Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
- Thread starter
-
- #41
Hawahaminic ,wenda wanaoaminika wako nje ya mfumo, tumeona wasomi, maprof, wawapo ndani ya mfumo kuleta matokeo chanya KWa kutumia elim zao imekuachangamoto,Wakati mwingine waaminini walioko Serikalini. They're too Tanzanians, educated and some are patriotic and highly exposured.
Swala sio kukata pumzi bali inatakiwa hela ipelekwe kwa wakati sasa hela ikicheleweshwa unategemea kazi itamalizikaje kwa wakati?..Mkandarasi wa Kituruki inaelekea amekata pumzi.
..Alitakiwa awe ameshakabidhi kipande cha SGR toka Dar kwenda Moro.
Hahahahaahahah wahuni watazimikiwa na umeme porini kmmmk labda treni ibebe jenereta mgongoni kwake liwake umeme ukizima😅Tusidanyanyane mkuu
Waziri wa Nishati akibakia huyu huyu itakua jambo la kawaida kabisa kwenda kuchomoana huko maporini.
Hahahahah treni itafika na itaanza kazi ila haitamaliza miezi 6 lazma wataihujumu ili malori yao yaendelee kufanya kazi aidha kwa ku cancel trips na dana dana bila sababu za msingi ili kusudi watu wakate tamaa warudi kwenye malori😅!Hapo kwenye treni ya mizigo Bora malori yapungue kariakoo
Lakini watakubali?wenye malori?
Nina wasiwasi hii treni inaweza isiishe
Ni zaidi ya asilimia 100%. Tukiangalia urefu wa kilometa za reli na treni na mabehewa yote na mradi mzima kwa mwendo huu wa Rais, Mama Samia historia itampa zaidi nafasi kwa asilimia 65%Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%
Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,
Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
Rais kasema hayo mengine mtafute KadogosaAsante mleta mada. Nina vimaswali vidogo.
1. Ni kampuni gani imepata tenda hii ya mabehewa?
2.Malipo yalifanyika lini?
2a. Ni nani wanahusika kuhakiki ubora wa mabehewa?
3. Mabehewa yatafika nchini lini?
4. Yataanza kutumika lini?
===
Natanguliza shukrani kwa majibu.
Yanatoka Uturuki mkuuHaya mabehewa yameagizwa kutoka nchi gani isije kuwa yale mabodi kwenye chasesi za fuso yanayoundwa Nairobi
Mkimsaidia mleta mada kujibu maswali haya na ya wengine. Mtamuongezea kuaminika zaidi jambo ambalo ni jema.Rais kasema hayo mengine mtafute Kadogosa
Navokumbuka hii treni si itakuwa hybrid. Sidhani kama itatumia umeme 100%. Tanesco wakifanya yao chuma ina switch kwenye dizeliachana na changamoto ya umeme, sijui zitakua zatumia umeme wa kufua zenyewe,
Icho kipande si alipewa mchina au vipiii kapigwa chini mturuki kalamba bingo?
Serikali imesema imeingia mkataba wa ununuzi wa mabehewa ya abiria 89, vichwa vya treni ya umeme 19, seti za treni za kisasa 10 zenye behewa 80 vikiwa na gharama Dola za Marekani milioni 381,428,465.
Hayo yamebainishwa leo Jumanne Desemba 28, 2021 na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha tatu kutoka Makutupora hadi Tabora chenye urefu wa kilometa 368, kitakachogharimu Dola za Marekani bilioni 1.908 sawa Sh4.41 trilioni kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Yapi Merkez kutoka Uturuki.
Amesema pamoja na hayo Serikali inaendelea kukamilisha ununuzi wa mabehewa ya mizigo 1430 yenye thamani dola za Marekani milioni 127,206,300.
“Nitumie fursa hii kuagiza wizara na TRC kuhakikisha kuwa inasimamia kwa karibu ili kasi ya ujenzi iendane na kasi ya kusimamia ununuzi wa vifaa hivyo. Hii itafanya vifaa viwe vimekamilika sambamba na kukamilika kwa ujenzi wa reli. Vinginevyo miundombinu ya reli itakamilika huku tukisubiri kuwasili kwa vifaa na kuhakikisha ubora unaendana na thamani ya fedha."
“Nasema hivi kwa sababu miezi michache nimekaa katika Serikali hii nimeona kuna mambo yanataka kuanza kufanyika na mimi sitakubali yafanyike. Kwamba mradi unasimamiwa na wizara kupitia sekta husika, anatafutwa mkandarasi anapopatikana anakuwa na wasemaji wengi ndani ya nchi, na hasemewi bure watu wanajua watavuna. Sasa nasema mimi sijali mkandarasi atasemewa na watu elfu ninachotaka kusema nataka reli iwe ya viwango tulivyokubaliana,” amesisitiza
Ngoja kwanzaAsante mleta mada. Nina vimaswali vidogo.
1. Ni kampuni gani imepata tenda hii ya mabehewa?
2.Malipo yalifanyika lini?
2a. Ni nani wanahusika kuhakiki ubora wa mabehewa?
3. Mabehewa yatafika nchini lini?
4. Yataanza kutumika lini?
===
Natanguliza shukrani kwa majibu.
Kwani magu nae si alikuwemo serikalini tangu 1995?Kuna wakati huyu rais anaongea vitu ambavyo havina uhalisia.Anasema.kwa muda huu mfupi aliokaa serikalini
amegundua mengi, ina maana.tangu mwaka 2015
hakuwa serikalini?.Au ameingia serikalini baada ya kifo cha JPM ?