreign investment in sectors such as mining. The policy has “clouded the investment climate”, the IMF said. Mr Magufuli last year rocked international commodity markets when he ordered the army to buy the country’s entire crop of cashews after a stand-off over prices. Tanzania is a big producer of the nut. In 2017, Mr Magufuli targeted London-listed Acacia Mining, a gold producer, with demands for $190bn in tax penalties. Acacia eventually paid $300m and agreed to reconsider its business model in the country as goodwill gestures to end the dispute. The IMF report also pointed to a slowdown in investment activity since Mr Magufuli came to power. Foreign investment fell to 2 per cent of GDP in 2017 from roughly 5 per cent in 2014, according to World Bank data. The IMF said: “The Fund does not comment on leaked reports.”

Source: Subscribe to read | Financial Times.
IMG-20220410-WA0003.jpg
 
uB
sijawahi kuona mtu mjinga kama wewe wanaoangalia indicators za ukuaji wa uchumi ni wataalamu wabobezi wanaangalia kwa
Asante sana mkubwa. Nimekuelewa sana tu.

Mambo mengine ukiwa na akili kidogo hata ya kukuwezesha kuvuka barabara bila kusaidiwa utayaelewa. Hili jambo lilitwangazwa kwenye TV hapa Tanzania na magazeti mpaka kiongiz mkuu wa IMF akaja Dar kuonana na Magufuli 2019. Lakini kuna watu wana akili ya kuku (kama wewe), hawaelewi kitu kabisa. Kweli ukitaka kumnyika mtu mweusi kitu kiweke katika maandishi. Jenga tabia ya kujisomea, wewe na wajinga wenzio: Subscribe to read | Financial Times.

CC: Crimea Ame
We we nawe toa zako data tuzione, umekalia kuimbishwa pambio za bi kidude unajifanya una mapenzi naye Sana Basi fanya ule na mavi yake kabisa ukamilishe mapenzi yako kwake
ushahidi wa data Sasa ukiwehu wako unauleta humu sijui utakusaidia nn nyambafu nyamafu
Wewe unategemea IMF wakutengenezee data wewe bado una makovu ya wazungu kwenye ubongo waking, bado unandoto za kugenisha raslimali zetu wewe
 
Gari lilikuwa linapanda mlima kabla ya kufika kileleni likazima kilichotokea unajua mwenyewe...
Unaacha kulipia miradi ya kuzalisha fedha endelevu una shughulika na miradi ya kuwezesha kuongeza matumizi/matafunizi ya pesa lazima yakukute! Ha ha ha haaaa ya hilo gari.
 
Ajitahidi kufanya mambo yake tu maana kumkandia Magufuli hakumfanyi yeye kuwa bora.

Na aangalie tu kwa maana spidi yake hairidhishi kwani katika miradi yote alichokikamilisha ni daraja tu kwa mwaka mzima aliokuwa madarakani.

Yaani unakaa ofisini mwaka mzima unajenga daraja moja tu.
Siyo kujenga daraja kumalizia tu. JPM kafanya mambo makubwa sana hizo lawama ndogondogo haziwezi kuondoa mafanikio ya JPM. Yeye Sasa anawaza 2025 badala ya kuleta maendeleo.
 
View attachment 2176513

“Tanzania yetu ilikwenda tukafika uchumi wa kati tukarudishwa, kwa uwezo wa Mungu wala si uwezo wa mtu, sasa hivi kazi yetu ni kupambana kurudi tulikokuwa tusije tukarudishwa tukaambiwa hamfai tena kukaa hapa, tupambane turudi kule.

“Na kwa mipango na jinsi ninavyoiendesha Serikali nina imani tutakapofika 2025 kama hatujafika tutakuwa tunakaribia, kwa sababu tunatarajia mwaka ujao tutakwenda kukua kwenye asilimia 5 na pointi, miaka miwili inayokuja tutakwenda kufika kwenye 6.8 tuliyokuwa kabla,” Rais Samia Suluhu Hassan.

Amesema hayo leo Aprili 5, Dodoma katika Mkutano wa Kitaifa wa Maridhiano, Haki na Amani ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.
 

Attachments

  • VID-20220410-WA0051.mp4
    1.1 MB
Y
View attachment 2176513

“Tanzania yetu ilikwenda tukafika uchumi wa kati tukarudishwa, kwa uwezo wa Mungu wala si uwezo wa mtu, sasa hivi kazi yetu ni kupambana kurudi tulikokuwa tusije tukarudishwa tukaambiwa hamfai tena kukaa hapa, tupambane turudi kule.

“Na kwa mipango na jinsi ninavyoiendesha Serikali nina imani tutakapofika 2025 kama hatujafika tutakuwa tunakaribia, kwa sababu tunatarajia mwaka ujao tutakwenda kukua kwenye asilimia 5 na pointi, miaka miwili inayokuja tutakwenda kufika kwenye 6.8 tuliyokuwa kabla,” Rais Samia Suluhu Hassan.

Amesema hayo leo Aprili 5, Dodoma katika Mkutano wa Kitaifa wa Maridhiano, Haki na Amani ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.

IMG-20220409-WA0070.jpg
 
View attachment 2176513

“Tanzania yetu ilikwenda tukafika uchumi wa kati tukarudishwa, kwa uwezo wa Mungu wala si uwezo wa mtu, sasa hivi kazi yetu ni kupambana kurudi tulikokuwa tusije tukarudishwa tukaambiwa hamfai tena kukaa hapa, tupambane turudi kule.

“Na kwa mipango na jinsi ninavyoiendesha Serikali nina imani tutakapofika 2025 kama hatujafika tutakuwa tunakaribia, kwa sababu tunatarajia mwaka ujao tutakwenda kukua kwenye asilimia 5 na pointi, miaka miwili inayokuja tutakwenda kufika kwenye 6.8 tuliyokuwa kabla,” Rais Samia Suluhu Hassan.

Amesema hayo leo Aprili 5, Dodoma katika Mkutano wa Kitaifa wa Maridhiano, Haki na Amani ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.
Tukiingia uchumi wa kati nahama tanzania
 
Ivi ni kweli kwamba tumeshuka kutoka uchumi wa kati kwa uwezo wa Mungu?
Je, tumlaumu Mungu kwa kushuka kiuchumi?
 
Back
Top Bottom