Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uncle MaguEti shangazi!😄
Halafu wale wanamuita mama yetu wengine bibi yetu. Hivi marais waliopita tulikuwa tunawaitaje? Uncle, mjomba? Ukiachia mbali baba wa taifa.
Waliopo wote kwa sasa ni CCM je wamefanya nini? akawadanganye CCM wenzakeView attachment 3059831
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezungumza na wananchi wa Dumila mkoani Morogoro na kuwaunga kwa kununua nyanya, bamia, tangawizi, mahindi yeboyebo na vitu vingine vilivyokuwa vikiuzwa na wajasiliamali wadogo wadogo pamoja na kuwapatia shilingi milioni 20 kwa ajili ya genge lao.
Aidha Rais Samia amewataka wakazi hao kuchagua viongozi wazuri katika uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa ambao watamsaidia kuwafikishia maendeleo.
Umechukua formu mujenziii.Na viongozi wazuri na bora wenye uwezo wa kusimamia miradi ya maendeleo na fedha za maendeleo ni lazima watoke CCM tu.huko kwa wapinzani ni wababaishaji tu.angalia mtu kama Lissu aliwachangisha watu pesa ili anunue gari la kifahari kwa raha zake ,lakini mpaka sasa yupo kimya na hasemi pesa zimekwenda wapi na zilipatikana kiasi gani.
Wananchi nawasihi sana kuhakikisha mnachagua viongozi wa CCM katika ngazi zote.maana CCM itawaleteeni wagombea wazuri, waadilifu, wachapakazi,waaminifu na wazalendo.
Hapana sijachukua.Umechukua formu mujenziii.
Hii pesa alochangiwa Lissu inaonekana imekuuma sana tena sana sasa nakushauri nitafute inbobo tuongee nikufanyie utaratibu wa kupata helaNa viongozi wazuri na bora wenye uwezo wa kusimamia miradi ya maendeleo na fedha za maendeleo ni lazima watoke CCM tu.huko kwa wapinzani ni wababaishaji tu.angalia mtu kama Lissu aliwachangisha watu pesa ili anunue gari la kifahari kwa raha zake ,lakini mpaka sasa yupo kimya na hasemi pesa zimekwenda wapi na zilipatikana kiasi gani.
Wananchi nawasihi sana kuhakikisha mnachagua viongozi wa CCM katika ngazi zote.maana CCM itawaleteeni wagombea wazuri, waadilifu, wachapakazi,waaminifu na wazalendo.
Hatuijui sura yako ningeomba uiweke picha ili tukuone kwa vitendo ukiitimiza hii ahadi.Huyu
Mama akitoboa 2025 nitajisaidia uwanja wa mkapa
Sera zipo ukiwa karibu na viongozi wa eneo unaloishi utazijua kwa kina.Akishusha mahela baada ya kuchukua mahela ?; Kwahio Sera ni kushusha mahela na sio kuleta Sera za watu kuweza kupata mahela ?