SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
Mimi cha kwanza kilichonishangaza Ni hicho ila sikutaka kuhoji kama ulivyofanya nikihofia labda yalikuwa Ni makosa ya Mleta Uzi. Na kama amenukuliwa vilivyo basi tuna Kiongozi ambaye Ni JANGA.Wanaandaa mradi wa kuomba hela! Au mimi sijui kiswahili, yaani kuomba hela nako unakatengenezea mradi ili ukizipata hizo hela unazitumia kutumia kwenye mradi wa kujenga stendi!
Mikopo tunapinga na tozo tunapinga ?Wewe msukule wa mbowe, mikopo unapinga na tozo unapinga.
Unataka nini ?
Atolewe makengeza jela aje kukupelekea moto ?
Yani anafanana nae kupita maelezo, wote wawili wanapenda kuomba omba.Mkuu, huyu mtu tulishasema na yeye amekiri hana uwezo kama wa Magufuli lakini cha ajabu anataka tena miaka mitano. Miaka Kitano ya nini? Mimi nadhani baadhi ya watu wa Pwani wana matatizo ya kupenda kuombaomba.
Samahani mkuu, ni misunderstands tu. Heshima kwakoMkuu 'Allency', mbona leo unanishangaza kidogo, kwa maana, pamoja na kwamba mimi na wewe hatujawahi kujibishana humu ndani ya Jukwaa hili, lakini unashindwaje kujuwa ninaposimamia? Ngoja nikwambie jambo linaloweza kukushangaza kidogo. Nikirudi nyuma na kuhesabu 'likes' ulizowahi kunizawadia kwenye maoni yangu juu ya msimamo wa mambo tunayozungumzia hapa, haziwezi kupungua 20, na pengine hata kufikia 50! Halafu hapa unasahau kabisa na kunipachika hayo uliyoyaweka hapo juu?
Huwezi kuandika pumba alafu tupite bila kukuonya, take easy with wrong logic.Hujui kitu mtoto mdogo weye, siyo lazima u comment, wewe soma halafu sepa
Wewe una ubongo wa kujua pumba? Thubutu!! Kama umeshindwa kuwlewa hoja yangu.Huwezi kuandika pumba alafu tupite bila kukuonya, take easy with wrong logic.
Licha ya hii comment yako bado sikuaminigi kabisa. Huna msimamo na hicho kitu kinanikera kupita maelezo. Mwanaume unatakiwa kuwa thabit siyo legelege.Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.
Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period
Wewe unaishi kwa kukariri ndiyo maana unaniona Sina msimamo. Unataka niseme Mbowe siyo gaidi, Mimi nasema Mbowe ni mtuhimiwa wa ugaidi, tuiachie mahakama.Licha ya hii comment yako bado sikuaminigi kabisa. Huna msimamo na hicho kitu kinanikera kupita maelezo. Mwanaume unatakiwa kuwa thabit siyo legelege.
brazaj
Uchumi gani?Wewe unaishi kwa kukariri ndiyo maana unaniona Sina msimamo. Unataka niseme Mbowe siyo gaidi, Mimi nasema Mbowe ni mtuhimiwa wa ugaidi, tuiachie mahakama.
Unataka Katiba Mpya, ninataka Katiba Nzuri kwa matakwa ya wananchi na siyo kwa msukumo wa CHADEMA.
Unaponda kila kitu anachofanya Rais SSH, nina muunga mkono kwa hatua anazochukua kuhusu kujenga uchumi
Mkuu 'Overspoon', sielewi kwa nini umenihusisha kwenye andiko lako hili uliloniunganisha pamoja na 'Matola'! Ni wapi nilipompigia kampeni huyo mama aendelee mapaka huko unakokusema wewe?Endeleeni,hata JPM mlimwombea kifo kwa kusema hivyo hivyo Mag mpaka 2025 Haya yaliyotokea uliyaona. Na sasa mmeanza tena mpaka 2040.Unajua kesho yako wewe, Nyamaza kimya,tena kimya chenye mshindo.Acha Mungu afanye kazi yake,usimpangie. Usituletee USIKU TANZANIA.
Licha ya hii comment yako bado sikuaminigi kabisa. Huna msimamo na hicho kitu kinanikera kupita maelezo. Mwanaume unatakiwa kuwa thabit siyo legelege.
brazaj
Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "Kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"
____________________________________________
Magufuli anabiringika kaburini.
Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri, na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi.
Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia.
Mpaka stendi tunaomba hela.
Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela?
Inasikitisha kupita maelezo jinsi awamu hii inavyotutweza utu wetu. Tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo.
Mara ngapi tuliambiwa SGR, Stiglers Gorge /JNHEP vyote vinajengwa kwa pesa za ndani. Je, ukweli kwa sasa upo wazi. Ni mikopo kwenda mbele.Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.
Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period
Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.
Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period
Je, wajua magu akitaka kutupeleka N.korea?Unajua hali ya kimaisha ya raia wa kawaida wa India na Pakistan? Hao jamaa wakipata hata nafasi ya kuja hapo TZ hawakubali tena kurudi kwao! Korea Kaskazini wana kila aina ya bomu, wanajenga na Nyuklia pia lakini asilimia kubwa ya wananchi wake wanashindia mlo mmoja! BTW hakuna nchi isiyokopa au kusaidiwa kwa namna moja ama nyingine! Kutawala ingekuwa ni majaribio natamani nyie watu mngepewa miaka 5 muongoze hii nchi tuone hizo "akili kubwa" zenu
Magufuli alikuwa anadanganya kuwa mradi huu au ule umejejengwa kwa hela za ndani. Maneno kama "hela zipo" yalikuwa ya kawaida masikioni mwa watu. Kitu ambacho kilikuwa kikisemwa ni kuwa alikuwa anakopa ile mbaya kwa miradi ambayo anadai inagharamiwa kwa pesa ya ndani. Samia yeye ni muwazi. Anasema wazi kuwa anakopa.Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "Kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"
____________________________________________
Magufuli anabiringika kaburini.
Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri, na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi.
Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia.
Mpaka stendi tunaomba hela.
Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela?
Inasikitisha kupita maelezo jinsi awamu hii inavyotutweza utu wetu. Tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo.