StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Na ni uchuro kweliHebu tuondolee uchuro hapa. Hizi ni zama za SSH. Huyo umtakaye kamfuate huko alipo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ni uchuro kweliHebu tuondolee uchuro hapa. Hizi ni zama za SSH. Huyo umtakaye kamfuate huko alipo!
Achana na hawa watu wanaoabudu mizimu! Hawa wana matatizo ya akili tu!..Magufuli alishindwa kumaliza kipande kifupi cha Dar kwenda Moro.
..Amekufa hatujakabidhiwa mradi hivyo anastahili pongezi ktk hili.
Ndio, Mchina kichomiIcho kipande si alipewa mchina au vipiii kapigwa chini mturuki kalamba bingo???
Kaziindelee, Tuko vizuri sanaSerikali imesema imeingia mkataba wa ununuzi wa mabehewa ya abiria 89, vichwa vya treni ya umeme 19, seti za treni za kisasa 10 zenye behewa 80 vikiwa na gharama Dola za Marekani milioni 381,428,465.![]()
Hayo yamebainishwa leo Jumanne Desemba 28, 2021 na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha tatu kutoka Makutupora hadi Tabora chenye urefu wa kilometa 368, kitakachogharimu Dola za Marekani bilioni 1.908 sawa Sh4.41 trilioni kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Yapi Merkez kutoka Uturuki.
Amesema pamoja na hayo Serikali inaendelea kukamilisha ununuzi wa mabehewa ya mizigo 1430 yenye thamani dola za Marekani milioni 127,206,300.
“Nitumie fursa hii kuagiza wizara na TRC kuhakikisha kuwa inasimamia kwa karibu ili kasi ya ujenzi iendane na kasi ya kusimamia ununuzi wa vifaa hivyo. Hii itafanya vifaa viwe vimekamilika sambamba na kukamilika kwa ujenzi wa reli. Vinginevyo miundombinu ya reli itakamilika huku tukisubiri kuwasili kwa vifaa na kuhakikisha ubora unaendana na thamani ya fedha."
“Nasema hivi kwa sababu miezi michache nimekaa katika Serikali hii nimeona kuna mambo yanataka kuanza kufanyika na mimi sitakubali yafanyike. Kwamba mradi unasimamiwa na wizara kupitia sekta husika, anatafutwa mkandarasi anapopatikana anakuwa na wasemaji wengi ndani ya nchi, na hasemewi bure watu wanajua watavuna. Sasa nasema mimi sijali mkandarasi atasemewa na watu elfu ninachotaka kusema nataka reli iwe ya viwango tulivyokubaliana,” amesisitiza
Unamaana gani mkuu?Sio kila kichaka cha kujisaidia vingine vina wadudu na wanyama wakali.
hakikaNi Jambo jema kazi amepewa mturuki , kazi yake ni ya viwango na imeonekana Tayari
Ndo maana nasema , tz bado hutajapata watu sahii, katika mifumo yetu, unalipia tren za umeme pesa inabaki tu WAKATI mradi wa reli bado, achana na changamoto ya umeme, sijui zitakua zatumia umeme wa kufua zenyewe,Serikali imesema imeingia mkataba wa ununuzi wa mabehewa ya abiria 89, vichwa vya treni ya umeme 19, seti za treni za kisasa 10 zenye behewa 80 vikiwa na gharama Dola za Marekani milioni 381,428,465.![]()
Hayo yamebainishwa leo Jumanne Desemba 28, 2021 na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha tatu kutoka Makutupora hadi Tabora chenye urefu wa kilometa 368, kitakachogharimu Dola za Marekani bilioni 1.908 sawa Sh4.41 trilioni kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Yapi Merkez kutoka Uturuki.
Amesema pamoja na hayo Serikali inaendelea kukamilisha ununuzi wa mabehewa ya mizigo 1430 yenye thamani dola za Marekani milioni 127,206,300.
“Nitumie fursa hii kuagiza wizara na TRC kuhakikisha kuwa inasimamia kwa karibu ili kasi ya ujenzi iendane na kasi ya kusimamia ununuzi wa vifaa hivyo. Hii itafanya vifaa viwe vimekamilika sambamba na kukamilika kwa ujenzi wa reli. Vinginevyo miundombinu ya reli itakamilika huku tukisubiri kuwasili kwa vifaa na kuhakikisha ubora unaendana na thamani ya fedha."
