Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Rais Samia amesema zoezi la uchanjaji limekwenda vizuri lakini kwa sasa kumekuwa na kasi ndogo hivyo serikali imejipanga kuja na kampeni kubwa zaidi ya kuhamasisha uchanjaji ili kujikinga na virusi vya corona
Rais amesema hayo alipokuwa katika baraza la Eid, Dar es Salaam
Rais amesema hayo alipokuwa katika baraza la Eid, Dar es Salaam