Rais Samia: Tuna ‘crisis’ ya umeme, tunafanya ukarabati wa mashine

Rais Samia: Tuna ‘crisis’ ya umeme, tunafanya ukarabati wa mashine

Huyu Hangaya hana kauli yoyote....anasubiri remote itoe signal ndio afungue mdomo.

[emoji116][emoji116]....c&p
Gangsters in Suit.

KIPARA na Maharage mwezi Machi 2023, waliagiza na kuamuru maji katika bwawa la Mtera (Catchment area; 68,000 km² (26,000 sq mi)) yafunguliwe na kumwagika nje.

Hoja yao; Maji yangelijaa sana na yangelipasua bwawa la Mtera. Wahandisi na wataalam kutoka katika bwawa la Mtera wakapinga jambo hilo kitaalam.

Wataalam na wahandisi kutoka Mtera wakawaleza hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam hutumika kwa shughuli nyingi siyo Hydropower tu.

Hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam (kama Mtera) hutumika hata katika irrigation, human consumption, industrial use, aquaculture, na navigability.

Lakini kwa mamlaka yao, KIPARA na Maharage wakaagiza kwa lazima maji yafunguliwe katika bwawa la Mtera. Maji yakafunguliwa.

Maji hayakujaa tena katika bwawa la Mtera, kwa sababu mvua zilipotea. Sasa nchi yetu inapitia mgao mkali wa umeme kwa sababu ya wahuni.

Septemba 2023 mgao umekuwa mkali na wanaohusika na umeme wanajitetea kwamba kuna upungufu wa uzalishaji umeme kwenye mabwawa kutokana na ukame.

Kuliko kuwahamisha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine, hawa ‘wahuni’ walipaswa kupumzika utumishi wa umma. Hawatufai.

Tunataka kuamini kwamba ‘Rais ni taasisi’ na Rais anatakiwa kuwaondoa katika utumishi wa umma hawa wahuni. Haitakiwi kuwahamisha waharibifu kutoka ofisi moja kwenda nyingine.

Wakati hawa wahuni wakisubiri nje ya utumishi wa umma, Tunahitaji uchunguzi wa kamati maalum ya bunge katika jambo hili, haraka. Ingawa lenyewe ni dhaifu.

Haiwezekani wahuni wananufaika kuingiza na kuuza majenereta wakati wengine tunapata msoto wa mgao wa umeme. Wanatutia umaskini.

MMM, Mtikila.
Daah,aisee
 
Inamaana ukarabati wa mitambo Huwa unafanyika miezi ya kiangazi tu( Sept, Oct na Nov ?) Yaan haiwezagi kufanyiwa ukarabati mwezi wa febr, march na Aprl. Kwa Sababu Kila ikifika kiangazi kikali ndio Huwa tunaona mgao na hii inamaanisha ni kukosekana kwa mvua kujaza mabwawa so uzaliahaji wa umeme unapungia.
 
Hizi hotuba zisizo na matumaini kwa nchi zinaandikwaga pale Msoga. Mzizi wa tatizo bado haujatatuliwa kwa sababu 2015-2021 hakukua na tatizo la umeme. Lakini 2021-2023-tatizo lipo na linazidi kuwa sugu. Kuna mahali hapako sawa. Mda utaongea
 
Mimi naacha kumlaumu Rais Samia ni wazi hayupo huru kwa tulipofika sioni haja tena ya kuendelea kumsema Samia kuwa anapelekeshwa sijui remote, kinachotakiwa ni kudeal na hao wanampelekesha hivi Rais wanatudharau sana.
 
Daaah watanganyika tunasafari ndefu marehemu YY alikua anawasha tu bila kuifanyia service mitambo. Ona anatesa watu saizi.
 
ulipomtoa dr kailemani pale wizarani ukamweka MweziWaKwanza kwa mbwembewe na mikogo mingi sana alisema hivyo hivyo, kwamba miundombinu ya umeme ni mikuukuu na nichakavu na wanaanza kuihuisha.

