Rais Samia tunakuomba hutubia taifa, omba radhi, fanya maamuzi magumu ya kuvunja mkataba huu nchi ipone

Rais Samia tunakuomba hutubia taifa, omba radhi, fanya maamuzi magumu ya kuvunja mkataba huu nchi ipone

Kwanini Mwanasheria Mkuu wa Serikali yupo kimya? Samia kalikosea taifa pakubwa sana ama kwa kujua ama kwa kupotoshwa na wahuni.

Serikali yake imeleta mpasuko mkubwa sana kati ya Tanganyika na Zanzibar. atoke hadharani aombe msamaha.
Hakuna kitu kama hiyo, bandari sio ya wabara!!
 
Mimi namshauri ang'atuke kabisa kwa kitendo alichofanya kutufanya kua submissive kwa waarabu

Hiyo haikupaliki kabisa pride ya Tanzania ni kubwa sana kujiuza kwa hao waarabu
Hamkumkataza Mwendazake alipochafua uchaguzi.
 
Tunapoomba hata Kwa Mwenyezi Mungu majibu huwa ni ya kusubiri,Mungu Mwenyezi hujibu Kwa wakati wake sababu yeye hapangiwi..

Vivyo hivyo Mh Rais ktk nchi Ana majukumu mengi ,makubwa na mazito..Kila Siku anapokea mengi na kufanyia kazi yeye mwenyewe au wasaidizi..

Hivyo tumeomba Kwa unyenyekevu,ikimpendeza atajibu maombi yetu..na majibu yaweza kuwa ndio au hapana..

Majibu yaweza kawia kuja..Kama ambavyo bosi hafokewi,anuniwi,hatiswi..Tuendelee kuomba Kwa upole,busara,staha..Tumejariwa Rais msikivu mnoo..Tumwombee sana Mwenyezi Mungu amjalie ujasiri,maarifa,nguvu na kibali cha kufanya maamuzi yenye haki,kweli na tija Kwa vizazi vya sasa na vijavyo..
 
Na hajawahi hata kuhutubia Taifa zaidi ya kulichamba na mipasho Taifa
 
Back
Top Bottom