JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamba alisema hivyo hivyo tangu ateuliwe yeye anasema Leo tenaView attachment 2762890
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Uko sahihiDuuh,..January naye kipindi anaingia alisema kitu kama hicho!
Wanasema hivyo kwasababu wanajiamini na bado mtawapigia kura tu.Duuh,..January naye kipindi anaingia alisema kitu kama hicho!
Muongo sana huyu mama. Tuliishi na mgawo wa siku 14 kupisha ukarabati wa mitambo. Mwislamu gani muongo huyu.View attachment 2762890
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Nakazia huyu bi Tozo nchi imemshindaHuyu Hangaya hana kauli yoyote....anasubiri remote itoe signal ndio afungue mdomo.
Bi Mkubwa Mama Abdul Bora Mara 100 angekaa tu kimya atawekwa kundi moja na akina Maharage baada ya siku 3 siku 3 yaan siku 3 kahamishwaMambo mengine bora kukaa kimya tu
View attachment 2762890
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Naunga mkono hoja 👍 hata yule jamaa wa kupaka dawa kichwani aliongea uwongo msikitini kuwa jiwe hajaondoka duniani kumbe alishasepa mda tu 😂😂 viongozi wa kibongo ni matapeli na ni hovyo bin wachumia matumbo yaoMuongo sana huyu mama. Tuliishi na mgawo wa siku 14 kupisha ukarabati wa mitambo. Mwislamu gani muongo huyu.
Nimejikuta nakasirika sana aiseee.....🤨Mambo mengine bora kukaa kimya tu