Rais Samia: Tumeshalipia treni 19 za Umeme na mabehewa 89, Seti 10 za treni na mabehewa 80 kwaajili ya mizigo

Kaziindelee, Tuko vizuri sana
 
Ndo maana nasema , tz bado hutajapata watu sahii, katika mifumo yetu, unalipia tren za umeme pesa inabaki tu WAKATI mradi wa reli bado, achana na changamoto ya umeme, sijui zitakua zatumia umeme wa kufua zenyewe,

Tunakimbizana lipia kitu ambacho hakianzi kesho fanya kazi wakati ,zipo Sehem kibao kunauhitaji wa kuelekeza pesa, then matokeo yake tozo, kukimbilia kukopa

Tatizo nilionalo ni Kwamba , tunashindwa kutambua kipi kianze ,na kifuatie kipi katika matumizi ya pesa,

Mfano unanunua ndege keshi, kumbe unaweza kuzikopa ukawa unalipa kidogodogo
 
Duuuh, nyie mmeshazoea kuanza ujenzi wa madarasa mwezi January as if hamkujua kwamba kuna wanafunzi watatakiwa waanze shule January. Mama amekuja kitofauti, planning chain. Sasa ulitaka reli ikishakamilika ndipo mtoe oda halafu ichukue miaka 10 ili treni zifike ndipo reli ianze kazi??? Hivi watanzania vichwani mmejaza mavi au?
 
Mkuu nafikili,shida Yangu sio kuweka order ambayo inaweza endelea lipiwa kidogokidogo, KWa sababu tren za umeme, reli sio mradi wa kuanza ndani ya miaka nne, Ayo ni maneno tu, kulipia kesh wakati mradi ndo kwanza kipande KINGINE kimetiwa sain, ni kukosa au shindwa pangilia vipaumbele
 
Jiji la pili kwa ukubwa Tanzania linaitwaje?

Unajua kwa nini daraja la Kigongo busisi linajengwa?

Unajua kwa nini meli kubwa sana inajengwa ziwa victoria?

Unajua Uganda wanapitishia wapi mizigo yao?

Unaijua population ya kanda ya ziwa?


Mungu akubariki sana Samia
 
Wakati mwingine waaminini walioko Serikalini. They're too Tanzanians, educated and some are patriotic and highly exposured.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…