Pre GE2025 Rais Samia: Tunaelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, nileteeni Watu wazuri ili nikishusha Mahela yatumike vizuri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ok,kila la heri ndugu zetu watz.
naona uchaguzi upo mlangoni.
 
Eti shangazi!πŸ˜„
Halafu wale wanamuita mama yetu wengine bibi yetu. Hivi marais waliopita tulikuwa tunawaitaje? Uncle, mjomba? Ukiachia mbali baba wa taifa.
Uncle Magu
 
Nilimsikia akiwaambia acheni kusokotana! πŸ˜†πŸ˜† nikakumbuka kipindi nipo Unguja
 
Waliopo wote kwa sasa ni CCM je wamefanya nini? akawadanganye CCM wenzake
 
CDM mnawaza ugomvi tu mna muda wa kuwaza maendeleo ya wananchi.
 
Umechukua formu mujenziii.
 
Hii pesa alochangiwa Lissu inaonekana imekuuma sana tena sana sasa nakushauri nitafute inbobo tuongee nikufanyie utaratibu wa kupata hela
 
Akishusha mahela baada ya kuchukua mahela ?; Kwahio Sera ni kushusha mahela na sio kuleta Sera za watu kuweza kupata mahela ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…