PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
Mama zakuambiwa changanya na zako. Pale Tanesko Kuna Watengeneza Mgao na Mtangulizi wako Alishasema tatizo Kukosa Umakini wa Ufatiliaji.
Tangu Uhuru hatujawai kisikia nchi INA Mgao kwa sababu ya kukarabati mitambo hapa Mama Mmechemka sana.
Tangu Uhuru hatujawai kisikia nchi INA Mgao kwa sababu ya kukarabati mitambo hapa Mama Mmechemka sana.