“Nasema hivi kwa sababu miezi michache nimekaa katika Serikali hii nimeona kuna mambo yanataka kuanza kufanyika na mimi sitakubali yafanyike. Kwamba mradi unasimamiwa na wizara kupitia sekta husika, anatafutwa mkandarasi anapopatikana anakuwa na wasemaji wengi ndani ya nchi, na hasemewi bure watu wanajua watavuna. Sasa nasema mimi sijali mkandarasi atasemewa na watu elfu ninachotaka kusema nataka reli iwe ya viwango tulivyokubaliana,” amesisitiza
Duuuh, nyie mmeshazoea kuanza ujenzi wa madarasa mwezi January as if hamkujua kwamba kuna wanafunzi watatakiwa waanze shule January. Mama amekuja kitofauti, planning chain. Sasa ulitaka reli ikishakamilika ndipo mtoe oda halafu ichukue miaka 10 ili treni zifike ndipo reli ianze kazi??? Hivi watanzania vichwani mmejaza mavi au?Ndo maana nasema , tz bado hutajapata watu sahii, katika mifumo yetu, unalipia tren za umeme pesa inabaki tu WAKATI mradi wameme bado, achana na changamoto ya umeme, sijui zitakua zatumia umeme wa kufua zenyewe,
Tunakimbizana lipia kitu ambacho hakianzi kesho fanya kazi watu ,zipo Sehem kibao kunauhitaji wa kuelekeza pesa, then matokeo yake tozo, kukimbilia kukopa
Tatizo nilionalo ni Kwamba , tunashindwa kutambua kipi kianze ,na kifuatie kipi katika matumizi ya pesa,
Mfano unanunua ndege keshi, kumbe unaweza kuzikopa ukawa unalipa kidogodogo
Mkuu nafikili,shida Yangu sio kuweka order ambayo inaweza endelea lipiwa kidogokidogo, KWa sababu tren za umeme, reli sio mradi wa kuanza ndani ya miaka nne, Ayo ni maneno tu, kulipia kesh wakati mradi ndo kwanza kipande KINGINE kimetiwa sain, ni kukosa au shindwa pangilia vipaumbeleDuuuh, nyie mmeshazoea kuanza ujenzi wa madarasa mwezi January as if hamkujua kwamba kuna wanafunzi watatakiwa waanze shule January. Mama amekuja kitofauti, planning chain. Sasa ulitaka reli ikishakamilika ndipo motor oda halafu ichukue miaka 10 ili treni zifike ndipo reli ianze kazi??? Hivi watanzania vichwani mmejaza mavi au?
Lisu akaamua kwenda kuolewa kabisa..Magufuli alishindwa kumaliza kipande kifupi cha Dar kwenda Moro.
..Amekufa hatujakabidhiwa mradi hivyo hastahili pongezi ktk hili.
Tunategemea mazuri si mabaya.Treni zitakua zinazimikia maporini.
Kwa umeme huu anaosimamia mwezi wa kwanza marope.
Hela katoa mfukoni mwake?^Sisi tulitaka treni ya kawaida tu, lakini mwenzetu yeye ameona mbali zaidi na kuthubutu kufanya makubwa kuliko tulivyofikiria mwanzoni^~ JMK
Tusidanyanyane mkuuTunategemea mazuri si mabaya.
Wakati mwingine waaminini walioko Serikalini. They're too Tanzanians, educated and some are patriotic and highly exposured.Mkuu nafikili,shida Yangu sio kuweka order ambayo inaweza endelea lipiwa kidogokidogo, KWa sababu tren za umeme, reli sio mradi wa kuanza ndani ya miaka nne, Ayo ni maneno tu, kulipia kesh wakati mradi ndo kwanza kipande KINGINE kimetiwa sain, ni kukosa au shindwa pangilia vipaumbele
Kuna watu wanatuona watz wajingaTreni zitakua zinazimikia maporini.
Kwa umeme huu anaosimamia mwezi wa kwanza marope.