Green Koryo
JF-Expert Member
- Jul 6, 2022
- 616
- 1,138
Tayari waneshakata huku pumbavu kabisa hawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mitambo ilikuwa inamuogopa magufuli ,huyu rais ni kituko sanaMAREHEMU ANASINGIZIWA KILA KITU....kwamba hakuwa anakarabati mitambo..
Riais mvivu kupindukia asiyejua chocho kuhusu nchi yake poor TanzaniaTangu Rais atamke hadharani kuwa alimteua maharage chande TTCL bila kujua Kama anafanya biashara na TTCL , ninachelea kuamini anachosema kuhusu umeme Kama ana uhakika nacho
January aliwekwa pale kwa mission za wizi tu ikiwemo kufanikisha lile deal la LNG la trillion 75Cha kushangaza huyo January amezawadiwa nafasi nyingine
Wakati ilitakiwa awekwe ndani.
Na amezawadiwa na Rais..
Huyu Rais utasemaje ni mzalendo wakati anawazawadia vyeo majizi?
Yeye tumuoneje kama amewakumbatia matapeli wa nchi,?
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kiongozi asiyejua hata kuunda serikali ww kazi gani ,ni kipi wanakiweza sasa[emoji16][emoji16][emoji16] kama jana alivyokuja kutupasha akaona awaite na wakurugenzi ikulu wakati hawaapishi[emoji16][emoji16][emoji16]ili kuja kujitetea na panga pangua zake zisizoeleweka
Tutajuta kuongozwa na mzanzibar wa kizimkazi
Pole sana mkuu. Lazima ukasirike, mtu mzima kudanganywa wazi wazi namna hiyo siyo kitu cha hivi hivi.Nimejikuta nakasirika sana aiseee.....🤨
Sasa wewe unadhani sababu ni nini. Jambo usilolijua ni usiku wa giza.Mambo mengine bora kukaa kimya tu
Wewe unalijua?Sasa wewe unadhani sababu ni nini. Jambo usilolijua ni usiku wa giza.
Tuna safari ndefuKiongozi asiyejua hata kuunda serikali ww kazi gani ,ni kipi wanakiweza sasa