cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Lini alikua mkweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naunga mkono hoja 2025 atupishe[emoji53] kaanza kuwa muongo
Huyo anachoweza ni mipashooo na kusutana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini alikua mkweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naunga mkono hoja 2025 atupishe[emoji53] kaanza kuwa muongo
Ehh ..Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Mkuu nilikuonya lakini....ban Nje nje!!!!moja
Zenj ipi hiyo?Mashine zipi mbona kwao zenji umeme haukatiki hovyo huyo mama nchi imemshinda
Zote mbili pemba na unguja kwa wazee wa vibunoZenj ipi hiyo?
Changamoto nyakati za KIANGAZI ... nyani wanacheka haswaa!Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
You must be joking... Mgao upo ila sio mkali...Zote mbili pemba na unguja kwa wazee wa vibuno
🤣🤣Kuweni makini na komenti zenu ban Nje nje....Mimi nimeishajizuia tayari kuepuka ban.
😁😁😁 kama jana alivyokuja kutupasha akaona awaite na wakurugenzi ikulu wakati hawaapishi😁😁😁ili kuja kujitetea na panga pangua zake zisizoelewekaLini alikua mkweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo anachoweza ni mipashooo na kusutana.
Una uhakika na ukisemachoYou must be joking... Mgao upo ila sio mkali...
Zenji wanapata umeme wa Tanesco, hawazalishi umeme.Mashine zipi mbona kwao zenji umeme haukatiki hovyo huyo mama nchi imemshinda
😴🥱😴🥱😴🥱😴🥱Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Hii story ni ya kutunga. Kwa sababu bwawa la mtera linazalisha 80 MW at maximum capacity. Ni kiasi kidogo sana katika gagrade yenye kubeba 1500+ MW. Bila bwawa la Mtera still kama vyanzo vingine viko vizuri hakuna mgao wa umeme.Huyu Hangaya hana kauli yoyote....anasubiri remote itoe signal ndio afungue mdomo.
👇👇....c&p
Gangsters in Suit.
KIPARA na Maharage mwezi Machi 2023, waliagiza na kuamuru maji katika bwawa la Mtera (Catchment area; 68,000 km² (26,000 sq mi)) yafunguliwe na kumwagika nje.
Hoja yao; Maji yangelijaa sana na yangelipasua bwawa la Mtera. Wahandisi na wataalam kutoka katika bwawa la Mtera wakapinga jambo hilo kitaalam.
Wataalam na wahandisi kutoka Mtera wakawaleza hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam hutumika kwa shughuli nyingi siyo Hydropower tu.
Hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam (kama Mtera) hutumika hata katika irrigation, human consumption, industrial use, aquaculture, na navigability.
Lakini kwa mamlaka yao, KIPARA na Maharage wakaagiza kwa lazima maji yafunguliwe katika bwawa la Mtera. Maji yakafunguliwa.
Maji hayakujaa tena katika bwawa la Mtera, kwa sababu mvua zilipotea. Sasa nchi yetu inapitia mgao mkali wa umeme kwa sababu ya wahuni.
Septemba 2023 mgao umekuwa mkali na wanaohusika na umeme wanajitetea kwamba kuna upungufu wa uzalishaji umeme kwenye mabwawa kutokana na ukame.
Kuliko kuwahamisha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine, hawa ‘wahuni’ walipaswa kupumzika utumishi wa umma. Hawatufai.
Tunataka kuamini kwamba ‘Rais ni taasisi’ na Rais anatakiwa kuwaondoa katika utumishi wa umma hawa wahuni. Haitakiwi kuwahamisha waharibifu kutoka ofisi moja kwenda nyingine.
Wakati hawa wahuni wakisubiri nje ya utumishi wa umma, Tunahitaji uchunguzi wa kamati maalum ya bunge katika jambo hili, haraka. Ingawa lenyewe ni dhaifu.
Haiwezekani wahuni wananufaika kuingiza na kuuza majenereta wakati wengine tunapata msoto wa mgao wa umeme. Wanatutia umaskini.
MMM, Mtikila.
Mbona sisi watanganyika tunateseka sana wanatuona manyaniZenji wanapata umeme wa Tanesco, hawazalishi umeme.
Makamba naye alisema hayo hayo mwaka juziAkizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Bibi lipo hapo kwa ajili ya kikundi kidogo🤣🤣🤣🤣🤣, toka 2021 hadi sasa tunaingia 2024 bado tu kisingizio ndio hicho?