Rais Samia: Tuna ‘crisis’ ya umeme, tunafanya ukarabati wa mashine

Rais Samia: Tuna ‘crisis’ ya umeme, tunafanya ukarabati wa mashine

Huu upuuzi sasa. Huyo waziri makamba muda wote huu aliokuwa madarakani alikuwa anakarabati nini? Makamba akamatwe mara moja. Mama samia unaanza kuniudhi unajibu majibu mepesi kwenye maswali mazito.
Cha kushangaza huyo January amezawadiwa nafasi nyingine
Wakati ilitakiwa awekwe ndani.

Na amezawadiwa na Rais..
Huyu Rais utasemaje ni mzalendo wakati anawazawadia vyeo majizi?
Yeye tumuoneje kama amewakumbatia matapeli wa nchi,?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Cha kushangaza huyo January amezawadiwa nafasi nyingine
Wakati ilitakiwa awekwe ndani.

Na amezawadiwa na Rais..
Huyu Rais utasemaje ni mzalendo wakati anawazawadia vyeo majizi?
Yeye tumuoneje kama amewakumbatia matapeli wa nchi,?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Januari na maharage wanatakiwa kiwa ndani muda huu
 
Bora Tanganyika ingekuwa nchi ya Kiislamu.
Wamama wote wangeishia tu kupika jikoni.
Na ni mwiko kwenda Mbugani.

Sisi tunatulia huku mmama anaongea.
Hii haikubaliki hata kidogo.

Shehe Mazinge unalinaje hili?
Na Mujahidina FaizaFoxy,
Vipi biblia inasemaje?

Uislam hakuna mahala umesema mwanamke ni mtu wa jikoni. Uislam unafundisha mwanamke kulishwa, kuvishwa, kuheshimiwa.

Nafahamu unaleta kejeli lakini tatizo lako kubwa huuelewi Uislam kuwa ndiyo mfumo wa maisha yako. Laiti ungeuelewa usingefanya kejeli.

Nakushauri usome Uislam kwa faida yako, ya familia yako na jamii kwa ujumla.
 
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme

Kuna tatizo kwenye muhimili wa bunge ambao kazi yake ni kuishauri na kuisimamia serikali naamini hata kwenye hili la umeme wana nafasi kubwa ya kusaidia lakini wamemwacha Suluhu anapambana mwenyewe wao wambaki kama watazamaji na wazomeaji mpaka namkumbuka spika wa viwango mzee Sitta(Mungu ampe pumziko)maana kama ingekuwa lile bunge lake kuna watu wangewajibika
 
mpaka hapo , tuzoee tu Jambo la umeme limeshindikana. Tatizo kubwa sijui ni Nini . kusema marekebisho hapana!!!!
 
Huyu Hangaya hana kauli yoyote....anasubiri remote itoe signal ndio afungue mdomo.

👇👇....c&p
Gangsters in Suit.

KIPARA na Maharage mwezi Machi 2023, waliagiza na kuamuru maji katika bwawa la Mtera (Catchment area; 68,000 km² (26,000 sq mi)) yafunguliwe na kumwagika nje.

Hoja yao; Maji yangelijaa sana na yangelipasua bwawa la Mtera. Wahandisi na wataalam kutoka katika bwawa la Mtera wakapinga jambo hilo kitaalam.

Wataalam na wahandisi kutoka Mtera wakawaleza hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam hutumika kwa shughuli nyingi siyo Hydropower tu.

Hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam (kama Mtera) hutumika hata katika irrigation, human consumption, industrial use, aquaculture, na navigability.

Lakini kwa mamlaka yao, KIPARA na Maharage wakaagiza kwa lazima maji yafunguliwe katika bwawa la Mtera. Maji yakafunguliwa.

Maji hayakujaa tena katika bwawa la Mtera, kwa sababu mvua zilipotea. Sasa nchi yetu inapitia mgao mkali wa umeme kwa sababu ya wahuni.

Septemba 2023 mgao umekuwa mkali na wanaohusika na umeme wanajitetea kwamba kuna upungufu wa uzalishaji umeme kwenye mabwawa kutokana na ukame.

Kuliko kuwahamisha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine, hawa ‘wahuni’ walipaswa kupumzika utumishi wa umma. Hawatufai.

Tunataka kuamini kwamba ‘Rais ni taasisi’ na Rais anatakiwa kuwaondoa katika utumishi wa umma hawa wahuni. Haitakiwi kuwahamisha waharibifu kutoka ofisi moja kwenda nyingine.

Wakati hawa wahuni wakisubiri nje ya utumishi wa umma, Tunahitaji uchunguzi wa kamati maalum ya bunge katika jambo hili, haraka. Ingawa lenyewe ni dhaifu.

Haiwezekani wahuni wananufaika kuingiza na kuuza majenereta wakati wengine tunapata msoto wa mgao wa umeme. Wanatutia umaskini.

MMM, Mtikila.
Hii stori tu.
Sio kuamini kila unachosikia..
 
Miezi 6 tumepewa yakununua majenereta, hiyo ni live live.
 
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Uongo na wanasiasa ni mapacha, tuliambiwa tatizo ni upungufu wa maji leo bitozo anasema ni ukarabati wa mitambo!
 
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Shida ni ukarabati wa mitambo au shida ni uzalishaji wa umeme.
Kama ni ukarabati si angewaacha waliokuwepo maana wao ndio walioanzisha hiyo miradi , baada ya watangulizi kushindwa kuliona Hilo.
Na hiyo miradi ya ukarabati wa mitambo ulianza lini 2017 au ndio unaanza sasa 2023 kuelekea hiyo miezi SITA ijayo
 
Vipi biblia inasemaje?

Uislam hakuna mahala umesema mwanamke ni mtu wa jikoni. Uislam unafundisha mwanamke kulishwa, kuvishwa, kuheshimiwa.

Nafahamu unaleta kejeli lakini tatizo lako kubwa huuelewi Uislam kuwa ndiyo mfumo wa maisha yako. Laiti ungeuelewa usingefanya kejeli.

Nakushauri usome Uislam kwa faida yako, ya familia yako na jamii kwa ujumla.
Unamshauri ajifunze primitivity?
 
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Samia amekuwa msemaji wa Tanesco tu hana lolote, mitambo inakarabatiwa pindi umeme unapokuwa hautoshi.
 
Back
Top Bottom