Sasa nauliza MweziWakwanza hakufanya huisho lolote la miundombinu hiyo upande wowote?
Kwahiyo zile zilikua mbwembwe tu na alitwambia umeme upo wa kutosha mpaka vijijini?

Mama, MweziWaKwanza anatuchukuliaje lakini?
na mbona unamkumbatia sana na wakati ni mweupe na mwepesi tu?
wizara imemshinda ataweza hapo ulipoketi wewe?
au unaona aibu kwa mzee wake lakini pia kwa mzee wa ari mpya, nguvu zaidi, na kasi zaidi?
Na pesa za ukarabati atakuwa alichukua!
 
Muongo sana huyu mama. Tuliishi na mgawo wa siku 14 kupisha ukarabati wa mitambo. Mwislamu gani muongo huyu.
Mwislam gani dunia hii siyo muongo au nini kinamfanya mtu yeyote mwenye dini asiwe muongo?

Wote ungaunga mwana tu zaidi anajua aliyetuumba
 
Huyu Hangaya hana kauli yoyote....anasubiri remote itoe signal ndio afungue mdomo.

👇👇....c&p
Gangsters in Suit.

KIPARA na Maharage mwezi Machi 2023, waliagiza na kuamuru maji katika bwawa la Mtera (Catchment area; 68,000 km² (26,000 sq mi)) yafunguliwe na kumwagika nje.

Hoja yao; Maji yangelijaa sana na yangelipasua bwawa la Mtera. Wahandisi na wataalam kutoka katika bwawa la Mtera wakapinga jambo hilo kitaalam.

Wataalam na wahandisi kutoka Mtera wakawaleza hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam hutumika kwa shughuli nyingi siyo Hydropower tu.

Hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam (kama Mtera) hutumika hata katika irrigation, human consumption, industrial use, aquaculture, na navigability.

Lakini kwa mamlaka yao, KIPARA na Maharage wakaagiza kwa lazima maji yafunguliwe katika bwawa la Mtera. Maji yakafunguliwa.

Maji hayakujaa tena katika bwawa la Mtera, kwa sababu mvua zilipotea. Sasa nchi yetu inapitia mgao mkali wa umeme kwa sababu ya wahuni.

Septemba 2023 mgao umekuwa mkali na wanaohusika na umeme wanajitetea kwamba kuna upungufu wa uzalishaji umeme kwenye mabwawa kutokana na ukame.

Kuliko kuwahamisha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine, hawa ‘wahuni’ walipaswa kupumzika utumishi wa umma. Hawatufai.

Tunataka kuamini kwamba ‘Rais ni taasisi’ na Rais anatakiwa kuwaondoa katika utumishi wa umma hawa wahuni. Haitakiwi kuwahamisha waharibifu kutoka ofisi moja kwenda nyingine.

Wakati hawa wahuni wakisubiri nje ya utumishi wa umma, Tunahitaji uchunguzi wa kamati maalum ya bunge katika jambo hili, haraka. Ingawa lenyewe ni dhaifu.

Haiwezekani wahuni wananufaika kuingiza na kuuza majenereta wakati wengine tunapata msoto wa mgao wa umeme. Wanatutia umaskini.

MMM, Mtikila.
kama ni kweli hii ni hatari sana
 
Bora angekaa kimya, kafungua mdomo ndio pumba za kutosha zimetoka. Alooh nchi imepata hasara kubwa kwa huyu kizimkazi kuokota uraisi.
 
Makamba alisema hivyo hivyo tangu ateuliwe yeye anasema Leo tena

Maharage alisema ishu ni maji Leo Samia amasema mitambo

Hamna Rais hapo ni kilemba tu

USSR
Tuambie Sasa ukweli wa huu mgao ni upi ?
 
Back
Top Bottom