The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kwa sasa Tanzania imeondoa njaa kwa asilimia 100, akifafanua kuwa kilichobaki ni kuondoa kwa mtu mmojammoja.
Akizungumzia namna Tanzania inavyotekeleza Mpango wa Maendeleo Endelevu (SDGs) Rais Samia amesema nchi inajitosheleza chakula chake na zilizobaki ni jitihada za kuondoa njaa kwa mtu mmojammoja.
Ameyasema hayo leo Jumamosi Machi 8, 2025 akihutubia katika Siku ya Kimataifa ya Wanawake inayofanyika kitaifa jijini Arusha.
Akizungumzia namna Tanzania inavyotekeleza Mpango wa Maendeleo Endelevu (SDGs) Rais Samia amesema nchi inajitosheleza chakula chake na zilizobaki ni jitihada za kuondoa njaa kwa mtu mmojammoja.
Ameyasema hayo leo Jumamosi Machi 8, 2025 akihutubia katika Siku ya Kimataifa ya Wanawake inayofanyika kitaifa jijini Arusha.